Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mume mgomvi aandaliwa mlo wa kondomu

Mwanamke mmoja mwenye watoto watatu katika wilaya ya kole nchini Uganda alimuandalia mumewe mlo wa mipira ya kondomu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mgomvi wa mke wa Zuma atishia kujiua

Akiwa amekaa mahabusu kwa zaidi ya miezi miwili, Mtanzania Steven Ongolo, anayeshikiliwa kwa kutishia kutoa siri za Nompumulelo Zuma (ManTuli), ambaye ni mke wa rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, ametishia kujiua akidai anatishiwa kuuawa na haki kutotendeka katika kesi yake.

 

11 years ago

Mwananchi

Mgomvi wa mke wa Zuma kurejeshwa nchini

Mtanzania Stephen Ongolo anayekabiliwa na madai ya kutishia kutoa siri za mke wa Rais Jacob Zuma, Nompumelelo Ntuli (MaNtuli), huenda akarudishwa nchini na kuzuiwa kuitembelea Afrika Kusini milele.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mrithi wa Prof. Mwakyusa aandaliwa

WANANCHI wilayani Rungwe, Mbeya wamemtaka Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mbeya mjini, John Mwambigija kugombea Ubunge kuchukua nafasi ya Profesa David Mwakyusa (CCM). Wakizungumza kwa nyakati tofauti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

RADO: Mwili tu huu jamani! Mi’ sio mgomvi

KATI ya wasanii ambao wanafanya vizuri na kukimbiza katika tasnia ya filamu nchini, Simon Mwapagata ‘Rado’, ni mmoja wao. Mkali huyu ambaye alianza kusota kwenye sanaa ya uimbaji, aligeukia filamu...

 

10 years ago

Michuzi

NASSAR AANDALIWA SHEREHE JIMBONI KWAKE, NI BAADA YA KUTATUA MGOGORO WA MAJI

Mbunge Joshua Nassar akiwa na mkewe Anande Nnko wakati wa sherehe ya kimila iliyoandaliwa na wananchi katika jimbo la Arumeru Mashariki baada ya kufanikiwa kumaliza mgogoro wa maji uliokuwepo katika baadhi ya vijiji.
Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassar akiwahutubia wananchi wa kata ya Leguruki na King'ori baada ya kufanikiwa kuvunjwa kwa bodi ya maji uliokuwa ikihudumia vijiji 15 katika jimbo hilo.Mamia ya wananchi wakimsikiliza mbunge Joshua Nassar wakati akizungumza katika...

 

11 years ago

Habarileo

Zambarau mlo kamili Chamwino

KUNDI kubwa la watoto jana lilifika kwenye miti ya mizambarau karibu na kituo cha Polisi cha Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma kwa ajili ya kuchuma zambarau ambazo wamedai ni kwa ajili ya chakula na hata kuuza ili wapate fedha za kununua madaftari.

 

10 years ago

Mwananchi

Mlo unaofaa kwa wanaofunga

Kufunga ni jambo kongwe na linafanywa na wafuasi wa dini mbalimbali na makundi mengine ya watu. Sababu za kufunga ni nyingi, miongoni ni kufuata mafundisho ya dini au ushauri wa daktari. Wiki hii Waislamu wameanza kufunga Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

 

10 years ago

GPL

JK AANDALIWA DHIFA NA RAIS LUNGU WA ZAMBIA, MZEE KENNETH KAUNDA JIJINI LUSAKA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Edgar Lungu wa Zambia wakigonga glasi wakati wa dhifa ya kitaifa aliyoiandaa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni.    Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akigonga glasi na Rais wa Kwanza wa taifa la Zambia Dkt.Kenneth Kaunda wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni.Rais Kikwete ambaye...

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa udhibiti wa chumvi kwenye mlo

Mwili wa binadamu usipopata chumvi, hauna uhai. Chumvi ni chanzo muhimu cha madini ya sodium ambayo ni muhimu sana katika mwili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani