Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ramsey kuivaa Southampton.

MENEJA wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amebainisha kuwa nahodha wake Mikael Arteta atachelewa kidogo kupona majeruhi .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Ramsey Nouah kutua Kenya

RAMSEY NUOHNAIROBI, KENYA

MKALI wa filamu nchini Nigeria, Ramsey Nouah, anatarajia kuwasili nchini Kenya kwa ajili ya tamasha la utengenezaji wa filamu bora.

Msanii huyo aliyefanya vizuri kuitangaza tasnia ya filamu ndani na nje ya nchi yao na pia kujijengea upendo mkubwa kwa mashabiki wake hasa wa kike, anatarajiwa kutua nchini humo Desemba 18.

Ramsey Nouah amewataka wapenzi wa filamu nchini humo wajitokeze kwa wingi ili kupata elimu ya filamu itakayoambatana na mashindano ya mitindo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi wamtisha Chris Ramsey

Meneja wa timu ya QPR Chris Ramsey amesema asili yake ya rangi nyeusi itampa wakati mgumu kupata kazi

 

10 years ago

Mtanzania

Marafiki hawatambui ndoa ya Ramsey Nouah

DSC_3290NA BADI MCHOMOLO
NDOA ya msanii maarufu wa filamu nchini Nigeria, Ramsey Nouah, haitambuliki kwa jamii japokuwa ana mke na watoto wawili.
Watu wengi nchini humo wanaamini kuwa msanii huyo ana mke ambaye anajulikana kwa jina la Emelia Philips, mama wa watoto wawili, lakini rafiki wa karibu na msanii huyo amesema kwamba wawili hao bado hawajafunga ndoa.
“Wangekuwa wamefunga ndoa lazima wangekuwa na cheti, lakini hadi leo hawana cheti ina maana hawa bado wanaishi kwa miaka yote bila ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ramsey atolewa kwa kadi ya njano

Mchezaji Ramsey jana amejikuta matatani baada ya kutolewa nje ya uwanja kutokana na kupewa kadi ya pili ya njano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ramsey sasa ndio mkufunzi mkuu wa QPR

Kilabu ya QPR imemuajiri Chris Ramsey kama mkufunzi mkuu kwa kandarasi ya miaka mitatu.

 

10 years ago

GPL

RAMSEY NOUAH ALIA NA ‘MEDIA’

Staa anayekimbiza katika lamu Nollywood, Ramsey Nouah. Lagos, Nigeria
STAA anayekimbiza katika lamu Nollywood, Ramsey Nouah amevililia vyombo vya habari ‘media’ kuwa vinamharibia ndoa yake. Akichonga na Jarida la Vanguard, Ramsey anayebamba na lamu ya 30 Days in Atlanta alisema amekuwa ngao katika familia yake katika kuikinga dhidi ya media. “Media zinaharibu sana ndoa. Lakini asante wameshindwa na ndoa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Liverpool 2-1 Southampton

Mashabiki wa Liverpool watarajia kuendelea kwa msururu wa matokeo mema hata bila ya Suarez

 

11 years ago

BBC

Southampton 8-0 Sunderland

Victor Wanyama and Sadio Mane both score as Southampton thump Sunderland 8-0 to record their best ever victory in the Premier League.

 

10 years ago

BBC

Southampton 1-1 Chelsea

A goal from Senegal's Sadio Mane helps Southampton draw 1-1 with Premier League leaders Chelsea at St Mary's Stadium.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani