Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhaba wa kondomu Zanzibar ?

Kondomu imeonekana kuwa ni bidhaa adimu mjini Unguja visiwani Zanzibar.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Uhaba wa fedha waathiri wagonjwa Zanzibar

Wagonjwa wa akili katika Hospitali ya Kidongochekundu, wamekuwa wakipewa mlo mmoja kwa siku katika kipindi cha mwaka mmoja na wakati mwingine kulala giza kutokana na Wizara ya Afya Zanzibar kushindwa kutoa fedha za matumizi kwa muda mwafaka, imefahamika visiwani humu jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kondomu inayotambua maambukizi ya Zinaa

Wanafunzi nchini Uingereza wamezindua mpira wa kondomu inayowaonya watumiaji wanapojamiana na mtu aliyeambukizwa maradhi ya zinaa.

 

10 years ago

Mwananchi

Vijana hawatumii kondomu- Utafiti

Asilimia 10 ya vijana nchini wenye umri wa miaka 12 hadi 14, wamegundulika wanajihusisha na vitendo vya ngono isiyo salama.

 

10 years ago

Mwananchi

Matumizi ya kondomu nchini yapungua

 Imeelezwa kuwa maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), yanaweza kuongezeka nchini hasa kwa vijana kutokana na kubainika kupungua kwa kasi ya matumizi ya mipira (kondomu).

 

10 years ago

Michuzi

DKT International yazindua kondomu mpya

Shirika la DKT International limezindua rasmi kondomu mpya za Bull na Trust. Akizungumza katika uzinduzi huo, rais wa DKT ndugu Christopher Purdy alisema nia hasa ya kuleta bidhaa za kondomu nchini ni kusaidia katika jitihada za kukabiliana na uzazi wa mpango na pia magonjwa ya zinaa.
 Uzinduzi huo ulienda sambamba na usomaji wa ripoti ya utafiti wa tabia za kimapenzi kwa wakazi wa Dar es Salaam iliyofanywa na taasisi ya Data Vision International ambayo mojawapo ya matokeo ni ile iliyoonyesha...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kondomu yenye umbo la chupi Uganda

Kondomu hii ina umbo la suruali ya ndani ya wanawake, Inaweza kuvaliwa siku nzima na wanawake sawa na chupi aina ya ''g-string''

 

10 years ago

BBCSwahili

Mume mgomvi aandaliwa mlo wa kondomu

Mwanamke mmoja mwenye watoto watatu katika wilaya ya kole nchini Uganda alimuandalia mumewe mlo wa mipira ya kondomu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kondomu milioni nane zauzwa Arusha

JUMLA ya pakiti milioni 8.2 za mipira ya kiume (kondomu), zimeuzwa mkoani Arusha mwaka jana na idadi hiyo inatarajia kuongezeka mwaka huu hadi kufikia pakiti milioni 9.9. Taarifa ya matumizi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kondomu zakutwa kwenye ukumbi wa bunge

Nairobi, Kenya. Inaweza kuonekana ni kituko cha aina yake, lakini ni kweli kimetokea kwenye Ukumbi wa Bunge la Kaunti ya Nairobi na kuwaacha wabunge vinywa wazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani