USA:hatutashirikiana na Iran nchini Iraq
Marekani imesema kuwa haina mpango wa kushirikiana na Iran kukabiliana na wapiganaji wa Islamic State.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili09 Aug
USA:Hatutakubali uongozi wa Khalifa Iraq
Rais Obama amesema kuwa hatakubali wapiganaji wa Kisunni kubuni taifa la kiislamu ndani ya mataifa ya Syria na Iraq.
11 years ago
BBCSwahili01 Jul
USA kuongeza Vikosi 200 Iraq
Rais Barak Obama ametangaza kuwa anatuma vikosi 200 zaidi , na pia helikopta zisizoKuwa na ruban nchini Iraq.
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Mwanzilishi wa IS auawa nchini Iraq
Runinga nchini Iraq zimeripoti kuwa Izzat Ibrahim al-Douri, ambaye wakati mmoja alikuwa makamu wa Rais Saddam Hussein na ambaye ametajwa kama nguzo ya mchipuko wa kundi la Islamic State nchini Iraq, ameuawa.
5 years ago
New Day Live24 Feb
Credit Settlement Market with Eminent Key Players and Future Outlook to 2026 | Guardian Debt Relief (USA), Freedom Debt Relief (USA), Debt Negotiation Services (USA)
Credit Settlement Market with Eminent Key Players and Future Outlook to 2026 | Guardian Debt Relief (USA), Freedom Debt Relief (USA), Debt Negotiation Services (USA) New Day Live
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Marekani yashambulia Tikrit nchini Iraq
Ndege za kijeshi za Marekani zimeanza kutekeleza mashambulizi makali, katika maeneo yenye wanamgambo wa Islamic State, huko Tikrit
11 years ago
BBCSwahili21 Jun
Vita vikali vyaendelea nchini Iraq
Mapigano yanaendelea katika mji uliopo kazkazini magharibi wa Tal Afar nchini Iraq
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Wapiganaji wa IS wauteka mji nchini Iraq
Marekani imethibitisha kuwa wanamgambo wa Islamic State wameuteka mji wa Ali Baghdadi ulio mashariki mwa Iraq
10 years ago
BBCSwahili03 May
IS yawaua raia 300 wa Yazidi nchini Iraq
Maafisa nchini Iraq wanasema kuwa wanamgambo wa IS wamewaua mamia ya watu wa yazidi waliokuwa wakiwazuilia eneo lililo kaskazini mwa nchi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-FxrWMrAPzjAFOsaWT0oINwcc-hZQP0m4UON*hkpkSMgMJzGhbZ-ZhAkOgMhOnXRv6sbVceGVni886NHkT7uF6V49hK8-ORu/yazid.jpg?width=650)
IS WAUA RAIA 300 WA YAZIDI NCHINI IRAQ
Raia wa Yazidi waishio nchini Iraq. KUNDI la wanamgambo wa Islamic State limewaua mateka takribani 300 ambao ni raia wa Yazidi kaskazini mwa Iraq.
Makamu wa rais nchini Iraq, Osama al-Nujifi ameyalaani mauaji hayo akiyataja kuwa ya kikatili. Taarifa zimeeleza kuwa watu hao waliuawa katika wilaya moja iliyo magharibi mwa mji wa Mosul siku ya Ijumaa. Wanamgambo wa Islamic State walithibiti maeneo yaliyo kaskazini mwa Iraq kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania