Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alshabaab:US yathibitisha mauaji

Wizara ya ulinzi nchini Marekani imethibitisha kwamba imemuua mojawapo ya viongozi wa kundi la wapiganaji wa Somalia Al Shabaab

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 70 wa Alshabaab wauawa

Mamlaka kusini mwa Somali inasema kuwa zaidi ya wapiganaji 70 wa kundi la Alshabaab waliuawa katika mapigano siku ya jumamosi

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 19 wa UG waliuawa na Alshabaab

Rais wa Uganda Yoweri Museveni anasema kuwa wanajeshi wake 19 waliuawa kwenye shambulizi lililoendeshwa na wanamgambo wa Al shabaab nchini Somalia na wengine sita bado wakiwa hawajulikani waliko.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Kenya lawashambulia Alshabaab

Jeshi la Kenya limedai kuishambulia ngome ya Alshabab, Jilib, na kuwaangamiza baadhi ya wakuu wa kundi hilo la wapiganaji haramu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Alshabaab wapata silaha za serikali

Umoja wa mataifa wasema kuwa silaha za serikali ya Somali zimeingia katika mikono ya kundi la Alshabaab.

 

9 years ago

BBCSwahili

Alshabaab lawaua wanajeshi 13 Somalia

Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab nchini Somali, wameshambulia kambi yenye chuo cha wanajeshi kusini mwa nchi na kuwauwa wanajeshi 13.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yamsaka mpiganaji wa Alshabaab

Maafisa wa polisi nchini Kenya wametoa zawadi ya dola laki moja kwa mtu yeyote atakayemkamata raia wa Ujerumani anayetuhumiwa kuhusika katika shambulizi la kundi la Alshabaab.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Alshabaab wauawa Somalia

Serikali ya Somalia inasema kuwa takriban wanamgambo 45 wa kundi la Al-Shabab wameuawa kwenye shambulizi la angani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabaab yavamia tena vijiji 3 Kenya

Al-Shabaab yavamia vijiji 3 Kaskazini Mashariki mwa Kenya na kupeperusha bendera yao kabla ya kutimuliwa na maafisa wa usalama

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabaab ladai kuwaua wapelelezi wa USA

Wapiganaji wa kundi la Alshabaab kutoka Somalia wanasema kuwa wamewaua watu wanne wanaodaiwa kuwa wapelelezi wa Marekani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani