LOWASSA AENDELEA "KUTISHA" MAELFU WAFURIKA KUMSIKILIZA HUKO RUVUMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mRmu8UhhuJ8/VeYEpBvELXI/AAAAAAAAYho/UoIoEcsTZgY/s72-c/OTH_4312.jpg)
MGOMBEA kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia maelfu ya wananchi akiwa kwenye gari, wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Matarawe, Songea Mjini, Mkoani Ruvuma leo Septemba 1, 2015 ambapo alihutubia mkutano wa kampeni ikiwa ni muendelezo wa mikutano yake ya kampeni akiwa kwenye mkoa watatu baada ya kuzindua rasmi kampeni zake jijini Dar es Salaam. Mh. Lowassa ameendelea kuonyesha "nguvu" zake kisiasa kutokana na maelfu ya wananchi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kPUr3LGnnZQ/VeSRPCFd-EI/AAAAAAAH1WI/hhqIcIXwaEk/s72-c/_MG_0137.jpg)
MAGUFULI ALIVYOITIKISA RUVUMA LEO,MAELFU YA WATU WAJITOKEZA KUMSIKILIZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kPUr3LGnnZQ/VeSRPCFd-EI/AAAAAAAH1WI/hhqIcIXwaEk/s640/_MG_0137.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LhCpWPRS92c/VeSRP0O-UOI/AAAAAAAH1WQ/qN1TOt_AJWs/s640/_MG_0163.jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Hivi ndivyo Magufuli alivyoitikisa Ruvuma, maelfu ya watu wajitokeza kumsikiliza
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Songea waliokuwa wamefurika kwenye uwanja wa Maji Maji mjini humo mkoani Ruvuma,Mgombea huyo ambaye anawaomba Watanzania ridhaa ya kuwaongoza katika awamu ya tano.(PICHA ZOTE NA MICHUZI JR-RUVUMA)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LhCpWPRS92c/VeSRP0O-UOI/AAAAAAAH1WQ/qN1TOt_AJWs/s640/_MG_0163.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-kPUr3LGnnZQ/VeSRPCFd-EI/AAAAAAAH1WI/hhqIcIXwaEk/s72-c/_MG_0137.jpg)
HIVI NDIVYO MAGUFULI ALIVYOITIKISA RUVUMA LEO. MAELFU YA WATU WAJITOKEZA KUMSIKILIZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kPUr3LGnnZQ/VeSRPCFd-EI/AAAAAAAH1WI/hhqIcIXwaEk/s640/_MG_0137.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LhCpWPRS92c/VeSRP0O-UOI/AAAAAAAH1WQ/qN1TOt_AJWs/s640/_MG_0163.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9hqRIrDyq_k/VeSk6loFVNI/AAAAAAAH1Ys/Iap-G7qB5HM/s72-c/unnamed.jpg)
HIVI NDIVYO MAGUFULI ALIVYOITIKISA RUVUMA LEO,MAELFU YA WATU WAJITOKEZA KUMSIKILIZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-9hqRIrDyq_k/VeSk6loFVNI/AAAAAAAH1Ys/Iap-G7qB5HM/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kPUr3LGnnZQ/VeSRPCFd-EI/AAAAAAAH1WI/hhqIcIXwaEk/s640/_MG_0137.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Skk7ZIhvvoE/VXGjO9_aSOI/AAAAAAAAUhA/SPw_bZE4ExM/s72-c/Lowassa_MZA2.jpg)
MAELFU WAFURIKA MWANZA KUMUONA LOWASSA, YUKO ZIARANI KUOMBA WADHAMINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Skk7ZIhvvoE/VXGjO9_aSOI/AAAAAAAAUhA/SPw_bZE4ExM/s640/Lowassa_MZA2.jpg)
Madereva texi, waendesha bodaboda, na...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-A2pUvVj9LMs/Vg6niW6TPoI/AAAAAAAAaJk/kM1Gw3FkCG4/s72-c/OTH_6602.jpg)
LOWASSA ATUA "NYUMBANI" NA KUHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI HUKO MONDULI NA MTO WA MBU NA BABATI MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-A2pUvVj9LMs/Vg6niW6TPoI/AAAAAAAAaJk/kM1Gw3FkCG4/s640/OTH_6602.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UiTM9lpmVrU/Vg6notaNzTI/AAAAAAAAaKE/5xp3mJLyQMY/s640/OTH_7854.jpg)
9 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/147.jpg)
MAGUFULI ALITIKISA JIJI LA TANGA, WANANCHI WAFURIKA VIWANJA VYA TANGAMANO KUMSIKILIZA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-sPwZCl_o3u4/VQcSTZ6csLI/AAAAAAAAYL0/5dPRLziXkwM/s72-c/b1.jpg)
KINANA AUNGURUMA KARATU MAELFU WAJITOKEZA KUMSIKILIZA
ZAIDI YA WANACHAMA 324 KUTOKA CHADEMA WAJIUNGA NA CCMAIVUNJA NGOME KUU NA YA MWANZO YA CHADEMA QURONG'IDHAWANANCHI WAKIRI WALIFANYA MAKOSA KUUCHAGUA CHADEMAHALMASHAURI YA WILAYA YA KARATU IMEJAA UBADHILIFU
![](http://1.bp.blogspot.com/-sPwZCl_o3u4/VQcSTZ6csLI/AAAAAAAAYL0/5dPRLziXkwM/s1600/b1.jpg)
Katibu Mkuu yupo kwenye ziara ya kujenga na kukiimarisha Chama mkoa wa Arusha pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010.
![](http://3.bp.blogspot.com/-hKjD9AikK_E/VQcSYPO6V0I/AAAAAAAAYMs/jn15vIZmFt4/s1600/b2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Maelfu wafurika mkutano wa utambulisho wa viongozi wa ACT Mpanda
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mpanda mkoani Katavi jana, ambapo chama hicho kinaendelea na ziara za kutambulisha viongozi wake.
Wanampanda wakishangilia hotuba ya Zitto Kabwe wakati wa utambulisho wa viongozi wa chama hicho mjini Mpanda.
Mwanaharakati na Mshauri wa chama cha ACT Wazalendo, Mama Terry, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mpanda mkoani Katavi jana, ambapo chama hicho kinaendelea na ziara ya kutambulisha viongozi wake.