Somalia:Alshabaab lapewa jina jipya
Utawala nchini Somalia umeviamrisha vyombo vya habari nchini humo kulipa kundi la wanamgambo wa Al Shaabab jina mpya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
Wapiganaji wa Alshabaab wauawa Somalia
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Alshabaab lawaua wanajeshi 13 Somalia
10 years ago
Bongo Movies14 Dec
Rose Ndauka:Jina langu Jipya ni Bakita
Kwasasa akiwa katika utengenezaji wa filamu mpya ambayo inafanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment, Mwigizaji Rose Ndauka aliandika mtandaaoni kwa kifupi kuwa jina lake jipya ni Bakita.
“My new name it's Bakita#new”
Swala liliowaacha mashabiki wengi kubaki na maswali mengi juu nini hasa kimemfanya awe na jina jipya.
Rose Ndauka hivi karibuni alionekana akiwa Location na mwigizaji na muongozaji wa filamu Richie, na kuahidi kazi mpya na kali inafanyika na hivyo mashabiki wakae...
10 years ago
Bongo Movies23 Dec
Kundi La Sanaa La Kaole Limerudi Tena Na Jina Jipya
Kundi kongwe la sanaa ya uigizaji na ngoma lililotoa vipaji vingi vya uigizaji hapa nchini, Kundi la Sanaa la Kaole “Kaole Sanaa Group” limerudi ila sasa kwa jina lingine..habari kamili ametueleza hapa, Halima Yahya “DAVINA”moja kati ya waliokuwa kaole na sasa wameasisi hii kaone, anasema;
"Wapenzi wetu wa tamthilia na filamu za kibongo...mimi km mimi nimekua nikipokea maoni ya watu wengi hapa na hata mikoani kwamba wamemiss tamthilia zetu za zamani zilizokua zimejaa maadili na mafundisho...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Coronavirus imepewa jina jipya rasmi -Covid-19, yasema WHO
9 years ago
Mzalendo Zanzibar29 Aug
Shirika la utangazaji la Taifa lapewa onyo
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Na Beatrice Shayo 29th August 2015 Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA) Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA), imetoa onyo kali kwa Shirika la Utangazaji (TBC1) kwa kuchambua vichwa vya habari vya magazeti […]
The post Shirika la utangazaji la Taifa lapewa onyo appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Habarileo17 May
Bunge lapewa dola 100,000 kununua vifaa
CHAMA kinachoshughulika katika kupunguza silaha na maridhiano nchini China, kimetoa dola 100,000 (Sh milioni 160) kwa ajili ya kununua vifaa mbalimbali kwa matumizi ya Bunge, ikiwa ni pamoja na kompyuta na vipaza sauti vya kisasa.
10 years ago
BBCSwahili09 Nov
Wapiganaji 70 wa Alshabaab wauawa
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Alshabaab:US yathibitisha mauaji