Marais kuingia kwa kadi mazishi ya Mandela
p>TISHIO la vitendo vya kigaidi vinavyotokea kwenye maeneo mbalimbali hapa duniani, vimeifanya Serikali ya Afrika Kusini, kutoa kadi kwa marais na viongozi watakaohudhuria mazishi ya baba wa taifa hilo, Nelson...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Jina la JK laongoza marais 100 watakaomzika Mandela
Serikali ya Afrika Kusini, imetoa orodha ya majina ya wakuu wa nchi na Serikali 91 ambao wamethibitisha kushiriki katika shughuli zinazohusiana na safari ya mwisho ya Rais wa kwanza mzalendo wa taifa hilo, Nelson Mandela.
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mazishi ya Mandela
Mazishi ya Hayati Mandela yanaendelea kumuaga mtu aliyefahamika kama shujaa na mpigania uhuru
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mazishi ya Mandela Qunu
Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, amezikwa nyumbani kwao katika kijiji cha Qunu, katika mkoa wa Cape Mashariki.
11 years ago
Mwananchi17 Dec
JK ametuwakilisha vyema mazishi ya Mandela
Yeyote aliyefuatilia kwa makini hotuba ya Rais Jakaya Kikwete katika mazishi ya aliyekuwa Rais wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini siku mbili zilizopita, atakubali ukweli kwamba hotuba hiyo ilikuwa ya pekee na iliteka hisia za mamilioni ya watu katika nchi nyingi duniani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcr4HNrkKJFVJiKG3vxoNe9DyjLEoQ-y8sJQB66QV1wiOxu5xAXm2OVRzvKbBJwZ0Bz340nIUzklspn9xlsEtw5u/madiba.jpg?width=650)
MAZISHI YA MANDELA, DUNIA KIMYA
Stori: Oscar Ndauka na Ojuku Abraham
DUNIA ipo kimya wakati maandalizi ya kuupumzisha kaburini mwili wa aliyekuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela yakiendelea katika miji ya Johannesburg, Pretoria na kijijini Qunu, Mkoa wa Mthatha jimboni Eastern Cape atakozikwa kijijini atakakozikwa. UKIMYA WATANDA KWENYE TELEVISHENI
Ukimya uliendelea kutawala juzi na jana katika miji mbalimbali duniani, watu...
11 years ago
BBCSwahili13 May
11 years ago
BBCSwahili19 Dec
Mkalimani wa mazishi ya Mandela alazwa
Mkalimani wa lugha ya ishara katika mazishi ya kitaifa,ya Nelson Mandela,amelazwa katika hospitali ya magonjwa ya akili.
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mazishi ya Mandela: Kauli yako
Haya ni matukio kama yanavyojiri kwenye mazishi ya hayati Nelson Mandela. Na wewe una fursa ya kutoa kauli yako kuhusu matuiko haya
11 years ago
GPL![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/12/15/article-2523695-1A1E091500000578-382_472x674.jpg)
RATIBA MAZISHI YA MANDELA MCHANA HUU.
ATE FUNERAL PROGRAMME FOR THE LATE FORMER PRESIDENT AT HOME Family Valedictory Service - Rev V Nyobole Opening DevotionsÂ
Viewing of the body;Â Â Homily;Â Draping of the casket;Â Placing of the casket on the gun carriage and forming up of procession;Â Procession departs for the marquee MARQUEE SERVICE Funeral Service
National Anthem; Opening devotions: Bishop D Dabula… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania