Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatutakubali kuburuzwa bungeni

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ni moja ya makundi ambayo yamekuwa na sauti kubwa katika Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

USA:Hatutakubali uongozi wa Khalifa Iraq

Rais Obama amesema kuwa hatakubali wapiganaji wa Kisunni kubuni taifa la kiislamu ndani ya mataifa ya Syria na Iraq.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa: Hatutakubali kujadili rasimu nyingine

Bunge Maalumu la Katiba sasa lipo katika hati hati ya kuendelea kutokana na viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutangaza kuwa hawatakuwa tayari kujadili rasimu tofauti na iliyowasilishwa na Jaji Joseph Warioba bungeni.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar.

Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar. NA MWINYI SADALLAH 23rd October 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia cha Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chama chake hakitakubali kuporwa ushindi katika uchaguzi mkuu wa […]

The post Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar. appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Raia Mwema

Serikali kuburuzwa mahakamani

ILIKWISHASEMWA na kufafanuliwa kwa kina; kwamba mkataba wa kitapeli wa miaka 20 kati ya kampuni y

Joseph Mihangwa

 

10 years ago

Mtanzania

Bunge kuburuzwa mahakamani

Bunge

Bunge

NA ABRAHAM GWANDU, ARUSHA

HATIMA ya Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na vikao vyake imezidi kuwa shakani baada ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kutangaza kusudio la kwenda mahakamani kesho.

Uamuzi wa TLS umetolewa siku moja baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema kutangaza mkakati mbadala wa kukwamua mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya.

TLS inataka kuiomba mahakama kuzuia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba hadi muafaka wa taifa utakapopatikana ili...

 

10 years ago

GPL

AISHA BUI KUBURUZWA KORTINI

Msanii wa filamu Bongo, Aisha Bui wakati akiwa katika ofisi za kusambaza filamu za Yuneda zilizopo Mbagala. KESI ya msanii wa filamu Bongo, Aisha Bui ya kufanya fujo ofisini kwa msambazaji wa filamu akidai kutolipwa fedha zake za filamu bado ni ya moto ambapo msambazaji anazungumza na mwanasheria wake kisha kumburuza mwigizaji huyo mahakamani. Chanzo makini kimedai kuwa, baada ya Aisha kulala polisi na kutoka kwa dhamana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCWT: Wafugaji msikubali kuburuzwa

MWANASHERIA Mkuu wa Chama Cha Wafugaji Tanzania (CCWT), Malema Christopher amewataka wafugaji kutokubali kuburuzwa na askari wa wanyamapori au watendaji wa kata wanaowageuza shamba la bibi kwa kuwatoza mamilioni ya...

 

10 years ago

Habarileo

Magari 100 kuburuzwa kortini Moshi

MAGARI 100 yanayotoa huduma za usafiri kwenye Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, yatafikishwa mahakamani na Kampuni ya Barrack Printers Limited ya mjini Moshi kwa kushindwa kulipa ushuru wa maegesho.

 

9 years ago

Mtanzania

UVCCM yaeleza Dk. Shein alivyokataa kuburuzwa

hamduNa Mwandishi Wetu, Zanzibar

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi  (UVCCM)  umesema wapambe na vigogo waliompigia debe na kumnadi Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein   kuwania urais mwaka 2010,  hivi sasa wamemgeuka na hata baadhi yao kumuona kikwazo.

Kwa mujibu wa Umoja huo,  vigogo hao sasa wamemgeuka na baadhi yao wanamuona kikwazo kwa msimamo wake wa mapinduzi na kuonekana mtu  asiyeyumbishwa kwa kukataa vitisho.

Kauli hiyo ilitolewa   mjini Unguja jana na Kaimu Katibu Mkuu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani