RADO: Mwili tu huu jamani! Mi’ sio mgomvi
KATI ya wasanii ambao wanafanya vizuri na kukimbiza katika tasnia ya filamu nchini, Simon Mwapagata ‘Rado’, ni mmoja wao. Mkali huyu ambaye alianza kusota kwenye sanaa ya uimbaji, aligeukia filamu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Mwisho wa mwaka huu, jamani taratibu
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena
LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,
je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??
Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema
“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”
Kwanza kabisa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcJ*6IwxQFo0ukS0DnpslDmGtx00RRHaF68lAnsOtyKAaPV8kzEh8E2mFlQ1TttPr5JTONUFXFj9ArNxGtrBnUaY/mama.jpg?width=650)
MAMA: HUU SI UJAUZITO JAMANI, TUMBO LIMEJAA MAJI
10 years ago
Bongo Movies15 Dec
Lulu:Napenda Zaidi Ushauri au Maoni Kuhusu Kazi Zangu Na Sio Mwili Wangu
Mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael“Lulu”ameyasema haya akiwa “GYM” anafanya mazoezi.
“Hii ni Kwa ndugu,jamaa,marafiki na mashabiki....!
Ningependa zaidi kupokea maoni Au ushauri juu Ya kazi zangu(filamu)nifanye nn,niongeze Nn au nipunguze nn....ushauri wa Mwili WANGU ninaomba mniachie mimi na Doctor pengine....mana tunapoelekea kuna watu mtatupangia mpaka style za kulala vitandani,hamshindwi kusema kwasababu Wewe Kioo cha jamii ukilala chali haipendezi “ Lulu alimaliza.
Wengi...
10 years ago
Bongo Movies07 Jan
Mboto Vs Masanja: Hii Sio Yakukosa Mwaka Huu!!!
Kama mwaka huu hauna mpango wa kuangalia filamu yoyote ya hapa bongo,basi nakushauri ndugu yangu hii ya Masanja Mkandamizaji akiwa na Mboto sio ya kuikosa.
“Dairekita Lokesheni. #Hiki kitambi cha huyu kijana sijui amemeza nini mwanawane”-Masaja aliandika kuelezea picha hiyo hapo juu.
Jina a lini itakoka filamu hii bado hawijawekwa wazi, ila kwasasa ndio ina “shutiwa” kwahiyo mdau ukae mkao wa kula!!!
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-FeTrEWB8k2E/VSJoWoqTXyI/AAAAAAAArW0/y9qZK6MlMLE/s72-c/gwajimaz.jpg)
Gwajima Asema Atakufa na Lowassa na Dr. Slaa, Asisitiza huu sio Muda wa Kuchaguliana Marafiki
![](http://3.bp.blogspot.com/-FeTrEWB8k2E/VSJoWoqTXyI/AAAAAAAArW0/y9qZK6MlMLE/s640/gwajimaz.jpg)
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima jana alihubiri akiwa katika kiti cha magurudumu na kusema hawezi kuwatupa Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kwa kuwa ni marafiki zake wa siku nyingi.Pia askofu huyo, amewataka waumini wote wa kanisa hilo kufika katika Kituo Kikuu cha Polisi, Alhamisi ijayo siku ambayo atakwenda kukamilisha mahojiano dhidi ya tuhuma za kumtukana Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Polycarp Kardinali...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yKWLMefqYByjRN4389TX3KsJgcOFbyI4bxGH1NefARP6C*nBy6djH91f1M5wwFH06VHLc7bZ1Z01wcGvuXv2K3HsW41wFpne/rado.jpg?width=650)
MAFUFU AMSHUSHA RADO GARINI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hITYstu3ZZs/VgaawQi8RFI/AAAAAAAH7So/eSZ6EpsD07E/s72-c/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
MWILI WA MAREHEMU CELINA O. KOMBANI WAWASILI DAR ES SALAAM MUDA HUU, WATUMISHI WA OFISI YAKE WAMLILIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hITYstu3ZZs/VgaawQi8RFI/AAAAAAAH7So/eSZ6EpsD07E/s320/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAB Mkwizu na watumishi wote wa Ofisi ya Rais-Utumishi wataendelea kukukumbuka daima kwa busara zako na uongozi wako mzuri.-------------------------------------------------------------------Wakati huo huo mwili wa Marehemu Celina O. Kombani umewasili muda huu katika uwanja wa ndege wa kimatifa wa...
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Mgomvi wa mke wa Zuma atishia kujiua