Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USA:Hatutakubali uongozi wa Khalifa Iraq

Rais Obama amesema kuwa hatakubali wapiganaji wa Kisunni kubuni taifa la kiislamu ndani ya mataifa ya Syria na Iraq.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

USA kuongeza Vikosi 200 Iraq

Rais Barak Obama ametangaza kuwa anatuma vikosi 200 zaidi , na pia helikopta zisizoKuwa na ruban nchini Iraq.

 

10 years ago

BBCSwahili

USA:hatutashirikiana na Iran nchini Iraq

Marekani imesema kuwa haina mpango wa kushirikiana na Iran kukabiliana na wapiganaji wa Islamic State.

 

5 years ago

New Day Live

Credit Settlement Market with Eminent Key Players and Future Outlook to 2026 | Guardian Debt Relief (USA), Freedom Debt Relief (USA), Debt Negotiation Services (USA)

Credit Settlement Market with Eminent Key Players and Future Outlook to 2026 | Guardian Debt Relief (USA), Freedom Debt Relief (USA), Debt Negotiation Services (USA)  New Day Live

 

11 years ago

Mwananchi

Hatutakubali kuburuzwa bungeni

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ni moja ya makundi ambayo yamekuwa na sauti kubwa katika Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa: Hatutakubali kujadili rasimu nyingine

Bunge Maalumu la Katiba sasa lipo katika hati hati ya kuendelea kutokana na viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutangaza kuwa hawatakuwa tayari kujadili rasimu tofauti na iliyowasilishwa na Jaji Joseph Warioba bungeni.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar.

Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar. NA MWINYI SADALLAH 23rd October 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia cha Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chama chake hakitakubali kuporwa ushindi katika uchaguzi mkuu wa […]

The post Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar. appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Michuzi

JAPAN INTERNATIONAL COOPERATION AGENCY DELEGATION VISIT EAC HEADQUARTERS: Discuss dualling of Tengeru-Usa Road, Rehabilitation of Usa - Holili section, and Re-location of Kikafu Bridge

Dr. Enos Bukuku; Deputy Secretary General in charge of Planning and Infrastructure shares a handshake with Eng. Masataka Fujikuma; the JICA Technical Expert.A group photo of Dr. Enos Bukuku; EAC Deputy Secretary General (DSG) in charge of Planning and Infrastructure with Mr. Hajime Iwama; JICA Tanzania Director (DSG's immediate right) and Eng. Hosea Nyangweso; Prinicpal Civil Engineer (DSG's second right) among other members of the Japan delegation and EAC Staff.East African CommunityEast...

 

9 years ago

Michuzi

MISS TANZANIA USA 2015-2016 AEESHA KAMARA ASHINDA KUWA COVER GIRL KWENYE CALENDA YA MISS AFRICA USA

 Miss Tanzania USA 2015-2016 Aeesha Kamara (kushoto) aibuka mshindi na kuwa Cover Girl kwenye Kalenda ya Miss Africa USA 2015-2016 shindano lililofanyika New York siku ya Jumamosi Novemba 28, 2015. Mamiss wengine walioshiriki shindano hilo wakipita mbele ya majaji. Wadau wakipata picha na mamiss wakati mratibu wa mashindano ya miss Africa Lady Kate alipokua akitangaza shindi.Ma Winny Casey (gauni jeusi) pamoja na Lady Kate (mwenye miwani) wakiwa na mamiss.

 

11 years ago

Michuzi

HOYCE TEMU AHAMASISHA WATANZANIA KUMPIGIA KURA MISS TANZANIA USA 2014 KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA MISS AFRICA USA

IMG-20140727-WA0011Miss Tanzania USA 2014, Joy Kalemera katika pozi kabla ya mahojiano na Mtangazaji wa kipindi cha "Mimi na Tanzania" Hoyce Temu nchin Marekani.
Mpigie Kura Miss Tanzania USA, Joy Kalemera anayeshiriki kinyang'ayiro cha kumtafuta Miss Africa USA. Mtangazaji wa Mimi Na Tanzania Hoyce Temu ambaye pia ni Miss Tanzania 1999 yupo nchini Marekani na amefanya mahojiano na mrembo huyo.Usikose kuangalia marudio ya mahojiano hayo kwenye kipindi cha "Mimi na Tanzania" Jumamosi ya tarehe 2 August ,2014...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani