Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ISIS WAENDELEA KUFANYA MAUAJI YA KUTISHA HUKO SYRIA NA IRAQ

Mpiganaji wa ISIS akinyanyua tofali la zege kumpiga mmoja wa wanaume waliokamatwa kwa kuua wanawake. Adhabu ya kuwapiga mawe wanaume waliokamatwa kwa mauaji ya wanawake watatu ikiendelea huko Iraq. Mmoja wa watuhumiwa wa uchawi akiwa tayari kuchinjwa na Kundi la ISIS huko Raqqa, Syria.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

ISIS yachapisha picha za mauaji Iraq .

ISIS yachapisha picha za mauaji ya halaiki ya wanajeshi wa Iraq.

 

10 years ago

GPL

ISIS WAWACHINJA WAPELELEZI WATATU MTAANI NCHINI IRAQ

Mmoja wa wapelelezi hao akichinjwa na mpiganaji wa ISIS. Mpiganaji huyo wa ISIS akimchinja mpelelezi mwingne. Pembeni kushoto ni mwili wa mwenzake. WATU watatu wanaodaiwa kuwa wapelelezi wameuawa kwa kuchinjwa na wapiganaji wa Kundi la ISIS nchini Iraq. Watu hao wanatuhumiwa kwa kulipepeleza kundi hilo kwa ajili ya serikali ya Iraq.…

 

10 years ago

GPL

ASKARI WANANE WA IRAQ WAUAWA KWA KUWAPELELEZA ISIS

Mateka wakiwa wamepigishwa magoti tayari kwa kuuawa. Mateka wakipelekwa sehemu ya kuadhibiwa kwa ujasusi dhidi ya ISIS.…

 

10 years ago

GPL

MWILI WA KAMANDA WA ISIS WAKABIDHIWA KWA WIZARA YA AFYA YA IRAQ LEO

Mwili wa marehemu Izzat Ibrahim al-Douri baada ya kukabidhiwa kwa Wizara ya Afya, Baghdad leo. Izzat Ibrahim al-Douri enzi za uhai wake. Maofisa wa jeshi wakiwa wamebeba mwili wa Izzat.…

 

10 years ago

Mwananchi

Mauaji ya kutisha

Alisubiri mlinzi aje kufungua. Wenzake walikuwa waameshasogea gizani ili wasigundulike na mtu yeyote atakayekatiza katika eneo hilo. Mlinzi alisikia wakati geti likigongwa, akasogea taratibu simu yake ambayo alikuwa akisikiliza redio.

 

10 years ago

GPL

MAUAJI YA KUTISHA BAKWATA

Deogratius Mongela na Chande AbdallahI NAUMA sana! Katika hali isiyo ya kawaida, mkazi wa Kata ya Mwembe Mkavu, Wilaya ya Bagamoyo, Pwani, Ramadhani Mloli (37) amemuua mkewe, maarufu kwa jina la Mama wa Naironi kwa kumchoma visu sehemu mbalimbali za mwili kisha na yeye kujiua kwa kisu pia.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1KJml9j

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mauaji ya kutisha Musoma

WATU watano wameuawa kikatili kwa kuchinjwa, kukatwa mapanga katika mfululizo wa matukio ya mauaji ya kinyama yanayoendelea kutokea katika wilaya  za Musoma, Butiama na Rorya mkoani Mara. Kibaya zaidi, mauaji...

 

10 years ago

Vijimambo

LOWASSA AENDELEA "KUTISHA" MAELFU WAFURIKA KUMSIKILIZA HUKO RUVUMA

MGOMBEA kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia maelfu ya wananchi akiwa kwenye gari, wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Matarawe, Songea Mjini, Mkoani Ruvuma leo Septemba 1, 2015 ambapo alihutubia mkutano wa kampeni ikiwa ni muendelezo wa mikutano yake ya kampeni akiwa kwenye mkoa watatu baada ya kuzindua rasmi kampeni zake jijini Dar es Salaam. Mh. Lowassa ameendelea kuonyesha "nguvu" zake kisiasa kutokana na maelfu ya wananchi...

 

11 years ago

Mwananchi

Mauaji ya kutisha dhidi ya wanawake

>Katika hali inayoashiria ukatili wa kutisha, wanaume watatu katika maeneo tofauti nchini, wamewaua wake zao kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni wivu wa mapenzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani