‘Serikali izibe pengo la uhaba wa madaktari’
RAIS mstaafu, Alhaji Hassan Mwinyi (pichani), ameshauri serikali kufanya jitihada kubwa kuhakikisha inaziba pengo la uhaba wa madaktari na wauguzi kuokoa afya za Watanzania. Alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana wakati akizungumza kwenye mahafali ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Afya na Teknolojia (IMTU), yaliyofanyika chuoni hapo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Serikali yakiri uhaba wa mitamba
SERIKALI imesema kuna uhaba wa upatikanaji wa mitamba nchini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Kaika Telele, alipojibu swali la Mbunge wa...
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Serikali kukabili uhaba watumishi mahakamani
KUTOKANA na uhaba wa watumishi katika mahakama nchini, Serikali inakusudia kutatua na kumaliza adha hiyo ambayo ni kero kwa wananchi. Hayo yalisemwa na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha...
11 years ago
Mwananchi25 Oct
Dk Migiro aitetea Serikali uhaba wa ajira kwa vijana
11 years ago
Mwananchi28 Oct
Uhaba wa dawa, vifaa tiba mzigo kwa Serikali
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Uhaba wa maji TZ
10 years ago
BBCSwahili19 Aug
11 years ago
Habarileo06 Jan
Kuna uhaba wa wakaguzi wa marubani
KADA ya ukaguzi wa marubani wa ndege inakabiliwa na upungufu wa watumishi 12, jambo ambalo linaathiri ufanisi katika eneo hilo.
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Uhaba wa ajira wafikia pabaya
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Uhaba wa damu usifumbiwe macho
MOJA ya taarifa zilizopo kwenye gazeti hili ni uhaba mkubwa wa damu katika hospitali na vituo vya afya, ambapo mahitaji ya mwaka ni chupa 400,000 lakini zinazopatikana ni 160,000. Kwa...