Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ne-Yo kutua Kenya

ne-yoNAIROBI, Kenya

NYOTA wa mziki wa RnB nchini Marekani, Shaffer Smith ‘Ne-Yo’ anatarajia kuwasili nchini Kenya Agosti 19, mwaka huu, kwa ajili ya tamasha la Coke Studio Africa, lakini mpaka sasa bado haijajulikana kwamba litafanyika kwenye ukumbi gani.

Mwezi uliopita msanii huyo alikuwa nchini Afrika Kusini katika tamasha la tuzo za MTV MAMA, hivyo hii itakuwa ni mara ya pili kwa msanii huyo kutua Afrika.

“Nitakuwepo nchini Kenya muda mfupi ujayo, mashabiki wakae tayari kuwa pamoja Agosti 19...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Ramsey Nouah kutua Kenya

RAMSEY NUOHNAIROBI, KENYA

MKALI wa filamu nchini Nigeria, Ramsey Nouah, anatarajia kuwasili nchini Kenya kwa ajili ya tamasha la utengenezaji wa filamu bora.

Msanii huyo aliyefanya vizuri kuitangaza tasnia ya filamu ndani na nje ya nchi yao na pia kujijengea upendo mkubwa kwa mashabiki wake hasa wa kike, anatarajiwa kutua nchini humo Desemba 18.

Ramsey Nouah amewataka wapenzi wa filamu nchini humo wajitokeze kwa wingi ili kupata elimu ya filamu itakayoambatana na mashindano ya mitindo...

 

9 years ago

Mwananchi

Papa kutua Kenya Kesho

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Francis amesema kwamba kesho akiwa Kenya atatoa ujumbe wa amani.

 

9 years ago

Mtanzania

Papa Francis kutua Kenya leo

PopeFrancis-8NAIROBI, Kenya

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, anatarajiwa kuwasili Kenya leo jioni kwa ziara ya siku tatu.

Wakati huohuo,  Serikali ya Kenya imetangaza kesho kuwa mapumziko maalumu kwa ibada itakayoongozwa na kiongozi huyo.

Papa anatarajiwa kugusa ardhi ya Kenya saa 11 jioni  ndege yake itakapotua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairoibi.

Atakuwa Kenya kwa ziara ya siku tatu kabla ya kwenda Uganda keshokutwa  na baadaye  Jamhuri ya Afrika ya Kati...

 

11 years ago

GPL

AKON KUTUA KENYA MWEZI UJAO

Rais Kenyatta akiwa na Akon nchini Marekani. MWANAMUZIKI wa RnB kutoka Marekani, Akon anatarajiwa kutua nchini Kenya mwezi ujao baada ya kukutana na Rais Uhuru Kenyatta hivi karibuni huko Marekani. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Akon ameandika kuwa atawasili nchini Kenya mwezi Septemba mwaka huu kujadiliana na Rais Uhuru Kenyatta na kuona jinsi wanavyoweza kulinufaisha Taifa la Kenya. Staa huyo ameonekana kuvutiwa na rekodi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tishio la 'Bomu' lalazimu ndege ya Ufaransa kutua Kenya

Ndege ya Air France iliyokuwa ikielekea Paris imelazimika kutua kwa ghafla katika uwanja wa ndege wa Mombasa baada ya 'bomu' kupatikana ikiwa angani

 

9 years ago

MillardAyo

Hofu ya bomu ilivyolazimisha ndege ya Ufaransa kutua Kenya kwa dharura…

Matukio ya ajali za ndege yalichukua headlines katika vyombo mbalimbali vya habari duniani. Kuna hii nyingine inayohusisha ndege ya abiria aina ya Air France Boeing 777 AF463, iliyokuwa ikifanya safari zake kati ya Mauritius na Paris ambapo  imelazimika kutua kwa ghafla katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta baada ya kuwepo hofu ya bomu. […]

The post Hofu ya bomu ilivyolazimisha ndege ya Ufaransa kutua Kenya kwa dharura… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maximo kutua leo

KOCHA mpya wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, anatarajiwa kutua jijini Dar es Salaam leo, akiwa na msaidizi wake Leonardo Neiva kwa ajili ya kuanza kibarua katika klabu hiyo. Maximo, kocha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lipumba kutua Mtwara

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Taifa, Profesa Ibrahimu Lipumba, anatarajiwa kuwasili Mtwara mjini kesho akitokea Mtwara Vijijini alikofanya ziara ya kikazi. Lipumba yuko katika ziara ya kikazi ya kuzunguka mkoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani