Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya yamsaka mpiganaji wa Alshabaab

Maafisa wa polisi nchini Kenya wametoa zawadi ya dola laki moja kwa mtu yeyote atakayemkamata raia wa Ujerumani anayetuhumiwa kuhusika katika shambulizi la kundi la Alshabaab.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Kenya lawashambulia Alshabaab

Jeshi la Kenya limedai kuishambulia ngome ya Alshabab, Jilib, na kuwaangamiza baadhi ya wakuu wa kundi hilo la wapiganaji haramu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabaab ladaiwa kuviteka vijiji Kenya

Hofu kubwa imetanda Kaskazini mwa nchi ya Kenya,baada ya kuwepo kwa taarifa kwamba kundi la wapiganaji wa Al shabaab limeviteka vijiji Kenya

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabaab:Viongozi wapokea vitisho Kenya

Viongozi wawili wa dini nchini Kenya wameiambia BBC kwamba wamepokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa wapiganaji wa Alshabaab

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabaab yavamia tena vijiji 3 Kenya

Al-Shabaab yavamia vijiji 3 Kaskazini Mashariki mwa Kenya na kupeperusha bendera yao kabla ya kutimuliwa na maafisa wa usalama

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yamsaka Jihadi John

Jeshi la Marekani limefanya uvamizi wa anga, kumkamata mpiganaji wa kundi la kigaidi la Islamic state ajulikanaye kama Jihadi John

 

11 years ago

GPL

SERIKALI YAHAHA, YAMSAKA BALALI

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
IKIWA ni takriban miaka sita sasa tangu aliyekuwa Gavana wa Benki ya Tanzania  (BoT), Daudi Balali , afariki dunia nchini Marekani, serikali imesema inamsaka kwa udi na uvumba Balali feki anayepotosha Wabongo kwa kujifanya yu hai na anaendelea na maisha nchini humo. Aliyekuwa Gavana wa Benki ya Tanzania  (BoT), Marehemu Daudi Balali enzi za uhai wake. Akizungumza na...

 

11 years ago

Mwananchi

Liverpool yamsaka nyota PSV

Liverpool imeanza kumfutilia kwa karibu mshambuliaji wa PSV Eindhoven, Ola Toivonen.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi Kilimanjaro yamsaka Papaa

JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro, limeungana na Idara ya Uhamiaji kumsaka mfanyabiashara Emmanuel Kisima maarufu kwa jina la ‘Papaa’ anayetuhumiwa kuwa kinara wa mtandao wa kusafirisha wahamiaji haramu. Mfanyabiashara huyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi yamsaka Lema kwa vurugu

>Jeshi la Polisi mkoani Arusha linamtafuta  Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na watu wengine watatu ili kuhojiwa kuhusu malalamiko ya vurugu zilizotokea kwenye mikutano ya kampeni za uchaguzi wa kiti cha udiwani Kata ya Sombetini wiki iliyopita ambapo watu kadhaa walijeruhiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani