Alshabaab ladai kuwaua wapelelezi wa USA
Wapiganaji wa kundi la Alshabaab kutoka Somalia wanasema kuwa wamewaua watu wanne wanaodaiwa kuwa wapelelezi wa Marekani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Al Shabaab ladai kuwaua wanajeshi 10
Ripoti kutoka Somalia zinasema kuwa kundi la wapiganaji wa jihad nchini humo Al Ashabaab limevamia kambi moja ya kijeshi na kuwaua takriban wanajeshi 10.
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Al Shabaab ladai kuwaua askari wa Ethiopia
Kumekua na mapigano makali katikati mwa Somalia baina ya wanajeshi wa taifa hilo ,wanamgambo wa kiislam wa Alshaabab na wanajeshi wa Ethiopia
5 years ago
New Day Live24 Feb
Credit Settlement Market with Eminent Key Players and Future Outlook to 2026 | Guardian Debt Relief (USA), Freedom Debt Relief (USA), Debt Negotiation Services (USA)
Credit Settlement Market with Eminent Key Players and Future Outlook to 2026 | Guardian Debt Relief (USA), Freedom Debt Relief (USA), Debt Negotiation Services (USA) New Day Live
9 years ago
Habarileo27 Aug
Polisi kupeleka wapelelezi Kenya tukio la ugaidi
POLISI imesema inaandaa mipango ya kumtuma mtu nchini Kenya kwa ajili ya kupata taarifa kamili kuhusu, madai ya kukamatwa kwa Watanzania sita na kuhusishwa na ugaidi nchini Kenya.
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Jeshi la Misri ladai kuua kimakosa
Misri imesema jeshi lake la ulinzi limeuwa raia 12 kwa bahati mbaya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWpvjOFGHNQxL9ZL8sbxTB9uPLu-5E*r55-VH7xp09Bz1RloGs7KNrMQZuHJjfXut4pDu17QZwVPch1hNsopzJU/1.jpg)
ISIS WAWACHINJA WAPELELEZI WATATU MTAANI NCHINI IRAQ
Mmoja wa wapelelezi hao akichinjwa na mpiganaji wa ISIS. Mpiganaji huyo wa ISIS akimchinja mpelelezi mwingne. Pembeni kushoto ni mwili wa mwenzake. WATU watatu wanaodaiwa kuwa wapelelezi wameuawa kwa kuchinjwa na wapiganaji wa Kundi la ISIS nchini Iraq. Watu hao wanatuhumiwa kwa kulipepeleza kundi hilo kwa ajili ya serikali ya Iraq.…
9 years ago
Mwananchi17 Nov
DCI atuma timu ya wapelelezi sakata la mauaji Kilimanjaro
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Diwani Athuman ametuma wapelelezi mkoani Kilimanjaro, kuchunguza mauaji ya kinyama ya James Massawe aliyeuawa mwaka 2009.
9 years ago
BBCSwahili02 Jan
Kundi ladai kuhusika kutatiza tovuti za BBC
Kundi moja linalosema limekuwa likikabiliana na shughuli za Islamic State (IS) mtandaoni limedai kuhusika katika kuvuruga tovuti za BBC majuzi.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8bhziK2ZssM/Vggqq7V1UpI/AAAAAAAH7cg/k6SY3Rl6L9w/s72-c/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
JAPAN INTERNATIONAL COOPERATION AGENCY DELEGATION VISIT EAC HEADQUARTERS: Discuss dualling of Tengeru-Usa Road, Rehabilitation of Usa - Holili section, and Re-location of Kikafu Bridge
![](http://2.bp.blogspot.com/-8bhziK2ZssM/Vggqq7V1UpI/AAAAAAAH7cg/k6SY3Rl6L9w/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wVbU47O98Oo/Vggqu_aLqbI/AAAAAAAH7co/xyGcIas2JkY/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania