Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RADO: Mwili tu huu jamani! Mi’ sio mgomvi

KATI ya wasanii ambao wanafanya vizuri na kukimbiza katika tasnia ya filamu nchini, Simon Mwapagata ‘Rado’, ni mmoja wao. Mkali huyu ambaye alianza kusota kwenye sanaa ya uimbaji, aligeukia filamu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mwisho wa mwaka huu, jamani taratibu

Kuna wakati niliwahi kufikiria kutotembea kabisa barabarani nyakati za mwisho wa mwaka kwa sababu tu nilikuwa nahisi kwamba hiki ni kipindi cha balaa kuliko vipindi vyote vya mwaka.

 

10 years ago

Bongo Movies

Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena

LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,

 je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??

 

Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema

 

“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”

 

Kwanza kabisa...

 

11 years ago

GPL

MAMA: HUU SI UJAUZITO JAMANI, TUMBO LIMEJAA MAJI

Na Haruni Sanchawa “MWANANGU dunia hii, hujafa hujaumbika. Kama huamini maneno hayo ya wahenga amini kupitia kwangu,” ndivyo alivyoanza kusema Mariam Manyata (57) mwenyeji wa Mkoa wa Manyara ambaye yupo Hospitali ya Taifa Muhimbili akisumbuliwa na tatizo la tumbo kujaa maji. Mwanamke huyo aliyebahatika kupata  watoto watano wa jinsia ya kike, anasumbuliwa na ugonjwa huo kwa miaka mitano sasa huku madaktari...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu:Napenda Zaidi Ushauri au Maoni Kuhusu Kazi Zangu Na Sio Mwili Wangu

Mwigizaji  wa filamu, Elizabeth Michael“Lulu”ameyasema haya akiwa “GYM” anafanya mazoezi.

“Hii ni Kwa ndugu,jamaa,marafiki na mashabiki....!
Ningependa zaidi kupokea maoni Au ushauri juu Ya kazi zangu(filamu)nifanye nn,niongeze Nn au nipunguze nn....ushauri wa Mwili WANGU ninaomba mniachie mimi na Doctor pengine....mana tunapoelekea kuna watu mtatupangia mpaka style za kulala vitandani,hamshindwi kusema kwasababu Wewe Kioo cha jamii ukilala chali haipendezi “ Lulu alimaliza.

Wengi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mboto Vs Masanja: Hii Sio Yakukosa Mwaka Huu!!!

Kama mwaka huu hauna mpango wa kuangalia filamu yoyote ya hapa bongo,basi nakushauri ndugu yangu hii ya Masanja Mkandamizaji akiwa na Mboto sio ya kuikosa.

 “Dairekita Lokesheni. #Hiki kitambi cha huyu kijana sijui amemeza nini mwanawane”-Masaja aliandika kuelezea picha hiyo hapo juu.

Jina a lini itakoka filamu hii bado hawijawekwa wazi, ila kwasasa ndio ina “shutiwa”  kwahiyo mdau ukae mkao wa kula!!!

 

10 years ago

Vijimambo

Gwajima Asema Atakufa na Lowassa na Dr. Slaa, Asisitiza huu sio Muda wa Kuchaguliana Marafiki


Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima jana alihubiri akiwa katika kiti cha magurudumu na kusema hawezi kuwatupa Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kwa kuwa ni marafiki zake wa siku nyingi.Pia askofu huyo, amewataka waumini wote wa kanisa hilo kufika katika Kituo Kikuu cha Polisi, Alhamisi ijayo siku ambayo atakwenda kukamilisha mahojiano dhidi ya tuhuma za kumtukana Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Polycarp Kardinali...

 

10 years ago

GPL

MAFUFU AMSHUSHA RADO GARINI

Stori: Hamida Hassan/Risasi MWIGIZAJI Jimmy Mafufu amenaswa akimshusha kwa nguvu mwigizaji mwenzake Rado alipomuomba lifti ya kwenda Kariakoo wakitokea Mwanyamala, Demag Hotel. Mwigizaji wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu. Paparazi wetu alimshuhudia Mafufu akimshusha kwa nguvu Rado kwenye gari lake aina ya Toyota Passo kwa kile alichodai hayupo tayari kumpakiza kwani hajui kwenye gari hilo jipya ameweka nini.
“Shukashuka,...

 

9 years ago

Michuzi

MWILI WA MAREHEMU CELINA O. KOMBANI WAWASILI DAR ES SALAAM MUDA HUU, WATUMISHI WA OFISI YAKE WAMLILIA

Pumzika kwa Amani mpendwa wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mhe. Celina O. Kombani (pichani).

Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAB Mkwizu na watumishi wote wa Ofisi ya Rais-Utumishi wataendelea kukukumbuka daima kwa busara zako na uongozi wako mzuri.-------------------------------------------------------------------Wakati huo huo mwili wa Marehemu Celina O. Kombani umewasili muda huu katika uwanja wa ndege wa kimatifa wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mgomvi wa mke wa Zuma atishia kujiua

Akiwa amekaa mahabusu kwa zaidi ya miezi miwili, Mtanzania Steven Ongolo, anayeshikiliwa kwa kutishia kutoa siri za Nompumulelo Zuma (ManTuli), ambaye ni mke wa rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, ametishia kujiua akidai anatishiwa kuuawa na haki kutotendeka katika kesi yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani