Clouds Media International yazindua huduma mpya ya kutafuta na kuunganisha wasanii kwenye shughuli mbalimbali za burudani
Mkurugenzi wa Clouds Media, Joseph Kusaga.
*Wasanii kutoka Afrika, Mashariki ya Kati na Asia kunufaika na huduma hii.
Kampuni ya Clouds Media International leo imetangaza kuzindua huduma mpya ya kutafuta na kuwaunganisha wasanii kwenye nafasi za kutoa burudani kwenye matamasha na matukio mbalimbali.
Kazi hiyo ya kuunganisha na kuwatafutia wasanii nafasi ya kutoa burudani itakuwa chini ya Status Bookings ambayo ni kampuni dada ya Clouds Media Group.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Clouds Media,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HLZ5Zl_3ZEw/VZEjQNJwaEI/AAAAAAAHljY/sroPUTkkks4/s72-c/581522_489635121134789_1304210883_n.jpg)
Clouds Media International yazindua huduma mpya ya kutafuta na kuunganisha (booking) wasanii kwenye shughuli mbalimbali za burudani.
![](http://2.bp.blogspot.com/-HLZ5Zl_3ZEw/VZEjQNJwaEI/AAAAAAAHljY/sroPUTkkks4/s640/581522_489635121134789_1304210883_n.jpg)
· Wasanii kutoka Afrika, Mashariki ya Kati na Asia kunufaika na huduma hii.
Abu Dhabi – Kampuni ya Clouds Media International leo imetangaza kuzindua huduma mpya ya kutafuta na kuwaunganisha wasanii kwenye nafasi za kutoa burudani kwenye matamasha na matukio mbalimbali.
Kazi hiyo ya kuunganisha na kuwatafutia wasanii nafasi ya kutoa burudani itakuwa chini ya Status Bookings ambayo ni kampuni dada ya Clouds Media Group.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Clouds Media, Joseph Kusaga, uzinduzi wa...
10 years ago
CloudsFM02 Dec
MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA,JOSEPH KUSAGA AKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST KUZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast leo na Gerald Hando,ambapo kauli mbiu ya sherehe ya mwaka huu ni #TunakufunguliaDunia #KuwaUnachotaka
10 years ago
Bongo529 Aug
Clouds Media International yafungua ofisi Jamaica
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7SNrSrA_548/VIVvz84sBzI/AAAAAAAG17o/vgOjsKDR04c/s72-c/MMGM0493.jpg)
Airtel yazindua HOME Wi-Fi, huduma ya Internet kuunganisha familia nzima kwa kifurushi kimoja tu
![](http://4.bp.blogspot.com/-7SNrSrA_548/VIVvz84sBzI/AAAAAAAG17o/vgOjsKDR04c/s1600/MMGM0493.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EYQrSbyBQAg/VIVv0t6qh9I/AAAAAAAG17w/WUja1ySUoWU/s1600/MMGM0467%2C.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-8NNnf9J9krI/VIVvwTJmosI/AAAAAAAG17g/MEQERZ-lXj0/s1600/MMGM0494.jpg)
AIRTEL YAZINDUA HOME WI-FI, HUDUMA YA INTERNET KUUNGANISHA FAMILIA NZIMA KWA KIFURUSHI KIMOJA TU
10 years ago
CloudsFM31 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aUUEBmVkGEY/VQGAhLk0AVI/AAAAAAAHJ3Y/KHbvwBECPEs/s72-c/unnamed.jpg)
Kampuni ya Push Mobile Media yazindua huduma ya kurahisha mawasiliano
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Push Mobile Media, Freddie Manento alisema kuwa huduma hiyo itamwezesha mtumiaji kufikisha ujumbe muhimu kwa gharama nafuu ikiwa katika sekta mbalimbali...
10 years ago
Michuzi12 Nov
DKT International yazindua kondomu mpya
Uzinduzi huo ulienda sambamba na usomaji wa ripoti ya utafiti wa tabia za kimapenzi kwa wakazi wa Dar es Salaam iliyofanywa na taasisi ya Data Vision International ambayo mojawapo ya matokeo ni ile iliyoonyesha...