Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus imepewa jina jipya rasmi -Covid-19, yasema WHO

Watafiti wamekuwa wakitoa wito wa kupewa jina rasmi virusi vya corona ili kuepusha mkanganyiko juu ya virusi hivyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

SERIKALI YASEMA HAINA HAKIMILIKI YA JINA LA MLIMA KILIMANJARO

SERIKALI imesema Tanzania haina haki miliki ya jina la mlima Kilimanjaro, hivyo mashirika mbalimbali yanaweza kutumia nembo ya jina hilo katika kutangaza vivutio vya utalii kama Shirika la Ndege la Kenya, Kenya Airways linavyodaiwa kutumia nembo ya Mlima huo. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Fredrick Werema, ameliambia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Jumanne Juni 17, 2014 kuwa kitendo cha Shirika hilo kutumia nembo ya mlima huo hakina madhara yoyote kutokana na kuwa hakuna aliye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Somalia:Alshabaab lapewa jina jipya

Utawala nchini Somalia umeviamrisha vyombo vya habari nchini humo kulipa kundi la wanamgambo wa Al Shaabab jina mpya.

 

10 years ago

Bongo Movies

Rose Ndauka:Jina langu Jipya ni Bakita

Kwasasa akiwa katika utengenezaji wa filamu mpya ambayo inafanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment, Mwigizaji Rose Ndauka aliandika mtandaaoni kwa kifupi kuwa jina lake jipya ni Bakita.

“My new name it's Bakita#new”

Swala liliowaacha mashabiki wengi kubaki na  maswali mengi juu  nini hasa kimemfanya awe na jina jipya.

Rose Ndauka hivi karibuni alionekana akiwa Location na mwigizaji na muongozaji wa filamu Richie, na kuahidi kazi mpya na kali inafanyika na hivyo mashabiki wakae...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kundi La Sanaa La Kaole Limerudi Tena Na Jina Jipya

Kundi kongwe la sanaa ya uigizaji na ngoma lililotoa vipaji vingi vya uigizaji hapa nchini, Kundi la Sanaa la Kaole “Kaole Sanaa Group” limerudi ila sasa kwa jina lingine..habari kamili ametueleza hapa, Halima Yahya “DAVINA”moja kati ya waliokuwa kaole na sasa wameasisi hii kaone, anasema;

"Wapenzi wetu wa tamthilia na filamu za kibongo...mimi km mimi nimekua nikipokea maoni ya watu wengi hapa na hata mikoani kwamba wamemiss tamthilia zetu za zamani zilizokua zimejaa maadili na mafundisho...

 

5 years ago

CNBCAfrica.Com

Coronavirus – Rwanda: Update on COVID-19 Coronavirus - 7 April 2020

Coronavirus – Rwanda: Update on COVID-19 Coronavirus - 7 April 2020  CNBCAfrica.comSan Diego Coronavirus Updates: April 7, 2020 (10 pm)  CBS 8 San DiegoView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Dewji Blog

BMTL yabadili jina la kibiashara na kuwa Copy Cat rasmi

BMTL CEO

Afisa Mtendaji Mkuu wa BMTL, Copy Cat, Bw Mike Holtham akizungumza na mmoja wa wageni waalikwa katika sherehe hizo za kuzindua jina jipya nchini na kuzungumza na wateja wao.

.Yapata Afisa Mtendaji Mkuu Mpya

.yawa wakala rasmi wa bidhaa za Samsung Tanzania 

Na Damas Makangale, MOblog Tanzania

KAMPUNI ya Business Machines Tanzania Limited (BMTL) imebadilisha rasmi jina lake la biashara kwenda kwenye kampuni yake mama ya Copy Cat katika harakati zake za kupanua wigo wa biashara...

 

9 years ago

Michuzi

NMB YAZINDUA RASMI JENGO LAKE JIPYA LA MAKAO MAKUU

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania – Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa jengo jipya la makao makuu ya NMB na tawi jipya la NMB Private Banking kwenye jengo la makao makuu ya NMB jana jijini Dar es Salaam. Wakishuhudia tukio hilo ni Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa NMB – Prof. Joseph Semboja(kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa NMB – Ineke Bussemaker (wapili kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam – Saidi Meck Sadiki (kulia) pamoja na wafanyakazi wa NMB.

 

5 years ago

Metro.Co.Uk

Coronavirus UK: What is the Army doing about Covid-19?

Coronavirus UK: What is the Army doing about Covid-19?  Metro.co.ukCoronavirus: First day of UK cafe and pub coronavirus shutdown  BBC NewsPubs, Restaurants In UK Shut Indefinitely Over Coronavirus Threat  NDTV NewsCoronavirus UK: Are coronavirus symptoms in children same as adults?  Metro.co.ukCoronavirus: UK restrictions could last a year - BBC News  BBC NewsView Full coverage on Google News

 

5 years ago

BBC

Coronavirus: Where will be the last place to catch Covid-19?

Some places are yet to record a case - but what will they do if and when it arrives?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani