Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana hawatumii kondomu- Utafiti

Asilimia 10 ya vijana nchini wenye umri wa miaka 12 hadi 14, wamegundulika wanajihusisha na vitendo vya ngono isiyo salama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Je ni kwanini asilimia 66 ya raia wa Nigeria hawatumii mipira ya kondomu?

Ripoti mpya inaonesha kwamba kati ya asilimia 34 ya raia wa Nigeria wanaotumia kondomu, asilimia 28 pekee ndio wanaotumia mipira hiyo kila wakati

 

11 years ago

Dewji Blog

Elimu duni na isiyo sahihi ya matumizi ya Kondomu inachangia maambukizi mapya ya VVU kwa Vijana

DSC_0084

Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akizungumza na washauri wa Vikundi vya Vijana wasikilizaji juu ya masuala muhimu kuhusiana na kuzuia maambukizi ya VVU na Afya ya Uzazi kwa Vijana wenye umri kati ya miaka 15-24 katika warsha ya kuwajengea uwezo washiriki hao katika matumizi ya mwongozo wa ufuatiliaji wa vipindi kwa wasikilizaji walengwa wa Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika kwenye kituo cha Redio Nuru FM mjini Iringa.(Picha zote na Zainul Mzige wa...

 

11 years ago

GPL

ELIMU DUNI NA ISIYO SAHIHI YA MATUMIZI YA KONDOMU INACHANGIA MAAMBUKIZI MAPYA YA VVU KWA VIJANA‏

Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akizungumza na washauri wa Vikundi vya Vijana wasikilizaji juu ya masuala muhimu kuhusiana na kuzuia maambukizi ya VVU na Afya ya Uzazi kwa Vijana wenye umri kati ya miaka 15-24 katika warsha ya kuwajengea uwezo washiriki hao katika matumizi ya mwongozo wa ufuatiliaji wa vipindi kwa wasikilizaji walengwa wa Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika kwenye...

 

10 years ago

Habarileo

Utafiti wawabeba vijana Urais 2015

Mwigulu NchembaSHIRIKA la Utafiti wa Maendeleo ya Elimu (TEDRO), limesema katika utafiti walioufanya kuhusu ushiriki wa vijana katika siasa na matarajio kuelekea uchaguzi mkuu 2015, umeonesha kwamba endapo mgombea urais kijana atapendekezwa atakubalika kwa asilimia 82.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti:Ni sawa kwa wazee kuwa na vijana

Utafiti mpya umewaunga mkono wanawake wazee walio na wapenzi vijana.

 

10 years ago

Habarileo

Watoto wakithiri ngono, hawatumii kondom

SAMPULI tathmini ya matokeo ya mradi wa PREPARE uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono, imebainisha haja ya elimu ya afya ya uzazi kukabili hali ya sasa ya tabia hatarishi zinazowakabili vijana wadogo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ni kwanini watu katika baadhi ya mataifa wanatumia barakoa huku mengine hawatumii?

Ukitoka nje ya nyumba Hongokong bila kuvaa barakoa watu watakuangalia vibaya .Lakini si katika maeneo mengine ya dunia. Lakini je ni kwanini?

 

9 years ago

BBCSwahili

Uhaba wa kondomu Zanzibar ?

Kondomu imeonekana kuwa ni bidhaa adimu mjini Unguja visiwani Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani