Genevieve Nnaji kuja na ‘Road to Yesterday’ baada ya kuwa kimya kwa miaka miwili
Baada ya kuwa kimya kwa kipindi cha miaka miwili, muigizaji wa Nigeria, Genevieve Nnaji anatarajia kurudi tena kwenye filamu. Staa huyo wa Nollywood anatarajia kuja na filamu ya kwanza aliyoitayarisha mwenyewe, ‘Road to Yesterday.’ Nnaji alisema huu ni muda muafaka kwa yeye kurejea tena lakini akihusika zaidi pia kwenye utayarishaji. Amesema filamu hiyo aliyoshirikiana kuiandaa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo529 Sep
Video: Trailer ya filamu mpya ya mwigizaji wa Nigeria Genevieve Nnaji — ‘Road to Yesterday’
9 years ago
Bongo507 Oct
Road to Yesterday: Teaser ya pili ya filamu mpya ya mwigizaji wa Naija Genevieve Nnaji (video)
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Baba wa mwigizaji Genevieve Nnaji afikisha miaka 80
Mwigizaji Genevieve Nnaji akiwa na baba’ke.
MWIGIZAJI wa kike wa Nigeria, Genevieve Nnaji, jana alijirusha kwa furaha katika sherehe ya baba yake kutimiza miaka 80 siku ya Desemba 15, 2015.
Genevieve aliandika katika ukurasa wake wa mtandao wa Instragram leo asubuhi akimshukuru Mungu kwa kumlinda baba yake hadi leo ambapo alipiga naye picha na baba yake.
Baba yake Genevieve ambaye ni moto wa nne miongoni mwa watoto wanane wa familia yake, alikuwa mhandisi kabla ya kustaafu.
9 years ago
Bongo527 Oct
Mwigizaji wa Nigeria Genevieve Nnaji adai suala la kuwa single hadi sasa halimsumbui
11 years ago
Bongo505 Jul
Genevieve Nnaji ashambuliwa kwa kuziponda filamu za Nigeria
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hnZ2zBlGGNXUWAkCMd9VZll0Ob6KtDGmCHCHpZlAHNiZx9FcBdmn96T-EVjHRlPm57iijUdmyqTYMqzxn5L4gfiDKZgtCEsL/GenevieveNnajiNovember2013BellaNaija022.jpg?width=650)
GENEVIEVE NNAJI AZUNGUMZIA ISHU YA KUOLEWA
9 years ago
Bongo524 Oct
Mwigizaji wa Nigeria Genevieve Nnaji (36) azungumzia sababu za kwanini bado hajaolewa
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/rita-dominic-ramsey-nouah-mauritius-1.jpg)
GENEVIEVE NNAJI, RAMSEY NOUAH, DESMOND ELLIOTT NA RITA DOMINIC WAINADI DSTV
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PzEhqrM1e90/VY45DZw7pgI/AAAAAAAHkVk/lRcblWTBENw/s72-c/p1.jpg)
RAIS KIKWETE KATIKA HAFLA YA MIAKA MIWILI YA KUTAWAZWA KWA POPE FRANCIS KUWA KULIONGOZI WA KANISA KATOLIKI DUNIANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-PzEhqrM1e90/VY45DZw7pgI/AAAAAAAHkVk/lRcblWTBENw/s640/p1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YKzvuja5fEI/VY45bBK95EI/AAAAAAAHkW8/3r4efwviE90/s640/p2.jpg)