AY akanusha kuwa na mahusiano na Sitti Mtemvu na Victoria Kimani, asema kwa sasa yuko single
Miongoni mwa watu maarufu wa Bongo ambao huwa hawapendi kuweka hadharani mahusiano yao ya kimapenzi ni pamoja na Ambwene Yessaya a.k.a AY. Baada ya kumuweka hadharani mchumba mpenzi wake 2013, AY amesema kwa sasa yupo single tena. AY na aliyekuwa mchumba mwenye mchanganyiko wa Yemeni na Shelisheli, kwenye Red Carpet ya Road to CHOAMVA 2013, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RFOSi114PwQ/VEY7FaV6YGI/AAAAAAABETI/1BF6RujdUQc/s72-c/IMG_6936.jpg)
HASHIM LUNDENGA AKANUSHA HABARI ZA SITTI MTEMVU aka MISS TANZANIA KUJIVUA TAJI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-RFOSi114PwQ/VEY7FaV6YGI/AAAAAAABETI/1BF6RujdUQc/s640/IMG_6936.jpg)
Uvumi wa Sitti kuvua taji hilo umetokana na taarifa zilizotolewa kupitia akaunti ya Facebook mrembo huyo anayelalamikiwa kughushi vyeti vya kuzaliwa, akisema kutokana na vidole vya lawama anavyooshewa kiasi cha kuosa amani,...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vlkxPYfp5m8/VXvTLbHPCSI/AAAAAAAAvqY/RMiuwP-R3yI/s72-c/wiw.jpg)
Sitti Mtemvu alivyoyabadilisha maumivu ya siku 30 kuwa biashara!
![](http://3.bp.blogspot.com/-vlkxPYfp5m8/VXvTLbHPCSI/AAAAAAAAvqY/RMiuwP-R3yI/s640/wiw.jpg)
Aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Uingereza kuanzia mwaka 1940 hadi 1945 na kisha kurejea tena mwaka 1951 hadi 1955, Winston Churchill aliwahi kusema, “a pessimist sees the difficulty in every opportunity; an optimist sees the opportunity in every difficulty.”
Alimaanisha kuwa “mtu muoga huona ugumu kwenye kila fursa na mtu jasiri huona fursa kwenye kila ugumu.”2014 ulikuwa ni mwaka wenye majaribu na mitihani mingi kwa Sitti Mtemvu. Mara tu baada ya kushinda taji la Miss Tanzania 2014, skendo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/agg6MtdmQC0hLg2pPh*5r1JAdVPGbAkYZgGWzY5647yLXh9-vHh8wcweiOs32e2H8MBF912hr8nAxceu9l6uIqFd6JxbmFhg/nay.jpg)
NAY ATANGAZA MALI ZAKE, YAMO MAJUMBA, MAGARI, ASEMA KWA SASA YUPO SINGLE
STAA wa Bongo Fleva nchini, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amefunguka kuhusu mali zake anazomiliki. Nay ameyafunguka hayo wakati akihojiwa katika Kipindi cha Sporah kinachoruka kupitia Runinga ya Clouds TV kila Jumanne usiku. Nay wa Mitego akipozi na Mtangazaji wa Kipindi cha Sporah. Staa huyo amesema anamiliki nyumba tatu, magari matatu ambayo ni Toyota Prado, Nissani Murano na Toyota Passo. Mbali ya vitu hivyo...
10 years ago
VijimamboSITTI MTEMVU ATOWA MSAADA KWA ALIBINIZIM KATIKA KITUO CHA (UNDER THE SAME SUN)
10 years ago
Bongo509 Dec
New Video: Victoria Kimani — Show
Muimbaji wa Chocolate City,Mkenya Victoria Kimani naye amedondosha video ya wimbo wake ‘Show’. Kwenye video hiyo rapper wa Afrika Kusini, AKA naye anaonekana. Icheki.
10 years ago
Bongo518 Nov
New Music: Victoria Kimani — Show
Chocolate City’s raving East African songstress Victoria Kimani releases her newest single Show produced by prolific Made Men Music group producer Tekno Miles.
10 years ago
TheCitizen08 May
Sitti Mtemvu: Here comes a new dawn
Events shape human history. That is a fact! These events bring out a stronger side of a human trait, or as they say, what doesn’t kill you makes you stronger.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania