Alshabaab ladaiwa kuviteka vijiji Kenya
Hofu kubwa imetanda Kaskazini mwa nchi ya Kenya,baada ya kuwepo kwa taarifa kwamba kundi la wapiganaji wa Al shabaab limeviteka vijiji Kenya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 May
Alshabaab yavamia tena vijiji 3 Kenya
Al-Shabaab yavamia vijiji 3 Kaskazini Mashariki mwa Kenya na kupeperusha bendera yao kabla ya kutimuliwa na maafisa wa usalama
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Kenya yamsaka mpiganaji wa Alshabaab
Maafisa wa polisi nchini Kenya wametoa zawadi ya dola laki moja kwa mtu yeyote atakayemkamata raia wa Ujerumani anayetuhumiwa kuhusika katika shambulizi la kundi la Alshabaab.
11 years ago
BBCSwahili21 May
Jeshi la Kenya lawashambulia Alshabaab
Jeshi la Kenya limedai kuishambulia ngome ya Alshabab, Jilib, na kuwaangamiza baadhi ya wakuu wa kundi hilo la wapiganaji haramu.
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Alshabaab:Viongozi wapokea vitisho Kenya
Viongozi wawili wa dini nchini Kenya wameiambia BBC kwamba wamepokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa wapiganaji wa Alshabaab
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5EgdLOgHYUEu5i-DlWLSUyDRTL9ZdeRzFAH40qOM0ndSErcVgcdn*zvbN9b7ZVnfPT--KcvxR-gw75TS*nqbd6eG/14.jpg?width=650)
AL SHAABAB YAVAMIA VIJIJI VITATU GARISSA, KENYA
Al Shaabab walivyoshambulia Chuo cha Garissa mwezi uliopita. Wapiganaji wa kundi la kigaidi la Al Shaabab. Jeshi la serikali nchini Kenya. Garissa, Kenya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Kenya imesema kuwa walinda usalama wamekabiliana na washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al-Shaabab, katika…
11 years ago
Habarileo13 Feb
Bwawa ladaiwa kuwekewa sumu
BWAWA la Pigo wilayani Bagamoyo katika Mkoa wa Pwani, linadaiwa kuwekewa sumu na watu wasiojulikana.
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Vazi la Burqa ladaiwa kuwa la itikadi kali
Mwanachama mwandamizi wa chama cha kikomyunisti katika jimbo la Xinjiang amesema kuwa vazi la kufunika uso la Burqa sio la kiislamu bali ni la itikadi kali.
11 years ago
BBCSwahili13 Apr
Boko Haram ladaiwa kuwaua watu laki moja
Sasa imebainika kuwa wanamgambo wa kiislamu kazkazini mwa Nigeria waliwaua zaidi ya watu laki moja katika jimbo la Borno.
10 years ago
Mwananchi10 Nov
UTATA: Jalada la kesi ladaiwa kuibiwa kwa msajili
>Uzembe unadaiwa kufanywa Mahakama Kuu, Kanda ya Moshi, baada ya jalada moja la kesi kudaiwa kuibwa katika mazingira tata kutoka ofisi ya msajili wa wilaya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania