Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alshabaab wapata silaha za serikali

Umoja wa mataifa wasema kuwa silaha za serikali ya Somali zimeingia katika mikono ya kundi la Alshabaab.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

10 years ago

Vijimambo

SERIKALI HAIUNGI MKONO MATUMIZI YA SILAHA ZA NYUKLIA, dKT. kANALI mASALLA

Mjumbe anayewakilisha Tanzania katika Kamati ya Kwanza ya Umoja wa Mataifa, Dkt. Kanali Edward Masalla akisoma hotuba yake iliyohusu masuala ya uteketezaji wa silaha za nyuklia na maangamizi.Wajumbe wengine wa Tanzania wakisikiliza houtuba ya Dkt. Masalla
Na. Ally Kondo, New York

Serikali imesema kuwa inaunga mkono msimamo wa kuteketeza kabisa silaha za nyuklia na silaha nyingine za maangamizi duniani kote. Aidha, inapinga umiliki, utengenezaji pamoja na vitendo vyovyote vya kuashiria...

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabaab:US yathibitisha mauaji

Wizara ya ulinzi nchini Marekani imethibitisha kwamba imemuua mojawapo ya viongozi wa kundi la wapiganaji wa Somalia Al Shabaab

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 19 wa UG waliuawa na Alshabaab

Rais wa Uganda Yoweri Museveni anasema kuwa wanajeshi wake 19 waliuawa kwenye shambulizi lililoendeshwa na wanamgambo wa Al shabaab nchini Somalia na wengine sita bado wakiwa hawajulikani waliko.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 70 wa Alshabaab wauawa

Mamlaka kusini mwa Somali inasema kuwa zaidi ya wapiganaji 70 wa kundi la Alshabaab waliuawa katika mapigano siku ya jumamosi

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Kenya lawashambulia Alshabaab

Jeshi la Kenya limedai kuishambulia ngome ya Alshabab, Jilib, na kuwaangamiza baadhi ya wakuu wa kundi hilo la wapiganaji haramu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Alshabaab lawaua wanajeshi 13 Somalia

Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab nchini Somali, wameshambulia kambi yenye chuo cha wanajeshi kusini mwa nchi na kuwauwa wanajeshi 13.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Alshabaab wauawa Somalia

Serikali ya Somalia inasema kuwa takriban wanamgambo 45 wa kundi la Al-Shabab wameuawa kwenye shambulizi la angani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yamsaka mpiganaji wa Alshabaab

Maafisa wa polisi nchini Kenya wametoa zawadi ya dola laki moja kwa mtu yeyote atakayemkamata raia wa Ujerumani anayetuhumiwa kuhusika katika shambulizi la kundi la Alshabaab.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani