Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Serikali izibe pengo la uhaba wa madaktari’

RAIS mstaafu, Alhaji Hassan Mwinyi (pichani), ameshauri serikali kufanya jitihada kubwa kuhakikisha inaziba pengo la uhaba wa madaktari na wauguzi kuokoa afya za Watanzania. Alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana wakati akizungumza kwenye mahafali ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Afya na Teknolojia (IMTU), yaliyofanyika chuoni hapo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakiri uhaba wa mitamba

SERIKALI imesema kuna uhaba wa upatikanaji wa mitamba nchini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Kaika Telele, alipojibu swali la Mbunge wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali kukabili uhaba watumishi mahakamani

KUTOKANA na uhaba wa watumishi katika mahakama nchini, Serikali inakusudia kutatua na kumaliza adha hiyo ambayo ni kero kwa wananchi. Hayo yalisemwa na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Migiro aitetea Serikali uhaba wa ajira kwa vijana

>Wakati Serikali ikitupiwa lawama kwa kushindwa kumaliza  tatizo la ajira kwa vijana nchini, Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro amekiri kuwa Serikali haina uwezo wa kutoa ajira kwa vijana wote wanaohitimu masomo  nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Uhaba wa dawa, vifaa tiba mzigo kwa Serikali

Suala la uhaba wa dawa na vifaa tiba katika hospitali nchini ikiwamo Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, limeonekana kuielemea Wizara ya Afya baada ya Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid kuthibitisha, huku akidai kuwa Serikali itapeleka fedha kwa awamu Bohari ya Kuu ya Dawa ili kupunguza uhaba huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhaba wa maji TZ

Haba na Haba Tv ilisafiri mpaka mkoani Tanga wilayani pangani kuona namna wananchi wa huko wanavyohangaika kila kuchao kutafuta maji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uhaba wa kondomu Zanzibar ?

Kondomu imeonekana kuwa ni bidhaa adimu mjini Unguja visiwani Zanzibar.

 

11 years ago

Habarileo

Kuna uhaba wa wakaguzi wa marubani

KADA ya ukaguzi wa marubani wa ndege inakabiliwa na upungufu wa watumishi 12, jambo ambalo linaathiri ufanisi katika eneo hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Uhaba wa ajira wafikia pabaya

Historia imevunjwa. Uhaba wa ajira kwa wasomi na wataalamu wa kada tofauti umethibitishwa wakati wa usaili wa ajira za wakaguzi wasaidizi wa Idara ya Uhamiaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uhaba wa damu usifumbiwe macho

MOJA ya taarifa zilizopo kwenye gazeti hili ni uhaba mkubwa wa damu katika hospitali na vituo vya afya, ambapo mahitaji ya mwaka ni chupa 400,000 lakini zinazopatikana ni 160,000. Kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani