T.I. aomba radhi baada ya kusema mwanamke hawezi kuwa rais wa Marekani!
T.I. amejikuta kwenye kitimoto baada ya kutania kuwa mwanamke hawezi kuwa rais wa Marekani. Baada ya maji kumfika shingoni, rapper huyo ameamua kuomba radhi. Wakati wa interview na DJ Whoo Kid wiki iliyopita, Tip alisema hawezi kumpigia kura Hillary Clinton kwasababu ni mwanamke. “Not to be sexist, but I can’t vote for the leader of […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Mhuburi aomba radhi baada ya kuzini
9 years ago
Bongo530 Oct
Justin Bieber asusia kutumbuiza Norway, akatisha onesho na kushuka jukwaani baada ya kuimba wimbo mmoja, aomba radhi
![Bieber norway](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Bieber-norway-94x94.jpg)
10 years ago
StarTV18 Jun
Sura ya mwanamke kuwa katika noti mpya Marekani.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/19/150319125028_usa_federal_reserve_bank_640x360_afp_nocredit.jpg)
Benki Kuu ya Marekani
Kwa mara ya kwanza katika kipindi cha zaidi ya karne moja, noti mpya ya dola kumi nchini Marekani itakuwa na picha na mwanamke.
Wizara ya Fedha ya Marekani imewataka wananchi wa Marekani kutoa mawazo yao ni picha ya mwanamke gani ichapishwe kwenye noti hiyo.
Wizara hiyo imesema inatafuta kile kinachoelezwa kuwa demokrasia shirikishi.
Kwa sasa noti za Benki Kuu ya Marekani zilizo katika mzunguko wa fedha zinawaonyesha viongozi wa zamani wa kisiasa—-wote wakiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aDRZat70esGfw4s9d60KdCX7aKOpPIvtsRCQkAUNyTz8w-pZJzkxgovsSV9njgyBRj9xU*Mwm93HdgDAHU6S5qc*ja8H4lrv/07lorettalynch.w529.h352.2x.jpg?width=650)
MWANAMKE MWEUSI ATEULIWA KUWA MWANASHERIA MKUU NCHINI MAREKANI
10 years ago
Bongo508 Oct
Mwanamke ajioa mwenyewe baada ya kuchoka kuwa single kwa miaka 6!
11 years ago
BBCSwahili12 May
Mmiliki wa clippers aomba radhi
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Mkuu wa QPR aomba radhi
10 years ago
BBCSwahili01 May
Nigel Pearson aomba radhi
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Tsarnaev aomba radhi waathirika .