SERIKALI HAIUNGI MKONO MATUMIZI YA SILAHA ZA NYUKLIA, dKT. kANALI mASALLA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0M3FqtgWgl4/VDk40wJdRBI/AAAAAAADJVs/7BSOSlrBzs8/s72-c/UNGA%2B032.jpg)
Mjumbe anayewakilisha Tanzania katika Kamati ya Kwanza ya Umoja wa Mataifa, Dkt. Kanali Edward Masalla akisoma hotuba yake iliyohusu masuala ya uteketezaji wa silaha za nyuklia na maangamizi.
Wajumbe wengine wa Tanzania wakisikiliza houtuba ya Dkt. Masalla
Na. Ally Kondo, New York
Serikali imesema kuwa inaunga mkono msimamo wa kuteketeza kabisa silaha za nyuklia na silaha nyingine za maangamizi duniani kote. Aidha, inapinga umiliki, utengenezaji pamoja na vitendo vyovyote vya kuashiria...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/q8cMkcAPqMM/default.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jqmCTePQkug/Xrd2nVdxzlI/AAAAAAABAhQ/RX1iPxnvoXwQE8fUsjxliv_Q78joqZgrQCNcBGAsYHQ/s72-c/d3f2a13f-5d36-40da-8365-9eb08e288857.jpg)
DKT. MSUYA AIUNGA MKONO SERIKALI DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jqmCTePQkug/Xrd2nVdxzlI/AAAAAAABAhQ/RX1iPxnvoXwQE8fUsjxliv_Q78joqZgrQCNcBGAsYHQ/s400/d3f2a13f-5d36-40da-8365-9eb08e288857.jpg)
Dk Msuya amekabidhi mashine mbili katika Zahanati ya Mamba iliyopo Ugweno Mwanga pamoja na Mashine zingine mbili katika soko la Kikweni lililopo ndani ya Tarafa hiyo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-lumowWN1Gtw/Xrd2-4I74_I/AAAAAAABAhY/LTtXJJfJm_oax-Tp1SsBVfJ2nPmejNsRwCNcBGAsYHQ/s400/74d5f8d9-9f29-46dc-844f-f8564d8d7072.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Serikali yasitisha matumizi ya picha ya Rais wa awamu ya 5 Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene.
Serikali inapenda kuzitaarifu ofisi za umma na wananchi kwa ujumla kwamba imesitisha matumizi ya picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Serikali ya Awamu ya Tano, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena.
Awali majira ya saa 6: 00 jana mchana Novemba 6, mwaka huu Serikali ilitangaza kuhusu kuanza rasmi kwa matumizi ya picha ya Rais.
Aidha, Serikali imesema kwamba itazitangazia ofisi...
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-SydUbhxmfig/U3yyghkQjRI/AAAAAAAAAhs/_wLdRgwymcI/s72-c/12345.jpg)
SERIKALI NCHINI UCHINA IMEPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA WINDOW 8 KWA KOMPUTA ZOTE ZA SERIKALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SydUbhxmfig/U3yyghkQjRI/AAAAAAAAAhs/_wLdRgwymcI/s1600/12345.jpg)
Tangazo hilo la serikali linalosemeka “HAPA” limebainisha uamuzi huo wa serikali umekuja baada ya kufungiwa huduma za kiusalama kwa...
11 years ago
BBCSwahili15 Feb
Alshabaab wapata silaha za serikali
5 years ago
CCM Blog24 May
DKT. BASHIRU AKEMEA MATUMIZI MABAYA YA MITANDAO YA KIJAMII
Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally amekemea watu wanaotumia mitandao ya kijamii kupotosha jamii na hata kufikia hatua ya kuzua vifo kwa wengine, kama alivyofanya anayejiita Kigogo2014 katika mtandao wa twitter alipotoa taarifa za uongo za kifo cha Mtendaji wa Jumuiya ya CCM wilayani Rombo.
Ameyasema hayo alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la CCM mkoa wa Pwani leo tarehe 23 Mei, 2020 akitokea Dar es salaam kuelekea Makao Makuu ya Chama na Serikali...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XNAUpoqpZ5c/VgoMNmyqFtI/AAAAAAAH7p4/vP_BqjvfdMs/s72-c/PIX1a.jpg)
VIJANA WAANZISHA CLUB KUMUUNGA MKONO DKT. MAGUFULU
![](http://1.bp.blogspot.com/-XNAUpoqpZ5c/VgoMNmyqFtI/AAAAAAAH7p4/vP_BqjvfdMs/s640/PIX1a.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HV5YpfKyULQ/VgoMNhZVR-I/AAAAAAAH7qA/vBm3X7A4u_w/s640/PIX2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Vijana waanzisha Club kumuunga mkono Dkt. Magufuli
Mratibu wa Kampeni upande wa Vijana CCM kwa Mkoa wa Dar es Salaam na Vyuo Vikuu Bw. Daniel Zenda akizungumza na Zaidi ya Vijana 500 kutoka Jimbo la Mbagala wakati wa uzinduzi wa MAGUFULI Club jijini Dar es Salaam jana. MAGUFULI Club imeanzishwa kama jukwaa la kuwakutanisha vijana nchini kote wanaomuunga mkono mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli.
Mratibu wa MAGUFULI Club wilaya ya Temeke Bw. Peter Dafi akizungumza na vijana kutoka Jimbo la Mbagala...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tHw2hIw4wVs/XqgNi9V7LHI/AAAAAAALod0/uLwPxuYwzVsb25DrU0FrI-orGASA_GkuACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-3-7-768x512.jpg)
DKT. KALEMANI HARIDHISHWI NA KASI NDOGO YA MATUMIZI YA UMEME TABORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tHw2hIw4wVs/XqgNi9V7LHI/AAAAAAALod0/uLwPxuYwzVsb25DrU0FrI-orGASA_GkuACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-3-7-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-4-4-1024x683.jpg)
Viongozi wa Kijiji cha Mizanza wilayani Igunga Mkoani Tabora wakimsikiliza Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani, hayupo pichani baada ya kufanya ziara kijijini hapo ya kukagua shughuli za usambazaji umeme vjijini, Aprili 27, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-1-10-1024x755.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani( kulia)...