Kenya yamsaka mpiganaji wa Alshabaab
Maafisa wa polisi nchini Kenya wametoa zawadi ya dola laki moja kwa mtu yeyote atakayemkamata raia wa Ujerumani anayetuhumiwa kuhusika katika shambulizi la kundi la Alshabaab.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili21 May
Jeshi la Kenya lawashambulia Alshabaab
Jeshi la Kenya limedai kuishambulia ngome ya Alshabab, Jilib, na kuwaangamiza baadhi ya wakuu wa kundi hilo la wapiganaji haramu.
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Alshabaab ladaiwa kuviteka vijiji Kenya
Hofu kubwa imetanda Kaskazini mwa nchi ya Kenya,baada ya kuwepo kwa taarifa kwamba kundi la wapiganaji wa Al shabaab limeviteka vijiji Kenya
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Alshabaab:Viongozi wapokea vitisho Kenya
Viongozi wawili wa dini nchini Kenya wameiambia BBC kwamba wamepokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa wapiganaji wa Alshabaab
10 years ago
BBCSwahili22 May
Alshabaab yavamia tena vijiji 3 Kenya
Al-Shabaab yavamia vijiji 3 Kaskazini Mashariki mwa Kenya na kupeperusha bendera yao kabla ya kutimuliwa na maafisa wa usalama
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
Marekani yamsaka Jihadi John
Jeshi la Marekani limefanya uvamizi wa anga, kumkamata mpiganaji wa kundi la kigaidi la Islamic state ajulikanaye kama Jihadi John
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDqiVZWfq2y5KjFxXhWCwTG7XUYKPJDPVoRJ2gGXb*LzDxWw73wLGtKkwCbjR009WUFYpCmpTuHuOar34SZCjj37/balali.jpg)
SERIKALI YAHAHA, YAMSAKA BALALI
Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
IKIWA ni takriban miaka sita sasa tangu aliyekuwa Gavana wa Benki ya Tanzania (BoT), Daudi Balali , afariki dunia nchini Marekani, serikali imesema inamsaka kwa udi na uvumba Balali feki anayepotosha Wabongo kwa kujifanya yu hai na anaendelea na maisha nchini humo. Aliyekuwa Gavana wa Benki ya Tanzania (BoT), Marehemu Daudi Balali enzi za uhai wake. Akizungumza na...
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Liverpool yamsaka nyota PSV
Liverpool imeanza kumfutilia kwa karibu mshambuliaji wa PSV Eindhoven, Ola Toivonen.
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Polisi Kilimanjaro yamsaka Papaa
JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro, limeungana na Idara ya Uhamiaji kumsaka mfanyabiashara Emmanuel Kisima maarufu kwa jina la ‘Papaa’ anayetuhumiwa kuwa kinara wa mtandao wa kusafirisha wahamiaji haramu. Mfanyabiashara huyo...
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Polisi yamsaka Lema kwa vurugu
>Jeshi la Polisi mkoani Arusha linamtafuta Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na watu wengine watatu ili kuhojiwa kuhusu malalamiko ya vurugu zilizotokea kwenye mikutano ya kampeni za uchaguzi wa kiti cha udiwani Kata ya Sombetini wiki iliyopita ambapo watu kadhaa walijeruhiwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania