Uhaba wa kondomu Zanzibar ?
Kondomu imeonekana kuwa ni bidhaa adimu mjini Unguja visiwani Zanzibar.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Uhaba wa fedha waathiri wagonjwa Zanzibar
Wagonjwa wa akili katika Hospitali ya Kidongochekundu, wamekuwa wakipewa mlo mmoja kwa siku katika kipindi cha mwaka mmoja na wakati mwingine kulala giza kutokana na Wizara ya Afya Zanzibar kushindwa kutoa fedha za matumizi kwa muda mwafaka, imefahamika visiwani humu jana.
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Kondomu inayotambua maambukizi ya Zinaa
Wanafunzi nchini Uingereza wamezindua mpira wa kondomu inayowaonya watumiaji wanapojamiana na mtu aliyeambukizwa maradhi ya zinaa.
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Vijana hawatumii kondomu- Utafiti
Asilimia 10 ya vijana nchini wenye umri wa miaka 12 hadi 14, wamegundulika wanajihusisha na vitendo vya ngono isiyo salama.
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Matumizi ya kondomu nchini yapungua
 Imeelezwa kuwa maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), yanaweza kuongezeka nchini hasa kwa vijana kutokana na kubainika kupungua kwa kasi ya matumizi ya mipira (kondomu).
10 years ago
Michuzi12 Nov
DKT International yazindua kondomu mpya
Shirika la DKT International limezindua rasmi kondomu mpya za Bull na Trust. Akizungumza katika uzinduzi huo, rais wa DKT ndugu Christopher Purdy alisema nia hasa ya kuleta bidhaa za kondomu nchini ni kusaidia katika jitihada za kukabiliana na uzazi wa mpango na pia magonjwa ya zinaa.
Uzinduzi huo ulienda sambamba na usomaji wa ripoti ya utafiti wa tabia za kimapenzi kwa wakazi wa Dar es Salaam iliyofanywa na taasisi ya Data Vision International ambayo mojawapo ya matokeo ni ile iliyoonyesha...
Uzinduzi huo ulienda sambamba na usomaji wa ripoti ya utafiti wa tabia za kimapenzi kwa wakazi wa Dar es Salaam iliyofanywa na taasisi ya Data Vision International ambayo mojawapo ya matokeo ni ile iliyoonyesha...
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Kondomu yenye umbo la chupi Uganda
Kondomu hii ina umbo la suruali ya ndani ya wanawake, Inaweza kuvaliwa siku nzima na wanawake sawa na chupi aina ya ''g-string''
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Mume mgomvi aandaliwa mlo wa kondomu
Mwanamke mmoja mwenye watoto watatu katika wilaya ya kole nchini Uganda alimuandalia mumewe mlo wa mipira ya kondomu
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Kondomu milioni nane zauzwa Arusha
JUMLA ya pakiti milioni 8.2 za mipira ya kiume (kondomu), zimeuzwa mkoani Arusha mwaka jana na idadi hiyo inatarajia kuongezeka mwaka huu hadi kufikia pakiti milioni 9.9. Taarifa ya matumizi...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Kondomu zakutwa kwenye ukumbi wa bunge
Nairobi, Kenya. Inaweza kuonekana ni kituko cha aina yake, lakini ni kweli kimetokea kwenye Ukumbi wa Bunge la Kaunti ya Nairobi na kuwaacha wabunge vinywa wazi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania