Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DKT International yazindua kondomu mpya

Shirika la DKT International limezindua rasmi kondomu mpya za Bull na Trust. Akizungumza katika uzinduzi huo, rais wa DKT ndugu Christopher Purdy alisema nia hasa ya kuleta bidhaa za kondomu nchini ni kusaidia katika jitihada za kukabiliana na uzazi wa mpango na pia magonjwa ya zinaa.
 Uzinduzi huo ulienda sambamba na usomaji wa ripoti ya utafiti wa tabia za kimapenzi kwa wakazi wa Dar es Salaam iliyofanywa na taasisi ya Data Vision International ambayo mojawapo ya matokeo ni ile iliyoonyesha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Clouds Media International yazindua huduma mpya ya kutafuta na kuunganisha wasanii kwenye shughuli mbalimbali za burudani

581522_489635121134789_1304210883_n

Joseph-Kusaga

Mkurugenzi wa Clouds Media, Joseph Kusaga.

*Wasanii kutoka Afrika, Mashariki ya Kati na Asia kunufaika na huduma hii.

Kampuni ya Clouds Media International leo imetangaza kuzindua huduma mpya ya kutafuta na kuwaunganisha wasanii kwenye nafasi za kutoa burudani kwenye matamasha na matukio mbalimbali.

Kazi hiyo ya kuunganisha na kuwatafutia wasanii nafasi ya kutoa burudani itakuwa chini ya Status Bookings ambayo ni kampuni dada ya Clouds Media Group.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Clouds Media,...

 

10 years ago

Michuzi

Clouds Media International yazindua huduma mpya ya kutafuta na kuunganisha (booking) wasanii kwenye shughuli mbalimbali za burudani.


·        Wasanii kutoka Afrika, Mashariki ya Kati na Asia kunufaika na huduma hii.
Abu Dhabi – Kampuni ya Clouds Media International leo imetangaza kuzindua huduma mpya ya kutafuta na kuwaunganisha wasanii kwenye nafasi za kutoa burudani kwenye matamasha na matukio mbalimbali.
Kazi hiyo ya kuunganisha na kuwatafutia wasanii nafasi ya kutoa burudani itakuwa chini ya Status Bookings ambayo ni kampuni dada ya Clouds Media Group.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Clouds Media, Joseph Kusaga, uzinduzi wa...

 

11 years ago

Michuzi

HEIFER INTERNATIONAL TANZANIA YAZINDUA MRADI MKUBWA WA KUENDELEZA SEKTA YA MAZIWA KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI

Naibu waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ambae pia alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi huo, Mh Kaika Telele akiongea na wageni waalikwa na wadau wa sekta ya Maziwa Afrika Mashariki uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwl Nyerere Mwishoni mwa Wiki.  Mkurugenzi Mkuu wa Heifer International Tanzania, Dk Henry Njakoi akiongea na wageni waalikwa na wadau wa sekta ya maziwa nchini na wa kimataifa waliofika katika uzinduzi wa Mradi wa Uendelezaji Sekta ya Maziwa Afrika...

 

11 years ago

Michuzi

Dkt. FENNELLA MUKANGARA AKUTANA NA RAIS WA INTERNATIONAL YOUTH FOUNDATION

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dr. Fennella Mukangara (kulia) akiongea na Rais na Mwanzilishi wa International Youth Fellowship kutoka Korea Mchungaji Ock Soo Pack (kushoto )na ujumbe wake (haupo pichani) ambapo walizungumzia mambo mbalimbali ikiwa ni juhudi za kudumisha ushirikiano baina ya pande mbili.Makao Makuu ya Shirika hilo ni Korea Kusini Rais na Mwanzilishi wa International Youth Foundation Mchungaji Ock Soo Pack (kushoto ) na ujumbe wake (haupo pichani)...

 

9 years ago

Dewji Blog

Dkt . Gharib Bilal atembelea Banda la Fastjet maonesho Swahili International Tourism Expo (S!TE)

Utambulisho

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt . Gharib Bilal akitambulishwa kwa wafanyakazi wa Fastjet na Meneja Mkuu wa Fastjet  Afrika Mashariki Jimmy Kibati wakati wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE) Jijini Dar Es Salaam jana.

IMG_2137

bilal,kbati, lucy

Meneja Mkuu wa Fastjet  Afrika Mashariki Jimmy Kibati akimkaribisha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt . Gharib Bilal wakati uzinduzi wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo(S!TE) Jijini Dar Es Salaam jana. Pembeni ni Afisa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel yazindua huduma mpya

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imetangaza rasmi huduma ya kisasa ya kifedha kupitia huduma ya Airtel Money. Huduma hiyo mpya ya kibunifu itatoa uzoefu tofauti wa huduma za...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Bayport yazindua huduma mpya

TAASISI ya kifedha ya Bayport Tanzania imezindua huduma mpya ya mikopo ya bidhaa ikiwa na lengo la kurahisisha utendaji kazi wa watumishi wa umma na wafanyakazi wa kampuni zilizoidhinishwa na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Microsoft yazindua laptopu mpya

Kampuni ya microsoft imezindua laptopu inayojulikana kama surface book ikiwa miongoni mwa bidhaa mpya za Windows.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel yazindua simu mpya

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel, imetangaza ushirika wake na kampuni kubwa inayotengeneza simu za mkononi aina ya Apple. Airtel imeweka historia kwa kuwa kampuni ya kwanza ya mawasiliano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani