Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marais kuingia kwa kadi mazishi ya Mandela

p>TISHIO la vitendo vya kigaidi vinavyotokea kwenye maeneo mbalimbali hapa duniani, vimeifanya Serikali ya Afrika Kusini, kutoa kadi kwa marais na viongozi watakaohudhuria mazishi ya baba wa taifa hilo, Nelson...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Jina la JK laongoza marais 100 watakaomzika Mandela

Serikali ya Afrika Kusini, imetoa orodha ya majina ya wakuu wa nchi na Serikali 91 ambao wamethibitisha kushiriki katika shughuli zinazohusiana na safari ya mwisho ya Rais wa kwanza mzalendo wa taifa hilo, Nelson Mandela.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazishi ya Mandela

Mazishi ya Hayati Mandela yanaendelea kumuaga mtu aliyefahamika kama shujaa na mpigania uhuru

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazishi ya Mandela Qunu

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, amezikwa nyumbani kwao katika kijiji cha Qunu, katika mkoa wa Cape Mashariki.

 

11 years ago

Mwananchi

JK ametuwakilisha vyema mazishi ya Mandela

Yeyote aliyefuatilia kwa makini hotuba ya Rais Jakaya Kikwete katika mazishi ya aliyekuwa Rais wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini siku mbili zilizopita, atakubali ukweli kwamba hotuba hiyo ilikuwa ya pekee na iliteka hisia za mamilioni ya watu katika nchi nyingi duniani.

 

11 years ago

GPL

MAZISHI YA MANDELA, DUNIA KIMYA

Stori: Oscar Ndauka na Ojuku Abraham
DUNIA ipo kimya wakati maandalizi ya kuupumzisha kaburini mwili wa aliyekuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela yakiendelea katika miji ya Johannesburg, Pretoria na kijijini Qunu, Mkoa wa Mthatha jimboni Eastern Cape atakozikwa kijijini atakakozikwa. UKIMYA WATANDA KWENYE TELEVISHENI
Ukimya uliendelea kutawala juzi na jana katika miji mbalimbali duniani, watu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkalimani wa mazishi ya Mandela aajiriwa

Mkalimani katika mazishi ya Mandela apata ajira

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkalimani wa mazishi ya Mandela alazwa

Mkalimani wa lugha ya ishara katika mazishi ya kitaifa,ya Nelson Mandela,amelazwa katika hospitali ya magonjwa ya akili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazishi ya Mandela: Kauli yako

Haya ni matukio kama yanavyojiri kwenye mazishi ya hayati Nelson Mandela. Na wewe una fursa ya kutoa kauli yako kuhusu matuiko haya

 

11 years ago

GPL

RATIBA MAZISHI YA MANDELA MCHANA HUU.

ATE FUNERAL PROGRAMME FOR THE LATE FORMER PRESIDENT AT HOME Family Valedictory Service - Rev V Nyobole Opening Devotions 
Viewing of the body;  Homily;  Draping of the casket; Placing of the casket on the gun carriage and forming up of procession; Procession departs for the marquee MARQUEE SERVICE Funeral Service
National Anthem; Opening devotions: Bishop D Dabula… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani