Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ramsey Nouah kutua Kenya

RAMSEY NUOHNAIROBI, KENYA

MKALI wa filamu nchini Nigeria, Ramsey Nouah, anatarajia kuwasili nchini Kenya kwa ajili ya tamasha la utengenezaji wa filamu bora.

Msanii huyo aliyefanya vizuri kuitangaza tasnia ya filamu ndani na nje ya nchi yao na pia kujijengea upendo mkubwa kwa mashabiki wake hasa wa kike, anatarajiwa kutua nchini humo Desemba 18.

Ramsey Nouah amewataka wapenzi wa filamu nchini humo wajitokeze kwa wingi ili kupata elimu ya filamu itakayoambatana na mashindano ya mitindo...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Marafiki hawatambui ndoa ya Ramsey Nouah

DSC_3290NA BADI MCHOMOLO
NDOA ya msanii maarufu wa filamu nchini Nigeria, Ramsey Nouah, haitambuliki kwa jamii japokuwa ana mke na watoto wawili.
Watu wengi nchini humo wanaamini kuwa msanii huyo ana mke ambaye anajulikana kwa jina la Emelia Philips, mama wa watoto wawili, lakini rafiki wa karibu na msanii huyo amesema kwamba wawili hao bado hawajafunga ndoa.
“Wangekuwa wamefunga ndoa lazima wangekuwa na cheti, lakini hadi leo hawana cheti ina maana hawa bado wanaishi kwa miaka yote bila ya...

 

10 years ago

GPL

RAMSEY NOUAH ALIA NA ‘MEDIA’

Staa anayekimbiza katika lamu Nollywood, Ramsey Nouah. Lagos, Nigeria
STAA anayekimbiza katika lamu Nollywood, Ramsey Nouah amevililia vyombo vya habari ‘media’ kuwa vinamharibia ndoa yake. Akichonga na Jarida la Vanguard, Ramsey anayebamba na lamu ya 30 Days in Atlanta alisema amekuwa ngao katika familia yake katika kuikinga dhidi ya media. “Media zinaharibu sana ndoa. Lakini asante wameshindwa na ndoa...

 

9 years ago

GPL

GENEVIEVE NNAJI, RAMSEY NOUAH, DESMOND ELLIOTT NA RITA DOMINIC WAINADI DSTV

Waigizaji maarufu wa filamu nchini Nigeria, Ramsey Nouah (kushoto) Rita Dominic na Desmond Elliott wakiwa nchini Mauritius. Nguli hao wakiwa katika pozi. Rita na Desmond.…

 

10 years ago

Mtanzania

Ne-Yo kutua Kenya

ne-yoNAIROBI, Kenya

NYOTA wa mziki wa RnB nchini Marekani, Shaffer Smith ‘Ne-Yo’ anatarajia kuwasili nchini Kenya Agosti 19, mwaka huu, kwa ajili ya tamasha la Coke Studio Africa, lakini mpaka sasa bado haijajulikana kwamba litafanyika kwenye ukumbi gani.

Mwezi uliopita msanii huyo alikuwa nchini Afrika Kusini katika tamasha la tuzo za MTV MAMA, hivyo hii itakuwa ni mara ya pili kwa msanii huyo kutua Afrika.

“Nitakuwepo nchini Kenya muda mfupi ujayo, mashabiki wakae tayari kuwa pamoja Agosti 19...

 

9 years ago

Mwananchi

Papa kutua Kenya Kesho

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Francis amesema kwamba kesho akiwa Kenya atatoa ujumbe wa amani.

 

11 years ago

GPL

AKON KUTUA KENYA MWEZI UJAO

Rais Kenyatta akiwa na Akon nchini Marekani. MWANAMUZIKI wa RnB kutoka Marekani, Akon anatarajiwa kutua nchini Kenya mwezi ujao baada ya kukutana na Rais Uhuru Kenyatta hivi karibuni huko Marekani. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Akon ameandika kuwa atawasili nchini Kenya mwezi Septemba mwaka huu kujadiliana na Rais Uhuru Kenyatta na kuona jinsi wanavyoweza kulinufaisha Taifa la Kenya. Staa huyo ameonekana kuvutiwa na rekodi...

 

9 years ago

Mtanzania

Papa Francis kutua Kenya leo

PopeFrancis-8NAIROBI, Kenya

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, anatarajiwa kuwasili Kenya leo jioni kwa ziara ya siku tatu.

Wakati huohuo,  Serikali ya Kenya imetangaza kesho kuwa mapumziko maalumu kwa ibada itakayoongozwa na kiongozi huyo.

Papa anatarajiwa kugusa ardhi ya Kenya saa 11 jioni  ndege yake itakapotua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairoibi.

Atakuwa Kenya kwa ziara ya siku tatu kabla ya kwenda Uganda keshokutwa  na baadaye  Jamhuri ya Afrika ya Kati...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tishio la 'Bomu' lalazimu ndege ya Ufaransa kutua Kenya

Ndege ya Air France iliyokuwa ikielekea Paris imelazimika kutua kwa ghafla katika uwanja wa ndege wa Mombasa baada ya 'bomu' kupatikana ikiwa angani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani