Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais
Thursday, October 8, 2015 Siku chache baada ya chama cha ACT-Wazalendo kutoa tamko rasmi kuwa hawataweza kumruhusu Dk. Wilbroad Slaa kupanda kwenye jukwaa lao kumnadi mgombea urais wa chama hicho kwa sababu za kiusalama, jana mwanasiasa […]
The post Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xBLFndPJyOQ/VVQ6GEYIN6I/AAAAAAAAtwo/55_2WoYu1AU/s72-c/lusinde.jpg)
Vijembe Vya Kisiasa Vyatawala Bungeni......Lusinde Asema Dr Slaa Hafai Kuwa Rais Maana Ikulu Sio Wodi Ya Wagonjwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-xBLFndPJyOQ/VVQ6GEYIN6I/AAAAAAAAtwo/55_2WoYu1AU/s640/lusinde.jpg)
VIJEMBE vya kisiasa jana vilichukua sehemu kubwa ya mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu unaoendelea, ambapo mvutano mkubwa ulikuwa kati ya Serikali na vyama vya upinzani nani amechoka.
Akizungumza bungeni kwa vijembe, Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM), alisema hoja ya kambi rasmi ya upinzani kuwa Serikali imechoka, inawezekana ni kweli ila haikuwekwa vizuri.Alifafanua kuwa Serikali imefanya kazi kubwa ya kukopesha wanafunzi, kutoa huduma ya afya, kujenga barabara kusambaza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3v6LzW0UOPSx92DfQ0ScrpqMsIVoFBStF0khHgPv3e9PGnIkS2T8a0uf5yQdeV8IGpaoIUWc2HCHgj69fxmg*lD/r.jpg)
LOWASSA ANAFAA AU HAFAI KUWA RAIS 2015?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZfaa5wASNvBc6RzQ-5Rcl9Zj8eYZyZZNF*ldkZluYyTxnkr6KaVvfC1IHXi8zXc0BuGIzhwLXwjU2tOW9sj7Muy/1003405_651211694942828_1901901229_n.jpg?width=650)
MAKONDA: LOWASSA HAFAI KUWA RAIS WA TANZANIA WALA MWENYEKITI WA CCM!
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Dk. Slaa: Magufuli anafaa kuwa rais
Na Khamis Mkotya, Dar
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbrod Slaa, amempigia debe mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, akisema kuwa anafaa kuwa rais wa awamu ya tano.
Dk. Slaa amedhihirisha hisia zake hizo juzi usiku wakati akihojiwa katika kipindi maalumu kilichoandaliwa na kurushwa na Kituo cha Televisheni cha Star TV.
Dk. Slaa ambaye alizungumzia masuala mbalimbali, alisema anamuunga mkono Dk. Magufuli kwa kuwa ni...
9 years ago
BBCSwahili20 Sep
Carson:Musilamu hafai kuwa rais wa Marekani
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI ASEMA BADO SIKU 12 KUWA RAIS WATtANZANIA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xy3xmt5-1wE/VNW8L_2xwGI/AAAAAAAAVBU/Bqn4Eobn3dU/s72-c/3.png)
DIAMOND AKANUSHA KUPEWA MILIONI 500 NA LOWASSA ILI AMPIGIE KAMPENI....ASEMA TAARIFA HIZO ZINALENGO LA KUMCHAFUA LOWASSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xy3xmt5-1wE/VNW8L_2xwGI/AAAAAAAAVBU/Bqn4Eobn3dU/s640/3.png)
Alisema hata hivyo Diamond yupo tayari kumfanyia kampeni mgombea yeyote...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Rais Magufuli kuwa mgeni rasmi katika Mkesha Mkubwa wa Kitaifa wa kuliombea Taifa
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3GYObeUA7U/ViFDmfHDnOI/AAAAAAADBBc/TlfF4R_Lujk/s72-c/_MG_6485.jpg)
DKT SHEIN AMNADI DKT MAGUFULI KISIWANI UNGUJA LEO,ASEMA ANATOSHA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3GYObeUA7U/ViFDmfHDnOI/AAAAAAADBBc/TlfF4R_Lujk/s1600/_MG_6485.jpg)
Dkt Shein emebainisha wazi kwenye mkutano huo wa kampeni kuwa Dkt Magufuli ni mtu sahihi na anatosha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,amesema kuwa iwapo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10