Kundi La Sanaa La Kaole Limerudi Tena Na Jina Jipya
Kundi kongwe la sanaa ya uigizaji na ngoma lililotoa vipaji vingi vya uigizaji hapa nchini, Kundi la Sanaa la Kaole “Kaole Sanaa Group” limerudi ila sasa kwa jina lingine..habari kamili ametueleza hapa, Halima Yahya “DAVINA”moja kati ya waliokuwa kaole na sasa wameasisi hii kaone, anasema;
"Wapenzi wetu wa tamthilia na filamu za kibongo...mimi km mimi nimekua nikipokea maoni ya watu wengi hapa na hata mikoani kwamba wamemiss tamthilia zetu za zamani zilizokua zimejaa maadili na mafundisho...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TAwaEl4B-eI/VNc5jE1QaPI/AAAAAAAHCc0/0H0fIZXcqhc/s72-c/IMG20150207WA0022.jpg)
MSANII WA KUNDI LA KAOLE AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-TAwaEl4B-eI/VNc5jE1QaPI/AAAAAAAHCc0/0H0fIZXcqhc/s1600/IMG20150207WA0022.jpg)
Taarifa za msiba huo zilitolewa jana na Watoto wa Marehemu kwa ndugu na majirani wa eneo hilo,huku tetesi zikienea kwamba wamefanya hivyo ili kukwepa aibu kwa majirani kutokana na nyumba aliyokuwa akiishi mama yao huyo kuwa ni chakavu,hivyo...
10 years ago
Bongo Movies08 Feb
Moja ya zao Kaole Sanaa Group, Limekua Tunaliona!!
Mrembo na mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu”ni moja kati ya waigizaji wachache wa hapa bongo ambao wamekulia na kuijua sanaa ya kuigiza toka akiwa binti mdogo.
Shukrani na sifa zote ziwaendee Kaole Sanaa Group ambao ndio waliomlea kisanaa na kumpa nafasi kuonyesha uwezo wake na kufanya watanzania wengi kumfahamu tangu akiwa mtoto mdogo.
Mbali na mambo yake mengi lakini ukweli ni kwamba Lulu leo amekuwa hapo alipo kwa sababu ya uwezo wake tofauti na waigizaji wengi wakike ambao walipata...
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
India: Gumzo la mwanamke anapokuwa kwenye hedhi limerudi tena mitandaoni
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-W5MkaOyBUfU/Vi5b58js4aI/AAAAAAAIC3c/acgefras5kU/s72-c/b1.jpg)
Tamasha la Karibu Music Bagamoyo Limerudi Tena Sasa ni tarehe 6,7 na 8 Novemba, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-W5MkaOyBUfU/Vi5b58js4aI/AAAAAAAIC3c/acgefras5kU/s640/b1.jpg)
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Kundi jipya la kuelimisha wanawake Tanzania
9 years ago
Bongo531 Dec
Quick Rocka aanzisha kundi jipya la muziki ‘One G’
![_K0A2053](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/K0A2053-300x194.jpg)
Quick Rocka ameanzisha kundi jipya liitwalo ‘One G.’
Amesema kundi hilo litakuwa chini ya label yake, Switch.
“Kubwa zaidi 2016 ni ujio wa kundi la wasanii wangu One G kupitia record label yangu Switch na producer wangu Luffa,” aliiambia Bongo5.
“Kwahiyo mwaka unaokuja tutaanza nao kwa sababu tayari wana ngoma yao mpya pamoja na video. Lengo letu ni kupeleka muziki mbele na kuleta ushindani mpya kwenye muziki na wasanii wachanga watoke,” alisema.
Hata hivyo Quick amesema ujio wa kundi hilo...
10 years ago
BBCSwahili04 May
Somalia:Alshabaab lapewa jina jipya
10 years ago
Bongo Movies14 Dec
Rose Ndauka:Jina langu Jipya ni Bakita
Kwasasa akiwa katika utengenezaji wa filamu mpya ambayo inafanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment, Mwigizaji Rose Ndauka aliandika mtandaaoni kwa kifupi kuwa jina lake jipya ni Bakita.
“My new name it's Bakita#new”
Swala liliowaacha mashabiki wengi kubaki na maswali mengi juu nini hasa kimemfanya awe na jina jipya.
Rose Ndauka hivi karibuni alionekana akiwa Location na mwigizaji na muongozaji wa filamu Richie, na kuahidi kazi mpya na kali inafanyika na hivyo mashabiki wakae...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Coronavirus imepewa jina jipya rasmi -Covid-19, yasema WHO