Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali kuburuzwa mahakamani

ILIKWISHASEMWA na kufafanuliwa kwa kina; kwamba mkataba wa kitapeli wa miaka 20 kati ya kampuni y

Joseph Mihangwa

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Bunge kuburuzwa mahakamani

Bunge

Bunge

NA ABRAHAM GWANDU, ARUSHA

HATIMA ya Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na vikao vyake imezidi kuwa shakani baada ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kutangaza kusudio la kwenda mahakamani kesho.

Uamuzi wa TLS umetolewa siku moja baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema kutangaza mkakati mbadala wa kukwamua mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya.

TLS inataka kuiomba mahakama kuzuia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba hadi muafaka wa taifa utakapopatikana ili...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali kukabili uhaba watumishi mahakamani

KUTOKANA na uhaba wa watumishi katika mahakama nchini, Serikali inakusudia kutatua na kumaliza adha hiyo ambayo ni kero kwa wananchi. Hayo yalisemwa na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha...

 

11 years ago

Mwananchi

Kulikoni Serikali inazidi kubwagwa mahakamani?

Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa kwanza wa Serikali, Jaji Mark Bomani hivi karibuni alitoa ushauri ambao iwapo utazingatiwa na Serikali utaiepusha na aibu inayoipata kila kukicha ya kupoteza kesi nyingi katika mahakama zetu hapa nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

BAWACHA: Watumishi iburuzeni serikali mahakamani

MWENYEKITI wa Taifa wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Halima Mdee, amewataka watumishi wa umma kuiburuza Serikali mahakamani endapo watakatwa mishahara yao kwa ajili ya ujenzi wa maabara bila wao...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali Kijiji cha Makorora kuburutwa mahakamani

Wananchi wa Kata ya Makorora, Tarafa ya Magoma Wilayani Korogwe mkoani Tanga wanatarajia kuufikisha mahakamani uongozi wa Serikali ya kijiji baada ya kushindwa kuitisha mkutano wa wananchi na kuwasomea mapato na matumizi kwa zaidi ya miaka miwili.

 

11 years ago

Mwananchi

Waathirika mabomu ya Mbagala waishinda Serikali mahakamani

>Waathirika wa mabomu yaliyolipuka Mbagala na kusababisha vifo na uharibifu mkubwa wa mali za wananchi, wameibwaga Serikali mahakamani baada ya kushinda pingamizi la Serikali dhidi ya kesi yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yakwaa kisiki kuizuia TLS mahakamani

Serikali jana ilijikuta ikikwaa kisiki mahakamani baada ya kushindwa kuzuia usikilizwaji wa maombi ya Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS), ya kutaka ipatiwe kibali cha kufungua kesi kupinga Bunge la Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Lwakatare wa Chadema, Ludovick waibwaga Serikali mahakamani

Mahakama ya Rufani imetupilia mbali maombi ya marejeo kuhusu uhalali wa uamuzi wa Mahakama Kuu Dar es Salaam kuwafutia mashtaka ya ugaidi Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare na mwenzake Joseph Ludovick Rwezahura.

 

11 years ago

Mwananchi

Hatutakubali kuburuzwa bungeni

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ni moja ya makundi ambayo yamekuwa na sauti kubwa katika Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani