Marafiki hawatambui ndoa ya Ramsey Nouah
NA BADI MCHOMOLO
NDOA ya msanii maarufu wa filamu nchini Nigeria, Ramsey Nouah, haitambuliki kwa jamii japokuwa ana mke na watoto wawili.
Watu wengi nchini humo wanaamini kuwa msanii huyo ana mke ambaye anajulikana kwa jina la Emelia Philips, mama wa watoto wawili, lakini rafiki wa karibu na msanii huyo amesema kwamba wawili hao bado hawajafunga ndoa.
“Wangekuwa wamefunga ndoa lazima wangekuwa na cheti, lakini hadi leo hawana cheti ina maana hawa bado wanaishi kwa miaka yote bila ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Ramsey Nouah kutua Kenya
NAIROBI, KENYA
MKALI wa filamu nchini Nigeria, Ramsey Nouah, anatarajia kuwasili nchini Kenya kwa ajili ya tamasha la utengenezaji wa filamu bora.
Msanii huyo aliyefanya vizuri kuitangaza tasnia ya filamu ndani na nje ya nchi yao na pia kujijengea upendo mkubwa kwa mashabiki wake hasa wa kike, anatarajiwa kutua nchini humo Desemba 18.
Ramsey Nouah amewataka wapenzi wa filamu nchini humo wajitokeze kwa wingi ili kupata elimu ya filamu itakayoambatana na mashindano ya mitindo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NagjAJLGHH0ANDu0SKlw6-xQH9ehv3laMMKVBqcSbR1avqZHbuyQyw83haZ1xP9Kj4zvIXe*D5ynKA8zSM8iA*1K/RamseyNouah4.jpg?width=650)
RAMSEY NOUAH ALIA NA ‘MEDIA’
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/rita-dominic-ramsey-nouah-mauritius-1.jpg)
GENEVIEVE NNAJI, RAMSEY NOUAH, DESMOND ELLIOTT NA RITA DOMINIC WAINADI DSTV
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Marafiki wasishike ndoa yako, utajuta!
HABARI zenu wapenzi wasomaji wa kona hii, kama mnaendelea vema nashukuru kwa hilo, leo kungwi nimekuja kuwaasa akina mama wenye ndoa ambao mnajisahau kwa kudanganywa na marafiki.
Kumbuka marafiki wengine huwa hawapendi mema ya rafiki zao, shtuka mapema bibi ukiona mwenendo siyo achana na marafiki wabaya.Ndoa ni daraja, kama zima unatakiwa kulivuka, kama bovu pia unatakiwa kulivuka, kama ni bovu lifanyie ukarabati kwa sababu unatakiwa kuvuka.
Kwenye ndoa kuna misukosuko mingi ndiyo maana...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/RAMSEYNOAHINTERVIEW-1024x1024.jpg)
RANSEY NOUAH AKATAA KUJIUNGA NA SIASA
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Ramsey kuivaa Southampton.
10 years ago
BBCSwahili20 Aug
Ramsey atolewa kwa kadi ya njano
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Ubaguzi wa rangi wamtisha Chris Ramsey
10 years ago
BBCSwahili19 May
Ramsey sasa ndio mkufunzi mkuu wa QPR