Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke ajioa mwenyewe baada ya kuchoka kuwa single kwa miaka 6!

Uvumilivu wa kusubiri mwanaume wa kuja kumpigia goti na kumuuliza ‘will you marry me?’, umemshinda mwanamke mmoja wa Uingereza, aliyeamua kuchukua uamuzi wa kujichumbia na kujioa mwenyewe! Grace Gelder ambaye ni ‘mme na mke’ alijichumbia November, 2013 na baadae kujioa March, 2014 na kuamua kufanya sherehe ya harusi yake iliyohudhuriwa na wageni 50. Na ule […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

'Ajioa' baada ya kukosa mchumba

Yasmin Eleby hakupata mchumba wa kumuoa mtu ambaye alitaka awe mume wake atakapofikisha miaka 40--kwa hivyo akafanya kitendo ambacho kimewashangaza wengi, aliamua kujioa mwenyewe.

 

9 years ago

Bongo5

Genevieve Nnaji kuja na ‘Road to Yesterday’ baada ya kuwa kimya kwa miaka miwili

12145477_790315321079211_455722967_nBaada ya kuwa kimya kwa kipindi cha miaka miwili, muigizaji wa Nigeria, Genevieve Nnaji anatarajia kurudi tena kwenye filamu. Staa huyo wa Nollywood anatarajia kuja na filamu ya kwanza aliyoitayarisha mwenyewe, ‘Road to Yesterday.’ Nnaji alisema huu ni muda muafaka kwa yeye kurejea tena lakini akihusika zaidi pia kwenye utayarishaji. Amesema filamu hiyo aliyoshirikiana kuiandaa […]

 

11 years ago

CloudsFM

BAADA YA KUWA KWENYE ‘GAME’ KWA MIAKA 15,DULLY SYKES AKUMBUKA ALIVYOMFUNIKA TID MWAKA 2002

Jana kupitia xxl clouds fm msanii wa Bongo Fleva, Prince Dully Sykes alisema kuwa ameitumikia tasnia hiyo kwa miaka 15 mpaka sasa, alifunguka kuwa moja kati ya vitu anavyovikumbuka ndani ya miaka 15 ni siku aliyomfunika msanii mwenzake katika tasnia hiyo TID kwenye shoo waliyoshindanishwa mwaka 2002 ilifanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es salaam.Jana hiyo hiyo Mzee Mnyama akajibu mapigo, sasa baada ya hapo Dully naye akataka kuweka mambo sawa.

 

9 years ago

Bongo5

T.I. aomba radhi baada ya kusema mwanamke hawezi kuwa rais wa Marekani!

T.I. amejikuta kwenye kitimoto baada ya kutania kuwa mwanamke hawezi kuwa rais wa Marekani. Baada ya maji kumfika shingoni, rapper huyo ameamua kuomba radhi. Wakati wa interview na DJ Whoo Kid wiki iliyopita, Tip alisema hawezi kumpigia kura Hillary Clinton kwasababu ni mwanamke. “Not to be sexist, but I can’t vote for the leader of […]

 

10 years ago

Michuzi

KIKONGWE WA MIAKA 76 AAMUA KUJITENGENEZEA JENEZA LAKE MWENYEWE KWA SABABU YA UGUMU WA MAISHA

Bi Scholastika Mhagama akiwa katika mlango wa nyumba yake. ---------------------Na Oswald Ngonyani wa demashonews - Peramiho.Wahenga walisema ‘Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni;’ Jamii inazidi kujawa na chuki na ukatili ndani yake, imekuwa kawaida siku hizi kusikia fulani kamuua fulani kwa kisa kisichokuwa na maana.
Maalbino wanakatwa viungo vyao kwa visingizio vya kupata utajiri kwa watu wasiokuwa na huruma, watoto wadogo wananyimwa haki zao na kuwekwa ndani ya maboksi na wengine...

 

10 years ago

Bongo5

AY akanusha kuwa na mahusiano na Sitti Mtemvu na Victoria Kimani, asema kwa sasa yuko single

Miongoni mwa watu maarufu wa Bongo ambao huwa hawapendi kuweka hadharani mahusiano yao ya kimapenzi ni pamoja na Ambwene Yessaya a.k.a AY. Baada ya kumuweka hadharani mchumba mpenzi wake 2013, AY amesema kwa sasa yupo single tena. AY na aliyekuwa mchumba mwenye mchanganyiko wa Yemeni na Shelisheli, kwenye Red Carpet ya Road to CHOAMVA 2013, […]

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MATUNZO KWA MWANAMKE HUENDELEA KUTOLEWA HATA BAADA YA KUTENGANA NAYE

Na  Bashir  Yakub.Suala   la  matunzo  haliishi  tu kwa  mtoto/ watoto.  Wengi  wa  wanaume wamekuwa  wakipendelea  kuwajibika  kwa  kutoa  matunzo  ya  watoto  na  kumuacha  mwanamke.  Jambo  hili  si  sawa  na  halikubaliki  kisheria. Ni  vema  kufahamu    kuwa  suala  la matunzo  kwa  mwanamke  limegawanyika   mara  nne.  Kwanza   kuna  matunzo  kipindi  ambacho  ni  cha  ndoa  ambapo  hakuna  mgogoro  wowote  baina  ya  wanandoa. Pili  kuna  matunzo  kwa  mwanamke  kipindi  ambacho...

 

9 years ago

Bongo5

Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari kujiteua mwenyewe kuwa waziri wa mafuta

Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari Jumatano hii alitarajiwa kulitangaza baraza la mawaziri na kwamba angejiteua mwenyewe kuwa waziri wa mafuta. Jumanne hii, Buhari alisema jijini New York, anakohudhuria mkutano wa mkuu wa umoja wa mataifa kuwa atajiteua mwenyewe kuongoza wizara hiyo nyeti. Lengo lake ni kuondoa ufisadi na rushwa iliyokithiri kwenye sekta hiyo. Rais huyo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani