NASSAR AANDALIWA SHEREHE JIMBONI KWAKE, NI BAADA YA KUTATUA MGOGORO WA MAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-s49gbw8Rx5w/VXg-P6fL33I/AAAAAAAAQxc/d64iMJmwbc8/s72-c/IMG-20150607-WA0049.jpg)
Mbunge Joshua Nassar akiwa na mkewe Anande Nnko wakati wa sherehe ya kimila iliyoandaliwa na wananchi katika jimbo la Arumeru Mashariki baada ya kufanikiwa kumaliza mgogoro wa maji uliokuwepo katika baadhi ya vijiji.
Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassar akiwahutubia wananchi wa kata ya Leguruki na King'ori baada ya kufanikiwa kuvunjwa kwa bodi ya maji uliokuwa ikihudumia vijiji 15 katika jimbo hilo.
Mamia ya wananchi wakimsikiliza mbunge Joshua Nassar wakati akizungumza katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-pHeDt-gnpnw/VXg88mTXHDI/AAAAAAAAQw4/jDfAu7fwxR0/s72-c/20150609102655%2B%25281%2529.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSAR AANDALIWA SHEREHE JIMBONI KWAKE ,NI BAADA YA KUTATUA MGOGORO WA MAJI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-pHeDt-gnpnw/VXg88mTXHDI/AAAAAAAAQw4/jDfAu7fwxR0/s640/20150609102655%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z_DuLtBqJAU/VXg9BOfJRjI/AAAAAAAAQxM/5_wFEcwz3mE/s640/20150609102655.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eRGxeAKREv4/VXg88nfNvOI/AAAAAAAAQw8/tzcnUOMVT7I/s640/20150609102655%2B%25282%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--10eobYcy8M/VXg88fyd_qI/AAAAAAAAQw0/sD14-RBjj3Y/s640/20150609102655%2B%25283%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-s49gbw8Rx5w/VXg-P6fL33I/AAAAAAAAQxc/d64iMJmwbc8/s640/IMG-20150607-WA0049.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qf2kJrf2ApE/U_TMnJwScBI/AAAAAAAGA9w/PQH5wIenR2g/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
Mbunge wa Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji Jimboni kwake kwa kunywa maji ya Mtoni
![](http://2.bp.blogspot.com/-qf2kJrf2ApE/U_TMnJwScBI/AAAAAAAGA9w/PQH5wIenR2g/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xm1XeshQta4/U_TMnTV5pEI/AAAAAAAGA9s/XI0MMyay-dk/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI WA MAJI PROF,MAGHEMBE AFUTURISHA WANANCHI JIMBONI KWAKE
11 years ago
GPLWAZIRI WA MAJI PROF,MAGHEMBE AFUTURISHA WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU JIMBONI KWAKE
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)
Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]
The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Kenya na TZ kutatua mgogoro wa kitalii
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Wamtaka Tibaijuka kutatua mgogoro
10 years ago
Habarileo18 Nov
CCT yaombwa kutatua mgogoro Moravian
UONGOZI wa Kanisa la Moravian Jimbo la Kusini Magharibi umeamua kukutana na Kamati Teule ya Usuluhishi wa Migogoro ya Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) kuomba iingilie kati kufanya usuluhishi wa mgogoro unaoendelea kukabili kanisa hilo.