Hatutakubali kuburuzwa bungeni
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ni moja ya makundi ambayo yamekuwa na sauti kubwa katika Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili09 Aug
USA:Hatutakubali uongozi wa Khalifa Iraq
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Ukawa: Hatutakubali kujadili rasimu nyingine
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Oct
Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar.
Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar. NA MWINYI SADALLAH 23rd October 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia cha Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chama chake hakitakubali kuporwa ushindi katika uchaguzi mkuu wa […]
The post Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Serikali kuburuzwa mahakamani
ILIKWISHASEMWA na kufafanuliwa kwa kina; kwamba mkataba wa kitapeli wa miaka 20 kati ya kampuni y
Joseph Mihangwa
10 years ago
Mtanzania18 Aug
Bunge kuburuzwa mahakamani
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
NA ABRAHAM GWANDU, ARUSHA
HATIMA ya Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na vikao vyake imezidi kuwa shakani baada ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kutangaza kusudio la kwenda mahakamani kesho.
Uamuzi wa TLS umetolewa siku moja baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema kutangaza mkakati mbadala wa kukwamua mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya.
TLS inataka kuiomba mahakama kuzuia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba hadi muafaka wa taifa utakapopatikana ili...
10 years ago
GPLAISHA BUI KUBURUZWA KORTINI
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
CCWT: Wafugaji msikubali kuburuzwa
MWANASHERIA Mkuu wa Chama Cha Wafugaji Tanzania (CCWT), Malema Christopher amewataka wafugaji kutokubali kuburuzwa na askari wa wanyamapori au watendaji wa kata wanaowageuza shamba la bibi kwa kuwatoza mamilioni ya...
10 years ago
Habarileo30 May
Magari 100 kuburuzwa kortini Moshi
MAGARI 100 yanayotoa huduma za usafiri kwenye Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, yatafikishwa mahakamani na Kampuni ya Barrack Printers Limited ya mjini Moshi kwa kushindwa kulipa ushuru wa maegesho.
9 years ago
Mtanzania02 Dec
UVCCM yaeleza Dk. Shein alivyokataa kuburuzwa
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umesema wapambe na vigogo waliompigia debe na kumnadi Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein kuwania urais mwaka 2010, hivi sasa wamemgeuka na hata baadhi yao kumuona kikwazo.
Kwa mujibu wa Umoja huo, vigogo hao sasa wamemgeuka na baadhi yao wanamuona kikwazo kwa msimamo wake wa mapinduzi na kuonekana mtu asiyeyumbishwa kwa kukataa vitisho.
Kauli hiyo ilitolewa mjini Unguja jana na Kaimu Katibu Mkuu wa...