RAIS MAGUFULI AKABIDHI ZAWADI YA TAUSI 100 KWA MARAIS WASTAAFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-MVNrNtOXW60/XtJItbaXfbI/AAAAAAABMRU/RvAjGy9ZIAQOL0veFHGAiPfdfA003R6AwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Hati ya Makabidhiano ya zawadi ya Ndege aina ya Tausi 25 kwa Mama Maria Nyerere mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kwa ajili ya kuwafuga katika Makazi yake, hafla hiyo fupi ilifanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma.
![](https://1.bp.blogspot.com/-7phqMk6MkVw/XtJIsy-GyQI/AAAAAAABMRQ/wRt0lSW9-uMb92N8D9VM-mud48wfCB10QCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZlQQsKP1iv0/XtIvcFaemnI/AAAAAAALsEM/Mz_KiY2_UGMwuj6FuRjTrh9fWmYL0nk8QCLcBGAsYHQ/s72-c/1-33-768x649.jpg)
RAIS MAGUFULI AWAKABIDHI MARAIS WASTAAFU TAUSI 25 KILA MMOJA NA MAMA MARIA NYERERE KWA KUTAMBUA MCHANGO WAO KATIKA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZlQQsKP1iv0/XtIvcFaemnI/AAAAAAALsEM/Mz_KiY2_UGMwuj6FuRjTrh9fWmYL0nk8QCLcBGAsYHQ/s640/1-33-768x649.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1.-4-962x1024.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Hati ya Makabidhiano ya zawadi ya Ndege aina ya Tausi 25 kwa Mama Maria Nyerere mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kwa ajili ya kuwafuga katika Makazi yake, hafla hiyo fupi ilifanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-24-1024x858.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wnn-u-wJiZM/VlA71SQdCiI/AAAAAAAIHh8/A0k8Okc097w/s72-c/tt.jpg)
ONLY IN TANZANIA: RAIS MAGUFULI AKIWA NA MARAIS WASTAAFU BUNGENI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wnn-u-wJiZM/VlA71SQdCiI/AAAAAAAIHh8/A0k8Okc097w/s640/tt.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZGolYkB5el4/XtJhetCbimI/AAAAAAALsFg/ykspJkq2fKMBfGTZz6S3JSfT7cY4ar4IgCLcBGAsYHQ/s72-c/8-3-2048x2001.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI PAMOJA NA MARAIS WASTAAFU WAWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA OFISI ZA IKULU YA CHAMWINO MKOANI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZGolYkB5el4/XtJhetCbimI/AAAAAAALsFg/ykspJkq2fKMBfGTZz6S3JSfT7cY4ar4IgCLcBGAsYHQ/s640/8-3-2048x2001.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/7-5-scaled.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ameshika Chepe ili kuweka zege na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benja min Mkapa kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi Ujenzi Ofisi za Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma leo tarehe 30 Mei 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/5-9-scaled.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ZGolYkB5el4/XtJhetCbimI/AAAAAAALsFg/ykspJkq2fKMBfGTZz6S3JSfT7cY4ar4IgCLcBGAsYHQ/s72-c/8-3-2048x2001.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI PAMOJA NA MARAIS WASTAAFU WAWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA OFISI ZA IKULU YA CHAMWINO MKOANI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZGolYkB5el4/XtJhetCbimI/AAAAAAALsFg/ykspJkq2fKMBfGTZz6S3JSfT7cY4ar4IgCLcBGAsYHQ/s400/8-3-2048x2001.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/7-5-scaled.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ameshika Chepe ili kuweka zege na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benja min Mkapa kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi Ujenzi Ofisi za Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma leo tarehe 30 Mei 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/5-9-scaled.jpg)
10 years ago
Dewji Blog31 Jul
Rais Yoweri Museveni afungua mkutano wa marais wastaafu katika hoteli ya Serena jijini Dar
Mh. Rais Yoweri Museveni wa Uganda akifungua rasmi mkutano wa Marais wastaafu wa Afrka AFRICA LEADERSHIP FORUM unaofanyika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam Mkutano huo unaojumuisha marais wastaafu Benjamin Mkapa wa Tanzania , Olusegun Obasanjo wa Nigeria, Hifikepunye Lucas Pohamba wa Namibia, Festus Mogaye wa Botswana, Bakili Muluzi wa Malawi na Jerry Rowlings wa Ghana unajadili masuala mbalimbali ya maendeleo katika bara la Afrika na Changamoto zinazokabili barahilo na...
10 years ago
Michuzi31 Jul
RAIS YOWERI MUSEVEN AFUNGUA MKUTANO WA MARAIS WASTAAFU KATIKA HOTELI YA SERENA JIJINI DAR
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/0110.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-sriCxrZ0A/UxOTXHtPYLI/AAAAAAAFQkk/1Irt0inKXiI/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM AKABIDHI PIKIPIKI 9 NA BAISKELI 86 KWA KATA NA MATAWI YA CCM WILAYA YA KIBAHA VIJIJINI,PIA AKABIDHI KADI KWA WANACHAMA WAPYA ZAIDI YA 100
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-sriCxrZ0A/UxOTXHtPYLI/AAAAAAAFQkk/1Irt0inKXiI/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LJzf6SHcIf8/UxOUclREtwI/AAAAAAAFQnY/WoJ0v18VwP8/s1600/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7733_i26TLk/XmD4pxs3RsI/AAAAAAALhOc/Q3lppQgtvGIX4FkuFN-qVkDaY6dAelH3wCLcBGAsYHQ/s72-c/m1AA-768x512.jpg)
MKE WA RAIS MAMA JANETH MAGUFULI AKABIDHI VITI VYA MWENDO (WHEELCHAIRS) KWA WABUNGE KWA AJILI YA WATOTO WENYE ULEMAVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-7733_i26TLk/XmD4pxs3RsI/AAAAAAALhOc/Q3lppQgtvGIX4FkuFN-qVkDaY6dAelH3wCLcBGAsYHQ/s640/m1AA-768x512.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
RAIS MAGUFULI NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU AMBAYO TUMEPEWA WATANZANIA-MBUNGE CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s400/9.jpg)
MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Amina Mollel (CCM) amelieleza Bunge kuwa Rais Dkt.John Magufuli ni zawadi tuliyopewa na Mungu, hivyo kikubwa ni kuendelea kumuombea awe na maisha marefu zaidi.
Mollel amesema hayo wakati wa vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Mjini Dodoma ambapo wabunge walipata nafasi ya kujadili maazimio mawili, Azimio la kwanza ni kumpongeza Rais Magufuli na azimio la pili ni kumpongeza Spika wa Bunge Job Ndugai.
Akieleza zaidi mbele ya...