Gwajima Asema Atakufa na Lowassa na Dr. Slaa, Asisitiza huu sio Muda wa Kuchaguliana Marafiki
![](http://3.bp.blogspot.com/-FeTrEWB8k2E/VSJoWoqTXyI/AAAAAAAArW0/y9qZK6MlMLE/s72-c/gwajimaz.jpg)
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima jana alihubiri akiwa katika kiti cha magurudumu na kusema hawezi kuwatupa Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kwa kuwa ni marafiki zake wa siku nyingi.Pia askofu huyo, amewataka waumini wote wa kanisa hilo kufika katika Kituo Kikuu cha Polisi, Alhamisi ijayo siku ambayo atakwenda kukamilisha mahojiano dhidi ya tuhuma za kumtukana Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Polycarp Kardinali...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Askofu Gwajima: Tatizo la Dk Slaa si Lowassa
10 years ago
Mwananchi06 Apr
Askofu Gwajima: Siwezi kuwatupa Dk Slaa, Lowassa
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xBLFndPJyOQ/VVQ6GEYIN6I/AAAAAAAAtwo/55_2WoYu1AU/s72-c/lusinde.jpg)
Vijembe Vya Kisiasa Vyatawala Bungeni......Lusinde Asema Dr Slaa Hafai Kuwa Rais Maana Ikulu Sio Wodi Ya Wagonjwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-xBLFndPJyOQ/VVQ6GEYIN6I/AAAAAAAAtwo/55_2WoYu1AU/s640/lusinde.jpg)
VIJEMBE vya kisiasa jana vilichukua sehemu kubwa ya mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu unaoendelea, ambapo mvutano mkubwa ulikuwa kati ya Serikali na vyama vya upinzani nani amechoka.
Akizungumza bungeni kwa vijembe, Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM), alisema hoja ya kambi rasmi ya upinzani kuwa Serikali imechoka, inawezekana ni kweli ila haikuwekwa vizuri.Alifafanua kuwa Serikali imefanya kazi kubwa ya kukopesha wanafunzi, kutoa huduma ya afya, kujenga barabara kusambaza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/l5U69tqPk5VVevXxNQPEKUVlwGHOEjSkwhhEXbkelRU*emEJuoOvg9L*vOsbw*zaqb7a*ZMP4zTkdg3Y9KsVXah2q70tcuNf/DrSlaa.gif?width=650)
KUHUSU DK. SLAA KUMKATAA LOWASSA UKWELI NI HUU
10 years ago
Bongo520 Aug
Papa Francis asema atakufa baada ya miaka miwili au mitatu
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Breaking News! Askofu Gwajima ‘aidindia’ jeshi la Polisi waliomfuata kumchukua nyumbani kwake SalaSala, ajisalimisha na Wakili wake muda huu kwa Kamanda Kova
Baadhi ya Maaskofu wa Kanisa la Gwajima na maaskofu rafiki wa makanisa ya Pentekoste wakiongea na Gwajima (Hayupo pichani) ambaye alikuwa akiwapa maelekezo kabla ya kuondoka kwenda kuhojiwa jeshi la Polisi mchana wa leo.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima mapema leo ameibua hofu kubwa kwa majirani na waumini wake waliokuwa wametanda nje ya nyumba yake baada ya Jeshi la Polisi kuvamia kwake kwa lengo la kumchukua kwenda Polisi Centro...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Oct
Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais
Thursday, October 8, 2015 Siku chache baada ya chama cha ACT-Wazalendo kutoa tamko rasmi kuwa hawataweza kumruhusu Dk. Wilbroad Slaa kupanda kwenye jukwaa lao kumnadi mgombea urais wa chama hicho kwa sababu za kiusalama, jana mwanasiasa […]
The post Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/polepole.jpg?resize=702%2C702)
HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO
![](http://i2.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Msigwa.jpg?resize=595%2C300)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/5.Askofo-wa-Kanisa-la-Ufufuo-na-UzimaJosephath-Gwajima-akizungumza-kwenye-mkutano-huo-leo-katika-Hoteli-ya-Land-Mack..jpg)
GWAJIMA AMJIBU DOKTA SLAA