Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moja ya zao Kaole Sanaa Group, Limekua Tunaliona!!

Mrembo na mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu”ni moja kati ya waigizaji wachache wa hapa bongo ambao wamekulia na kuijua sanaa ya kuigiza toka akiwa binti mdogo.

Shukrani na sifa zote ziwaendee Kaole Sanaa Group ambao ndio waliomlea kisanaa na kumpa nafasi kuonyesha uwezo wake na kufanya watanzania wengi kumfahamu tangu akiwa mtoto mdogo.

Mbali na mambo yake mengi lakini ukweli ni kwamba Lulu leo amekuwa hapo alipo kwa sababu ya uwezo wake tofauti na waigizaji wengi wakike ambao walipata...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Kundi La Sanaa La Kaole Limerudi Tena Na Jina Jipya

Kundi kongwe la sanaa ya uigizaji na ngoma lililotoa vipaji vingi vya uigizaji hapa nchini, Kundi la Sanaa la Kaole “Kaole Sanaa Group” limerudi ila sasa kwa jina lingine..habari kamili ametueleza hapa, Halima Yahya “DAVINA”moja kati ya waliokuwa kaole na sasa wameasisi hii kaone, anasema;

"Wapenzi wetu wa tamthilia na filamu za kibongo...mimi km mimi nimekua nikipokea maoni ya watu wengi hapa na hata mikoani kwamba wamemiss tamthilia zetu za zamani zilizokua zimejaa maadili na mafundisho...

 

10 years ago

Michuzi

UTANDAWAZI GROUP KUNOGESHA TAMASHA LA SANAA BAGAMOYO

NA ANDREW CHALE, BAGAMOYO
KUNDI maalufu la ngoma asili la Utandawazi Theater Group ‘Matwigachallo’ jioni ya kesho wanatarajiwa kuwasha moto wa aina yake kwenye tamasha la Kimataifa la 33 la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo, lililoanza Septemba 22 mwaka huu kwenye viunga vya chuo hicho.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa tamasha hilo, Abmic am Bafadhil ‘Bura’ alieleza kuwa, kundi hilo ambalo kwa sasa limejizolea umaalufu mkubwa ndani na nje ya Tanzania, linatarajiwa kutoa burudani ya ngoma za asili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MIALE SANAA GROUP: Wakali wanaokuja sokoni na ‘990 Wamekufa’

KUTOKANA na maisha kuwa na changamoto nyingi kwa sasa, vijana wengi wameanza kutafuta njia mbadala katika kuingiza kipato cha kukabiliana na ugumu wa changamoto hizo za maisha. Moja ya fani...

 

9 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA KIRUMBA SANAA GROUP JIJINI MWANZA AUNGANA NA KAMPENI YA "PIGA KURA, EPUKA KULA".

Pichani ni Mwenyekiti wa Kikundi cha Maigizo cha Kirumba Sanaa Group kilichopo Jijini Mwanza Katumba Khalid Maduwa akiwa na Kitambulisho chake cha Kupigia Kura.
Maduwa ambae pia ni Mshereheshaji (Mc Katumba) na Mtangazaji wa 99.4 Radio Metro Fm, ameungana na Binagi Media Group katika Kampeni yake ya Kuwahamasisha Watanzania waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura kujitokeza kwa wingi katika kuwachagua viongozi bora wa kuwatumikia na si bora viongozi ambao wakati mwingine huchaguliwa...

 

10 years ago

GPL

Naibu Waziri Mhe. January Makamba azindua Kundi la Kaone Sanaa Group Dar Live

Naibu Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia .Mhe. January Makamba azindua Kundi la Kaone Sanaa Group Dar Live usiku huu. hapa akiwa katika picha ya pamoja baada ya uzindua. Wasanii wa Kaolewakiwa stejini…

 

10 years ago

Michuzi

MASHIRIKISHO YA SANAA NCHINI YATUA BUNGE LA KATIBA KUFUKUZIA HOJA ZAO

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mh. Samuel Sitta (kulia), akisisitiza jambo kwa wawakilishi wa mashirikisho ya sanaa mjini Dodoma hivi karibuni. Mashirikisho hayo yamekuwa yakipambana kufa na kupona kuhakikisha katiba mpya inatambue wasanii kama kundi maalum na pia ilinde mali zisizoshikika yaani miliki bunifu (intellectual property). Maoni ya mashirikisho hayo yalishatolewa katika hatua za awali za utoaji maoni na pia kupitia mabaraza lakini kwa bahati mbaya, hayakujumuishwa katika...

 

10 years ago

GPL

WASANII WAKONGWE WAPANIA KUFANYA KUFURU KATIKA UZINDUZI WA KAONE SANAA GROUP NDANI YA DAR LIVE

Mastaa waliokuwa wakiunda kundi la zamani la Kaole wakiongea na wanahabari (hawapo pichani) jinsi walivyopania kufanya kweli kwenye uzinduzi wa kundi lao jipya la Kaone, Boxing Day ndani ya Dar Live. Muhogo Mchungu akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Kushoto ni msanii…

 

10 years ago

Michuzi

BASATA LAWATAKA WAANDAAJI WA MASHINDANO/MATUKIO YA SANAA KUZINGATIA KANUNI NA TARATIBU ZAO

Katikamazungumzo maalum na Kituo cha Mlimani TV cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza amewasisitiza waandaaji wa matamasha na mashindano ya Sanaa na urembo kuzingatia kanuni na taratibu zilizopo katika kuendesha matukio yao.
Pia,amewataka waandaaji wa mashindano na matamasha katika vitongoji kuwa makini katika kusimamia taratibu kwani ndiyo wanaoandaa washiriki ambao baadaye wanakuja kushiriki kwenye ngazi ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi TBL Group waadhimisha Siku ya UKIMWI duniani kwa kupima afya zao

ukimwi 1

Mfanyakazi wa Kampuni ya TBL; kiwanda cha kuzalisha pombe kinywaji aina ya Chibuku  kilichopo Ubungo Dar es Salaam,Reocatus Hanania akipewa ushauri  nasaha na  akimsikiliza mtoa ushauri nasaha kutoka Kampuni ya bima ya Afya ya Metropolitan;  Aurelia Kanambi kabla ya kupima Virusi vya Ukimwi ikiwa ni sehemu ya maadhimishao ya siku ya Ukimwi Duniani. TBL kila mwaka ambapo Kampuni ya kutengezea bia (TBL) hiyo kila mwaka huadhimisha siku hiyo kwa kualika wataalamu wa afya kwa ajili ya kutoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani