Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Carson:Musilamu hafai kuwa rais wa Marekani

Mwaniaji kiti cha chama cha Republican nchini Marekani,Ben Carson ameonya kuwa uislamu unakiuka katika ya nchi hiyo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LOWASSA ANAFAA AU HAFAI KUWA RAIS 2015?

UKITAJA jina la Edward Ngoyayi Lowassa utakuwa unamzungumzia Mbunge wa Jimbo la Monduli mkoani Arusha tangu mwaka 1990 na Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, aliyezaliwa  Agosti 26, 1953. Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, aliyezaliwa  Agosti 26, 1953 Mheshimiwa Lowassa. Mheshimiwa Lowassa amesoma elimu yake ya msingi katika shule ya Monduli na baadaye Sekondari Arusha (Ilboru) na Milambo mkoani...

 

11 years ago

GPL

MAKONDA: LOWASSA HAFAI KUWA RAIS WA TANZANIA WALA MWENYEKITI WA CCM!

Paul Makonda (UVCCM). TAMKO LA JUMUIYA YA VIJANA KUUNGA MKONO KAZI YA SEKRETARIETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI CHINI YA KATIBU MKUU NDUGU ABDULRAHAMAN KINANA
“..Chama Cha Siasa chochote duniani hubomoka kutokana na migongano iliyokithiri ya muda mrefu. Uzoefu wa vyama vikubwa vilivyoporomoka umeonyesha hivyo! Chama lazima kidhibiti uchu wa madaraka wa baadhi ya viongozi wake na ndani ya serikali yake...” – Dr...

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais

Thursday, October 8, 2015 Siku chache baada ya chama cha ACT-Wazalendo kutoa tamko rasmi kuwa hawataweza kumruhusu Dk. Wilbroad Slaa kupanda kwenye jukwaa lao kumnadi mgombea urais wa chama hicho kwa sababu za kiusalama, jana mwanasiasa […]

The post Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

Vijembe Vya Kisiasa Vyatawala Bungeni......Lusinde Asema Dr Slaa Hafai Kuwa Rais Maana Ikulu Sio Wodi Ya Wagonjwa


VIJEMBE vya kisiasa jana vilichukua sehemu kubwa ya mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu unaoendelea, ambapo mvutano mkubwa ulikuwa kati ya Serikali na vyama vya upinzani nani amechoka.
Akizungumza bungeni kwa vijembe, Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM), alisema hoja ya kambi rasmi ya upinzani kuwa Serikali imechoka, inawezekana ni kweli ila haikuwekwa vizuri.Alifafanua kuwa Serikali imefanya kazi kubwa ya kukopesha wanafunzi, kutoa huduma ya afya, kujenga barabara kusambaza...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Museveni hafai kupatanisha Burundi

Neno “PIERRE” kwa Kifaransa lina maana ya jiwe na “NKURUNZIZA” kwa Kihutu lina maana ya habari njema. Mwaka 2005 Pierre Nkurunziza alikuwa “jiwe” lililowapa Warundi “habari njema” alipochaguliwa kuwa rais wa Burundi baada ya miaka mingi ya mapigano ya wenyewe kwa wenyewe.

 

9 years ago

Mtanzania

Will Smith: Nitakuja kuwa rais wa Marekani

Will SmithNEW YORK, MAREKANI

MKALI wa muziki na filamu nchini Marekani, Will Smith, amesema bado ana ndoto za kuja kuwa rais wa nchi hiyo kwa miaka ijayo.

Msanii huyo ambaye anafanya vizuri katika filamu, ameamua kurudi tena kwenye muziki baada ya kukaa kimya kwa miaka mingi, lakini mbali na kufanya muziki amesema kuwa lengo lake ni kuja kuwa rais wa Marekani.

“Ninaamini kila kitu kinawezekana, lakini kwa upande wangu ni kwamba siku moja nije kuwa rais wa Marekani, hii ni mipango yangu kwa kuwa...

 

10 years ago

Bongo5

T.I. aomba radhi baada ya kusema mwanamke hawezi kuwa rais wa Marekani!

T.I. amejikuta kwenye kitimoto baada ya kutania kuwa mwanamke hawezi kuwa rais wa Marekani. Baada ya maji kumfika shingoni, rapper huyo ameamua kuomba radhi. Wakati wa interview na DJ Whoo Kid wiki iliyopita, Tip alisema hawezi kumpigia kura Hillary Clinton kwasababu ni mwanamke. “Not to be sexist, but I can’t vote for the leader of […]

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete amteua Wilson Masilingi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Marekani


Rais Kikwete amemhamisha Wilson Masilingi kutoka kuwa Balozi wa Tanzania Uholanzi na sasa anakuwa Balozi wa Tanzania Marekani kuchukua nafasi ya Liberata Mulamula. Nafasi ya Masilingi itajazwa na Irene Kisyanju aliyeteuliwa kuwa balozi Uholanzi akitokea wizara ya mambo ya nje.Aidha Rais amemteua Mkuu wa chuo cha ulinzi cha taifa Luten Jenerali Charles Makakala kuwa Balozi wa TZ Zimbabwe kuchukua nafasi ya Adadi Rajab alieteuliwa kuwa mgombea ubunge CCM huko Tanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani