Serikali kukabili uhaba watumishi mahakamani
KUTOKANA na uhaba wa watumishi katika mahakama nchini, Serikali inakusudia kutatua na kumaliza adha hiyo ambayo ni kero kwa wananchi. Hayo yalisemwa na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Oct
BAWACHA: Watumishi iburuzeni serikali mahakamani
MWENYEKITI wa Taifa wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Halima Mdee, amewataka watumishi wa umma kuiburuza Serikali mahakamani endapo watakatwa mishahara yao kwa ajili ya ujenzi wa maabara bila wao...
10 years ago
Habarileo18 Dec
Bilioni 800/- kukabili uhaba wa maji Chalinze
CHANGAMOTO ya maji wilayani Bagamoyo mkoani Pwani huenda ikawa historia baada ya serikali ya India kutoa kiasi cha Sh bilioni 800 kwa ajili ya mradi wa maji wa Wami Chalinze.
9 years ago
Mwananchi28 Dec
Uhaba watumishi afya waitesa Lindi
11 years ago
Habarileo27 Oct
Uhaba wa watumishi waathiri hospitali, vituo vya afya
UHABA wa watumishi katika hospitali na vituo vya afya mkoani Rukwa umetakiwa kutatuliwa haraka kuleta ufanisi katika utekelezaji wa kampeni ya kukomesha vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua.
11 years ago
Dewji Blog14 Aug
Taasisi ya Watumishi Housing kutumia bilioni 400 kujenga nyumba za watumishi wa serikali
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing Company, Dkt. Fred Msemwa akitoa mada kuhusu mkopo wa ujenzi wa nyumba bora za kisasa kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 14, 2014.
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar es Salaam.
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi za watumishi wa...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Serikali yakiri uhaba wa mitamba
SERIKALI imesema kuna uhaba wa upatikanaji wa mitamba nchini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Kaika Telele, alipojibu swali la Mbunge wa...
9 years ago
Habarileo11 Dec
‘Serikali izibe pengo la uhaba wa madaktari’
RAIS mstaafu, Alhaji Hassan Mwinyi (pichani), ameshauri serikali kufanya jitihada kubwa kuhakikisha inaziba pengo la uhaba wa madaktari na wauguzi kuokoa afya za Watanzania. Alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana wakati akizungumza kwenye mahafali ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Afya na Teknolojia (IMTU), yaliyofanyika chuoni hapo.
10 years ago
Michuzi
SERIKALI KULIPA MADENI YA WATUMISHI WA SERIKALI ZA MITAA.

11 years ago
Mwananchi25 Oct
Dk Migiro aitetea Serikali uhaba wa ajira kwa vijana