ISIS WAWACHINJA WAPELELEZI WATATU MTAANI NCHINI IRAQ
![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWpvjOFGHNQxL9ZL8sbxTB9uPLu-5E*r55-VH7xp09Bz1RloGs7KNrMQZuHJjfXut4pDu17QZwVPch1hNsopzJU/1.jpg)
Mmoja wa wapelelezi hao akichinjwa na mpiganaji wa ISIS. Mpiganaji huyo wa ISIS akimchinja mpelelezi mwingne. Pembeni kushoto ni mwili wa mwenzake. WATU watatu wanaodaiwa kuwa wapelelezi wameuawa kwa kuchinjwa na wapiganaji wa Kundi la ISIS nchini Iraq. Watu hao wanatuhumiwa kwa kulipepeleza kundi hilo kwa ajili ya serikali ya Iraq.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
ISIS yachapisha picha za mauaji Iraq .
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdg3z6quiFJ74ppqPXzk5GAI9L8ZZwvLYEtQDrc1n3Uoj8vL4Kg*y4XxPwr7Yly0cQd1oGzm8TbsDKJLZmtu7RBW/246FC8B2000005782897672imagea2_1420494615258.jpg?width=750)
ASKARI WANANE WA IRAQ WAUAWA KWA KUWAPELELEZA ISIS
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLadPkBmjBOvf3uP3diX7LV78B9S04sPXz9LunPfV45jsAbKru*v9DXf8PWBJ7g6NWDh82YkiIy3jViosVo-oy*Ug/1.jpg)
ISIS WAENDELEA KUFANYA MAUAJI YA KUTISHA HUKO SYRIA NA IRAQ
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo75TK-WTaK7PNemPbtuUGSLLjEpD-EDfHRHgujLe8OnPkXs2QYlP*RxiTDQuVX1jEcEIYkYlyUaqHiAR6DRFtAT/unnamed37.jpg)
MWILI WA KAMANDA WA ISIS WAKABIDHIWA KWA WIZARA YA AFYA YA IRAQ LEO
9 years ago
Global Publishers29 Dec
‘Hackers’ wazuia mashambulizi ya ISIS nchini Italia
Magaidi wa ISIS
Rome, Italia
Kundi la wadukuzi wa mtandaoni (Online Hackers) linalojiita Anonymous, limefanikiwa kuzima shambulizi la kigaidi la kundi la ISIS baada ya kuvamia akaunti zao za mitandao ya kijamii kisha kuwataarifu polisi na wahusika wa eneo shambulio hilo lilipokuwa limepangwa kufanyika.
Kwa mujibu wa Anonymous, shambulio hilo lilipangwa kufanyika Jumatatu, Desemba 28, mwaka huu lakini wakafanikiwa kunasa taarifa za magaidi hao wakati wakipanga mipango yao kisha...
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Mwanzilishi wa IS auawa nchini Iraq
10 years ago
BBCSwahili06 Sep
USA:hatutashirikiana na Iran nchini Iraq
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Wapiganaji wa IS wauteka mji nchini Iraq
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Marekani yashambulia Tikrit nchini Iraq