Coronavirus imepewa jina jipya rasmi -Covid-19, yasema WHO
Watafiti wamekuwa wakitoa wito wa kupewa jina rasmi virusi vya corona ili kuepusha mkanganyiko juu ya virusi hivyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM18 Jun
SERIKALI YASEMA HAINA HAKIMILIKI YA JINA LA MLIMA KILIMANJARO
SERIKALI imesema Tanzania haina haki miliki ya jina la mlima Kilimanjaro, hivyo mashirika mbalimbali yanaweza kutumia nembo ya jina hilo katika kutangaza vivutio vya utalii kama Shirika la Ndege la Kenya, Kenya Airways linavyodaiwa kutumia nembo ya Mlima huo.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Fredrick Werema, ameliambia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Jumanne Juni 17, 2014 kuwa kitendo cha Shirika hilo kutumia nembo ya mlima huo hakina madhara yoyote kutokana na kuwa hakuna aliye...
10 years ago
BBCSwahili04 May
Somalia:Alshabaab lapewa jina jipya
10 years ago
Bongo Movies14 Dec
Rose Ndauka:Jina langu Jipya ni Bakita
Kwasasa akiwa katika utengenezaji wa filamu mpya ambayo inafanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment, Mwigizaji Rose Ndauka aliandika mtandaaoni kwa kifupi kuwa jina lake jipya ni Bakita.
“My new name it's Bakita#new”
Swala liliowaacha mashabiki wengi kubaki na maswali mengi juu nini hasa kimemfanya awe na jina jipya.
Rose Ndauka hivi karibuni alionekana akiwa Location na mwigizaji na muongozaji wa filamu Richie, na kuahidi kazi mpya na kali inafanyika na hivyo mashabiki wakae...
10 years ago
Bongo Movies23 Dec
Kundi La Sanaa La Kaole Limerudi Tena Na Jina Jipya
Kundi kongwe la sanaa ya uigizaji na ngoma lililotoa vipaji vingi vya uigizaji hapa nchini, Kundi la Sanaa la Kaole “Kaole Sanaa Group” limerudi ila sasa kwa jina lingine..habari kamili ametueleza hapa, Halima Yahya “DAVINA”moja kati ya waliokuwa kaole na sasa wameasisi hii kaone, anasema;
"Wapenzi wetu wa tamthilia na filamu za kibongo...mimi km mimi nimekua nikipokea maoni ya watu wengi hapa na hata mikoani kwamba wamemiss tamthilia zetu za zamani zilizokua zimejaa maadili na mafundisho...
5 years ago
CNBCAfrica.Com08 Apr
Coronavirus – Rwanda: Update on COVID-19 Coronavirus - 7 April 2020
11 years ago
Dewji Blog15 Apr
BMTL yabadili jina la kibiashara na kuwa Copy Cat rasmi
Afisa Mtendaji Mkuu wa BMTL, Copy Cat, Bw Mike Holtham akizungumza na mmoja wa wageni waalikwa katika sherehe hizo za kuzindua jina jipya nchini na kuzungumza na wateja wao.
.Yapata Afisa Mtendaji Mkuu Mpya
.yawa wakala rasmi wa bidhaa za Samsung Tanzania
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania
KAMPUNI ya Business Machines Tanzania Limited (BMTL) imebadilisha rasmi jina lake la biashara kwenda kwenye kampuni yake mama ya Copy Cat katika harakati zake za kupanua wigo wa biashara...
9 years ago
MichuziNMB YAZINDUA RASMI JENGO LAKE JIPYA LA MAKAO MAKUU
5 years ago
Metro.Co.Uk22 Mar
Coronavirus UK: What is the Army doing about Covid-19?
5 years ago
BBC03 Apr
Coronavirus: Where will be the last place to catch Covid-19?
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10