Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jina la JK laongoza marais 100 watakaomzika Mandela

Serikali ya Afrika Kusini, imetoa orodha ya majina ya wakuu wa nchi na Serikali 91 ambao wamethibitisha kushiriki katika shughuli zinazohusiana na safari ya mwisho ya Rais wa kwanza mzalendo wa taifa hilo, Nelson Mandela.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Siri ya jina la Janeth kuwa wake wa marais

Kila mzazi anapokaribia kupata mtoto, moja ya mambo muhimu ambayo hufikiria juu ya jina la kumpatia baada ya kujifungua na mtoto kuishi duniani. Wazazi wengi huchukua muda kufikiria ni jina gani zuri la kumpa mtoto wao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Marais kuingia kwa kadi mazishi ya Mandela

p>TISHIO la vitendo vya kigaidi vinavyotokea kwenye maeneo mbalimbali hapa duniani, vimeifanya Serikali ya Afrika Kusini, kutoa kadi kwa marais na viongozi watakaohudhuria mazishi ya baba wa taifa hilo, Nelson...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI AKABIDHI ZAWADI YA TAUSI 100 KWA MARAIS WASTAAFU

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Hati ya Makabidhiano ya zawadi ya Ndege aina ya Tausi 25 kwa Mama Maria Nyerere mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kwa ajili ya kuwafuga katika Makazi yake, hafla hiyo fupi ilifanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi hati ya Makabidhiano ya ndege aina ya Tausi 25 kwa Rais Mstaafu wa Awamu...

 

9 years ago

Bongo5

Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita

nyerere_karume_and_moyo

Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.

nyerere_karume_and_moyo

Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.

Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba

Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela

 

9 years ago

Michuzi

The BBC hosts debates throughout Africa as part of the 100 Women season More than 100 conversations across the world will discuss what it means to be a “good girl” or an “ideal woman”

On 1st December, BBC 100 Women – a season dedicated to shining a light on women’s lives around the world –will bring together a series of debates from across the globe, to be broadcast live on television on BBC World News, on Radio on the BBC World Service and online on bbc.com.
The BBC will host debates throughout the day at BBC Broadcasting House in London, while more than 100 conversations will happen across the globe in eight languages. In Africa, many groups across the continent will...

 

9 years ago

Dewji Blog

Brand Africa to Announce the Africa’s Top 100 Most Admired and Most Valuable Brands at the 4th Annual Brand Africa 100

brand-africa (1)

-The scope and sample countries have been vastly expanded from a base of 8 countries in the past years to 22 countries covering every leading African economy

Brand Africa (www.brandafrica.org) is to release its highly anticipated 4th Brand Africa 100:  Africa’s Best Brands rankings of the Top 100 Most Admired and Most Valuable brands in Africa at a Gala event at Sandton Convention Center on 22 October 2015. 

The rankings, first launched in 2011 at the second Brand Africa FORUM, have been...

 

10 years ago

Mwananchi

Nakutana na marais

Nilipoanza kazi ya utangazaji pale Radio Tanzania mwaka ule wa 1969, sikuwahi kuwa na ndoto hata mara moja kwamba utafika wakati nitaweza kukutana ana kwa ana na viongozi wakuu wa nchi mbalimbali duniani.

 

10 years ago

GPL

MARAIS 6 WANAWAKE DUNIANI

Baada ya wiki iliyopita kuwaletea wasanii 7 matajiri Afrika. Wiki hii tunawaletea marais 6 wa kwanza wanawake katika nchi zao.  Sheik Hasina Wajed. Sheik Hasina Wajed ANA miaka 67. Kabla ya kuwa rais wa sasa wa Bangladesh kwa uchaguzi wa mwaka 2009, aliwahi kuwa waziri mkuu mwaka 1996 akaondolewa madarakani kutokana na nchi kukithiri rushwa. Mji Mkuu wa Bangladesh ni Dhaka. … ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani