Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ramsey atolewa kwa kadi ya njano

Mchezaji Ramsey jana amejikuta matatani baada ya kutolewa nje ya uwanja kutokana na kupewa kadi ya pili ya njano.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva

>Brazil imekata rufaa juu ya adhabu ya kukosa mchezo mmoja kwa nahodha wake, Thiago Silva mwenye kadi mbili za njano, ambazo zinamaanisha atalazimika kukosa mchezo wa leo dhidi ya Ujerumani.

 

10 years ago

Mwananchi

Kuwa wa kisasa kwa kutoka na rangi ya njano

Kawaida katika fasheni kama ilivyo fani nyingine, mitindo huenda na kurudi. Hivyo si jambo la ajabu kwa sasa kukuta mitindo iliyofanya vizuri kwenye miaka ya themanini inaonekana kuwa juu kwa sasa.

 

10 years ago

GPL

ASKOFU GWAJIMA ATOLEWA POLISI KWA DHAMANA

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akiwa kwenye baiskeli ya wagonjwa Hospitali ya TMJ Dar es Salam jana mchana akielekea  Kituo cha Polisi cha Oyterbay kupewa dhamana. Gwajima akiingia kwenye gari huku akiwa na maumivu makali wakati akielekea kituoni hapo kupewa dhamana. Wanahabari wakitoka kituo cha polisi Oysterbay kufuatilia … ...

 

11 years ago

Michuzi

BARAZA LA MADIWANI LA MJI KOROGWE LAUPOKEA KWA MIKONO MIWILI MPANGO TIBA KWA KADI (TIKA)

Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, ambaye alimwakilisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Bw. Lewis Kalinjuna akiongoza kikao cha Baraza la Madiwani katika kupitisha sheria ndogo ya Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwenda katika Mfumo wa Afya ya Jamii Mijini wa Tiba kwa Kadi (TIKA). Kikao hicho cha mwisho kimefanyika Machi 29, 2014 katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Pembeni ni Mwenyekiti wa Hamashauri ya Mji Korogwe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kilole,...

 

10 years ago

Mwananchi

Sasa umiss kwa kadi ya kliniki

Katika hali ya kuchukua ahadhari zaidi, waandaaji wa mashindano ya kumsaka Miss Universe Tanzania 2014, wameamua kutumia kadi za kliniki za watoto kujiridhisha katika suala la kupata umri halisi wa warembo wao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kumuona mgonjwa Amana kwa kadi

KATIBU wa Afya wa Hospitali ya Amana, Zamzam Ndossy amesema kwa kwa sasa wameanzisha utaratibu wa kuona wagonjwa katika hospitali hiyo kwa kutumia karatasi yenye namba. Akizungumza na Tanzania Daima...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Marais kuingia kwa kadi mazishi ya Mandela

p>TISHIO la vitendo vya kigaidi vinavyotokea kwenye maeneo mbalimbali hapa duniani, vimeifanya Serikali ya Afrika Kusini, kutoa kadi kwa marais na viongozi watakaohudhuria mazishi ya baba wa taifa hilo, Nelson...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ronaldo apewa kadi nyekundu kwa kupigana

Mchezaji nyota wa Real Madrid alipewa kadi nyekundi katika mechi dhidi Cordoba baada ya kumpiga mchezaji Edimar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani