Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeshi la Kenya lawashambulia Alshabaab

Jeshi la Kenya limedai kuishambulia ngome ya Alshabab, Jilib, na kuwaangamiza baadhi ya wakuu wa kundi hilo la wapiganaji haramu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yamsaka mpiganaji wa Alshabaab

Maafisa wa polisi nchini Kenya wametoa zawadi ya dola laki moja kwa mtu yeyote atakayemkamata raia wa Ujerumani anayetuhumiwa kuhusika katika shambulizi la kundi la Alshabaab.

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabaab:Viongozi wapokea vitisho Kenya

Viongozi wawili wa dini nchini Kenya wameiambia BBC kwamba wamepokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa wapiganaji wa Alshabaab

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabaab yavamia tena vijiji 3 Kenya

Al-Shabaab yavamia vijiji 3 Kaskazini Mashariki mwa Kenya na kupeperusha bendera yao kabla ya kutimuliwa na maafisa wa usalama

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabaab ladaiwa kuviteka vijiji Kenya

Hofu kubwa imetanda Kaskazini mwa nchi ya Kenya,baada ya kuwepo kwa taarifa kwamba kundi la wapiganaji wa Al shabaab limeviteka vijiji Kenya

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Kenya latuhumiwa Somalia

Jeshi la Kenya limetuhumiwa kujihusisha na biashara haramu, badala ya kufanya kazi zinazowahusu nchini Somalia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Uingereza kufanya mazoezi Kenya

Uingereza imetia saini mkataba wa makubaliano ya kuendelea kuwa na kambi yake ya jeshi nchini Kenya kwa miaka mitano zaidi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Akaunti ya Twitter ya jeshi la Kenya yavamiwa

Akaunti ya Twitter ya jeshi la Kenya imevamiwa na wanaharakati ambao wanasema wanapinga ufisadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kambi ya jeshi yavamiwa Mombasa,Kenya

Wanajeshi katika kambi ya jeshi ya Nyali iliopo mjini Mombasa pwani ya Kenya wamewaua kwa kuwapiga risasi watu 5

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Kenya lafanya shambulio Somalia

Jeshi la Kenya limeshambulia maeneo mawili ya jimbo la Gedo nchini Somalia,ambalo ni makao ya wapiganaji wa kundi la Alshabaab

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani