Mwanamke ajioa mwenyewe baada ya kuchoka kuwa single kwa miaka 6!
Uvumilivu wa kusubiri mwanaume wa kuja kumpigia goti na kumuuliza ‘will you marry me?’, umemshinda mwanamke mmoja wa Uingereza, aliyeamua kuchukua uamuzi wa kujichumbia na kujioa mwenyewe! Grace Gelder ambaye ni ‘mme na mke’ alijichumbia November, 2013 na baadae kujioa March, 2014 na kuamua kufanya sherehe ya harusi yake iliyohudhuriwa na wageni 50. Na ule […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
'Ajioa' baada ya kukosa mchumba
9 years ago
Bongo503 Nov
Genevieve Nnaji kuja na ‘Road to Yesterday’ baada ya kuwa kimya kwa miaka miwili
![12145477_790315321079211_455722967_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12145477_790315321079211_455722967_n-94x94.jpg)
11 years ago
CloudsFM29 May
BAADA YA KUWA KWENYE ‘GAME’ KWA MIAKA 15,DULLY SYKES AKUMBUKA ALIVYOMFUNIKA TID MWAKA 2002
Jana kupitia xxl clouds fm msanii wa Bongo Fleva, Prince Dully Sykes alisema kuwa ameitumikia tasnia hiyo kwa miaka 15 mpaka sasa, alifunguka kuwa moja kati ya vitu anavyovikumbuka ndani ya miaka 15 ni siku aliyomfunika msanii mwenzake katika tasnia hiyo TID kwenye shoo waliyoshindanishwa mwaka 2002 ilifanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es salaam.
Jana hiyo hiyo Mzee Mnyama akajibu mapigo, sasa baada ya hapo Dully naye akataka kuweka mambo sawa.
9 years ago
Bongo516 Oct
T.I. aomba radhi baada ya kusema mwanamke hawezi kuwa rais wa Marekani!
10 years ago
Michuzi22 Aug
KIKONGWE WA MIAKA 76 AAMUA KUJITENGENEZEA JENEZA LAKE MWENYEWE KWA SABABU YA UGUMU WA MAISHA
Maalbino wanakatwa viungo vyao kwa visingizio vya kupata utajiri kwa watu wasiokuwa na huruma, watoto wadogo wananyimwa haki zao na kuwekwa ndani ya maboksi na wengine...
10 years ago
Bongo505 Jan
AY akanusha kuwa na mahusiano na Sitti Mtemvu na Victoria Kimani, asema kwa sasa yuko single
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6JoCghYlMR0/VTnwm0MNFvI/AAAAAAAHS1M/gZudUDChCxM/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MATUNZO KWA MWANAMKE HUENDELEA KUTOLEWA HATA BAADA YA KUTENGANA NAYE
![](http://3.bp.blogspot.com/-6JoCghYlMR0/VTnwm0MNFvI/AAAAAAAHS1M/gZudUDChCxM/s1600/1.1774256.jpg)
10 years ago
Michuzi01 Dec
9 years ago
Bongo501 Oct
Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari kujiteua mwenyewe kuwa waziri wa mafuta