Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alshabaab ladaiwa kuviteka vijiji Kenya

Hofu kubwa imetanda Kaskazini mwa nchi ya Kenya,baada ya kuwepo kwa taarifa kwamba kundi la wapiganaji wa Al shabaab limeviteka vijiji Kenya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Alshabaab yavamia tena vijiji 3 Kenya

Al-Shabaab yavamia vijiji 3 Kaskazini Mashariki mwa Kenya na kupeperusha bendera yao kabla ya kutimuliwa na maafisa wa usalama

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yamsaka mpiganaji wa Alshabaab

Maafisa wa polisi nchini Kenya wametoa zawadi ya dola laki moja kwa mtu yeyote atakayemkamata raia wa Ujerumani anayetuhumiwa kuhusika katika shambulizi la kundi la Alshabaab.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Kenya lawashambulia Alshabaab

Jeshi la Kenya limedai kuishambulia ngome ya Alshabab, Jilib, na kuwaangamiza baadhi ya wakuu wa kundi hilo la wapiganaji haramu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabaab:Viongozi wapokea vitisho Kenya

Viongozi wawili wa dini nchini Kenya wameiambia BBC kwamba wamepokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa wapiganaji wa Alshabaab

 

10 years ago

GPL

AL SHAABAB YAVAMIA VIJIJI VITATU GARISSA, KENYA

Al Shaabab walivyoshambulia Chuo cha Garissa mwezi uliopita. Wapiganaji wa kundi la kigaidi la Al Shaabab. Jeshi la serikali nchini Kenya. Garissa, Kenya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Kenya imesema kuwa walinda usalama wamekabiliana na washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al-Shaabab, katika…

 

11 years ago

Habarileo

Bwawa ladaiwa kuwekewa sumu

Profesa Jumanne MaghembeBWAWA la Pigo wilayani Bagamoyo katika Mkoa wa Pwani, linadaiwa kuwekewa sumu na watu wasiojulikana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vazi la Burqa ladaiwa kuwa la itikadi kali

Mwanachama mwandamizi wa chama cha kikomyunisti katika jimbo la Xinjiang amesema kuwa vazi la kufunika uso la Burqa sio la kiislamu bali ni la itikadi kali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram ladaiwa kuwaua watu laki moja

Sasa imebainika kuwa wanamgambo wa kiislamu kazkazini mwa Nigeria waliwaua zaidi ya watu laki moja katika jimbo la Borno.

 

10 years ago

Mwananchi

UTATA: Jalada la kesi ladaiwa kuibiwa kwa msajili

>Uzembe unadaiwa kufanywa Mahakama Kuu, Kanda ya Moshi, baada ya jalada moja la kesi kudaiwa kuibwa katika mazingira tata kutoka ofisi ya msajili wa wilaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani