Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GENEVIEVE NNAJI, RAMSEY NOUAH, DESMOND ELLIOTT NA RITA DOMINIC WAINADI DSTV

Waigizaji maarufu wa filamu nchini Nigeria, Ramsey Nouah (kushoto) Rita Dominic na Desmond Elliott wakiwa nchini Mauritius. Nguli hao wakiwa katika pozi. Rita na Desmond.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Van Vicker, Genevieve, Rita Dominic waomboleza kifo cha muigizaji wa Nollywood, Muna Obiekwe

Waigizaji wa Nollywood na mastaa wengine wa Nigeria wametumia mitandao ya kijamii kuelezea kuhuzunishwa kwao na kifo cha ghafla cha muigizaji maarufu wa Nigeria, Muna Obiekwe. Marehemu Muna Obiekwe Staa huyo alifariki Jumapili, January 18, 2015 kutokana na kushindwa kufanya kazi kwa figo zake. Miongoni mwa waliotuma salamu zao za rambi rambi ni pamoja na […]

 

9 years ago

Mtanzania

Ramsey Nouah kutua Kenya

RAMSEY NUOHNAIROBI, KENYA

MKALI wa filamu nchini Nigeria, Ramsey Nouah, anatarajia kuwasili nchini Kenya kwa ajili ya tamasha la utengenezaji wa filamu bora.

Msanii huyo aliyefanya vizuri kuitangaza tasnia ya filamu ndani na nje ya nchi yao na pia kujijengea upendo mkubwa kwa mashabiki wake hasa wa kike, anatarajiwa kutua nchini humo Desemba 18.

Ramsey Nouah amewataka wapenzi wa filamu nchini humo wajitokeze kwa wingi ili kupata elimu ya filamu itakayoambatana na mashindano ya mitindo...

 

10 years ago

Mtanzania

Marafiki hawatambui ndoa ya Ramsey Nouah

DSC_3290NA BADI MCHOMOLO
NDOA ya msanii maarufu wa filamu nchini Nigeria, Ramsey Nouah, haitambuliki kwa jamii japokuwa ana mke na watoto wawili.
Watu wengi nchini humo wanaamini kuwa msanii huyo ana mke ambaye anajulikana kwa jina la Emelia Philips, mama wa watoto wawili, lakini rafiki wa karibu na msanii huyo amesema kwamba wawili hao bado hawajafunga ndoa.
“Wangekuwa wamefunga ndoa lazima wangekuwa na cheti, lakini hadi leo hawana cheti ina maana hawa bado wanaishi kwa miaka yote bila ya...

 

10 years ago

GPL

GENEVIEVE NNAJI AZUNGUMZIA ISHU YA KUOLEWA

Queen wa Filamu za Kinigeria, Genevieve Nnaji. Lagos, Nigeria
QUEEN wa Filamu za Kinigeria, Genevieve Nnaji, hivi karibuni amefunguka kuwa hana mpango wa kuolewa, maana bado hajampata mwanamme wa kuanza naye maisha ya ndoa. Genevieve, 36, aliyazungumza hayo mwishoni mwa wiki iliyopita alipokuwa akifanya mahojiano na mtandao mmoja wa kiburudani wa Nollywood, hasa pale alipoulizwa kama alikuwa na mpango wa kuolewa hivi karibuni....

 

10 years ago

GPL

RAMSEY NOUAH ALIA NA ‘MEDIA’

Staa anayekimbiza katika lamu Nollywood, Ramsey Nouah. Lagos, Nigeria
STAA anayekimbiza katika lamu Nollywood, Ramsey Nouah amevililia vyombo vya habari ‘media’ kuwa vinamharibia ndoa yake. Akichonga na Jarida la Vanguard, Ramsey anayebamba na lamu ya 30 Days in Atlanta alisema amekuwa ngao katika familia yake katika kuikinga dhidi ya media. “Media zinaharibu sana ndoa. Lakini asante wameshindwa na ndoa...

 

9 years ago

Global Publishers

Baba wa mwigizaji Genevieve Nnaji afikisha miaka 80

image

Mwigizaji Genevieve Nnaji akiwa na baba’ke.

MWIGIZAJI wa kike wa Nigeria, Genevieve Nnaji, jana alijirusha kwa furaha katika sherehe ya baba yake kutimiza miaka 80 siku ya Desemba 15, 2015.

Genevieve aliandika katika ukurasa wake wa mtandao wa Instragram leo asubuhi akimshukuru Mungu kwa kumlinda baba yake hadi leo ambapo alipiga naye picha na baba yake.

Baba yake Genevieve ambaye ni moto wa nne miongoni mwa watoto wanane wa familia yake, alikuwa mhandisi kabla ya kustaafu.

 

11 years ago

Bongo5

Genevieve Nnaji ashambuliwa kwa kuziponda filamu za Nigeria

Muigizaji wa filamu wa Nigeria, Genevieve Nnaji amelazimika kujitetea baada ya kunukuliwa kwenye mahojiano akiziponda filamu za Nigeria. Kwenye mahojiano hayo, Genevieve ambaye ni miongoni mwa waigizaji wenye fedha zaidi nchini humo alidai kuwa haonekani kwenye filamu mpya kwakuwa hajapata script inayomfaa na kwamba tasnia ya filamu nchini humo haikui. “Ninaziunga mkono filamu ambazo zinazonesha […]

 

10 years ago

Bongo5

Mwigizaji wa Nigeria Genevieve Nnaji (36) azungumzia sababu za kwanini bado hajaolewa

Mwigizaji superstar wa Nigeria, Genevieve Nnaji amezungumzia kuhusu maisha yake ya mapenzi na mipango ya ndoa. Genevieve ni msichana mrembo na aliyefanikiwa kimaisha kupitia filamu pamoja na biashara zake nyingine ikiwemo mitindo, lakini katika umri wa miaka 36 alionao sasa bado hajabahatika kuolewa. Staa huyo ambaye kwa sasa anapromote filamu yake mpya ‘Road To Yesterday’ […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Trailer ya filamu mpya ya mwigizaji wa Nigeria Genevieve Nnaji — ‘Road to Yesterday’

Mwigizaji maarufu wa Nigeria, Genevieve Nnaji amecheza kwenye filamu mpya iitwayo ‘Road to Yesterday’, ikiwa ndio filamu yake ya kwanza ndani ya miaka miwili iliyopita. Kwenye filamu hiyo aliyocheza na muigizaji mpya Muingereza mwenye asili ya Nigeria aitwaye Oris Erhuerho, Genevieve ameigiza kama ‘Victoria Izu’ ambaye ni mke pamoja na mama. ‘Road to Yesterday’ ni […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani