Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ISIS WAWACHINJA WAPELELEZI WATATU MTAANI NCHINI IRAQ

Mmoja wa wapelelezi hao akichinjwa na mpiganaji wa ISIS. Mpiganaji huyo wa ISIS akimchinja mpelelezi mwingne. Pembeni kushoto ni mwili wa mwenzake. WATU watatu wanaodaiwa kuwa wapelelezi wameuawa kwa kuchinjwa na wapiganaji wa Kundi la ISIS nchini Iraq. Watu hao wanatuhumiwa kwa kulipepeleza kundi hilo kwa ajili ya serikali ya Iraq.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

ISIS yachapisha picha za mauaji Iraq .

ISIS yachapisha picha za mauaji ya halaiki ya wanajeshi wa Iraq.

 

10 years ago

GPL

ASKARI WANANE WA IRAQ WAUAWA KWA KUWAPELELEZA ISIS

Mateka wakiwa wamepigishwa magoti tayari kwa kuuawa. Mateka wakipelekwa sehemu ya kuadhibiwa kwa ujasusi dhidi ya ISIS.…

 

10 years ago

GPL

ISIS WAENDELEA KUFANYA MAUAJI YA KUTISHA HUKO SYRIA NA IRAQ

Mpiganaji wa ISIS akinyanyua tofali la zege kumpiga mmoja wa wanaume waliokamatwa kwa kuua wanawake. Adhabu ya kuwapiga mawe wanaume waliokamatwa kwa mauaji ya wanawake watatu ikiendelea huko Iraq. Mmoja wa watuhumiwa wa uchawi akiwa tayari kuchinjwa na Kundi la ISIS huko Raqqa, Syria.…

 

10 years ago

GPL

MWILI WA KAMANDA WA ISIS WAKABIDHIWA KWA WIZARA YA AFYA YA IRAQ LEO

Mwili wa marehemu Izzat Ibrahim al-Douri baada ya kukabidhiwa kwa Wizara ya Afya, Baghdad leo. Izzat Ibrahim al-Douri enzi za uhai wake. Maofisa wa jeshi wakiwa wamebeba mwili wa Izzat.…

 

9 years ago

Global Publishers

‘Hackers’ wazuia mashambulizi ya ISIS nchini Italia

ISIS-militantsMagaidi wa ISIS

Rome, Italia
Kundi la wadukuzi wa mtandaoni (Online Hackers) linalojiita Anonymous, limefanikiwa kuzima shambulizi la kigaidi la kundi la ISIS baada ya kuvamia akaunti zao za mitandao ya kijamii kisha kuwataarifu polisi na wahusika wa eneo shambulio hilo lilipokuwa limepangwa kufanyika.
Kwa mujibu wa Anonymous, shambulio hilo lilipangwa kufanyika Jumatatu, Desemba 28, mwaka huu lakini wakafanikiwa kunasa taarifa za magaidi hao wakati wakipanga mipango yao kisha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanzilishi wa IS auawa nchini Iraq

Runinga nchini Iraq zimeripoti kuwa Izzat Ibrahim al-Douri, ambaye wakati mmoja alikuwa makamu wa Rais Saddam Hussein na ambaye ametajwa kama nguzo ya mchipuko wa kundi la Islamic State nchini Iraq, ameuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

USA:hatutashirikiana na Iran nchini Iraq

Marekani imesema kuwa haina mpango wa kushirikiana na Iran kukabiliana na wapiganaji wa Islamic State.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa IS wauteka mji nchini Iraq

Marekani imethibitisha kuwa wanamgambo wa Islamic State wameuteka mji wa Ali Baghdadi ulio mashariki mwa Iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia Tikrit nchini Iraq

Ndege za kijeshi za Marekani zimeanza kutekeleza mashambulizi makali, katika maeneo yenye wanamgambo wa Islamic State, huko Tikrit

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani