Alshabaab wapata silaha za serikali
Umoja wa mataifa wasema kuwa silaha za serikali ya Somali zimeingia katika mikono ya kundi la Alshabaab.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.
10 years ago
VijimamboSERIKALI HAIUNGI MKONO MATUMIZI YA SILAHA ZA NYUKLIA, dKT. kANALI mASALLA
Mjumbe anayewakilisha Tanzania katika Kamati ya Kwanza ya Umoja wa Mataifa, Dkt. Kanali Edward Masalla akisoma hotuba yake iliyohusu masuala ya uteketezaji wa silaha za nyuklia na maangamizi.Wajumbe wengine wa Tanzania wakisikiliza houtuba ya Dkt. Masalla
Na. Ally Kondo, New York
Serikali imesema kuwa inaunga mkono msimamo wa kuteketeza kabisa silaha za nyuklia na silaha nyingine za maangamizi duniani kote. Aidha, inapinga umiliki, utengenezaji pamoja na vitendo vyovyote vya kuashiria...
Na. Ally Kondo, New York
Serikali imesema kuwa inaunga mkono msimamo wa kuteketeza kabisa silaha za nyuklia na silaha nyingine za maangamizi duniani kote. Aidha, inapinga umiliki, utengenezaji pamoja na vitendo vyovyote vya kuashiria...
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Alshabaab:US yathibitisha mauaji
Wizara ya ulinzi nchini Marekani imethibitisha kwamba imemuua mojawapo ya viongozi wa kundi la wapiganaji wa Somalia Al Shabaab
9 years ago
BBCSwahili12 Sep
Wanajeshi 19 wa UG waliuawa na Alshabaab
Rais wa Uganda Yoweri Museveni anasema kuwa wanajeshi wake 19 waliuawa kwenye shambulizi lililoendeshwa na wanamgambo wa Al shabaab nchini Somalia na wengine sita bado wakiwa hawajulikani waliko.
10 years ago
BBCSwahili09 Nov
Wapiganaji 70 wa Alshabaab wauawa
Mamlaka kusini mwa Somali inasema kuwa zaidi ya wapiganaji 70 wa kundi la Alshabaab waliuawa katika mapigano siku ya jumamosi
11 years ago
BBCSwahili21 May
Jeshi la Kenya lawashambulia Alshabaab
Jeshi la Kenya limedai kuishambulia ngome ya Alshabab, Jilib, na kuwaangamiza baadhi ya wakuu wa kundi hilo la wapiganaji haramu.
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Alshabaab lawaua wanajeshi 13 Somalia
Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab nchini Somali, wameshambulia kambi yenye chuo cha wanajeshi kusini mwa nchi na kuwauwa wanajeshi 13.
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
Wapiganaji wa Alshabaab wauawa Somalia
Serikali ya Somalia inasema kuwa takriban wanamgambo 45 wa kundi la Al-Shabab wameuawa kwenye shambulizi la angani.
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Kenya yamsaka mpiganaji wa Alshabaab
Maafisa wa polisi nchini Kenya wametoa zawadi ya dola laki moja kwa mtu yeyote atakayemkamata raia wa Ujerumani anayetuhumiwa kuhusika katika shambulizi la kundi la Alshabaab.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania