RAIS MAGUFULI NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU AMBAYO TUMEPEWA WATANZANIA-MBUNGE CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Amina Mollel (CCM) amelieleza Bunge kuwa Rais Dkt.John Magufuli ni zawadi tuliyopewa na Mungu, hivyo kikubwa ni kuendelea kumuombea awe na maisha marefu zaidi.
Mollel amesema hayo wakati wa vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Mjini Dodoma ambapo wabunge walipata nafasi ya kujadili maazimio mawili, Azimio la kwanza ni kumpongeza Rais Magufuli na azimio la pili ni kumpongeza Spika wa Bunge Job Ndugai.
Akieleza zaidi mbele ya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
RAIS MAGUFULI NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU AMBAYO TUMEPEWA WATANZANIA-MBUNGE CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s400/9.jpg)
MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Amina Mollel (CCM) amelieleza Bunge kuwa Rais Dkt.John Magufuli ni zawadi tuliyopewa na Mungu, hivyo kikubwa ni kuendelea kumuombea awe na maisha marefu zaidi.
Mollel amesema hayo wakati wa vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Mjini Dodoma ambapo wabunge walipata nafasi ya kujadili maazimio mawili, Azimio la kwanza ni kumpongeza Rais Magufuli na azimio la pili ni kumpongeza Spika wa Bunge Job Ndugai.
Akieleza zaidi mbele ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rWPPSKB_6Ks/VlDHH2IaRTI/AAAAAAAIHuE/uVbcsmg0vec/s72-c/84eb7daf-a904-49e9-b9ed-42a3df2719d9.jpg)
Magufuli zawadi ya Mungu kwa Watanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-rWPPSKB_6Ks/VlDHH2IaRTI/AAAAAAAIHuE/uVbcsmg0vec/s640/84eb7daf-a904-49e9-b9ed-42a3df2719d9.jpg)
Na mdau Ruger KahwaAwali ya yote napenda kumpongeza Mh. Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tangu alipokuwa waziri wa ujenzi alikuwa anonyesha dhahiri kuwa ana nia ya dhati ya kuwatumikia watanzania, na sio maslahi yake mwenyewe na familia yake. Chama chetu cha CCM kilitambua hilo na kumpendekeza kuwa mgombea urais wa Tanzania. Naamini ndani ya chama kuna watu walikuwa na kiu na shauku ya kuwa marais kwa ajili yao na marafiki zao, lakini Mungu wetu...
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Papa:Internet ni zawadi kutoka kwa Mungu
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-eP63lMmMCc0/XndVoEhLdlI/AAAAAAACJFY/zrhpRBMlYscBgiSxe7YeI7ewx_KQ0YXUACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_150152_109.jpg)
RAIS MAGUFULI: WATANZANIA NA WAGENI WATAKAOINGIA NCHINI KUTOKA NCHI ZILIZOATHIRIWA NA CORONA WOTE KUJITENGA SIKU 14 KWA GHARAMA ZAO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-eP63lMmMCc0/XndVoEhLdlI/AAAAAAACJFY/zrhpRBMlYscBgiSxe7YeI7ewx_KQ0YXUACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200322_150152_109.jpg)
IKULU, Chamwino, Dodoma
Rais Dk. John Magufuli leo ametangaza hatua nyingine ili za kukabiliana na ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Coron
Rais Dk. John Magufuli amesema kuanzia kesho wasafiri wote watakaoingia nchini kutoka katika mataifa yaliyoathirika zaidi na ugonjwa wa Corona, watalazimika kufikia sehemu za kujitenga kwa siku 14 kwa gharama zao wenyewe.
Akihutubia taifa,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JlpWmscoaF8/XpiBLw8ZKZI/AAAAAAALnMo/icG9AYhvtVU-8ATBPXG7-V7ryOwrIHpFQCLcBGAsYHQ/s72-c/3%2B-%2B2019-09-01T163208.843.jpg)
RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AWAOMBA WATANZANIA KUTUMIA SIKU 3 KUMUOMBA MUNGU ATUEPUSHE NA JANGA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JlpWmscoaF8/XpiBLw8ZKZI/AAAAAAALnMo/icG9AYhvtVU-8ATBPXG7-V7ryOwrIHpFQCLcBGAsYHQ/s400/3%2B-%2B2019-09-01T163208.843.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bN9aTz58Xrg/XpiBgZ26vFI/AAAAAAALnMw/E2oaq1Ydo-cYr0ZS7BM3vdOB3t1zcQEXwCLcBGAsYHQ/s400/7d17e153-138c-43e0-8194-9b45a545532f.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JlpWmscoaF8/XpiBLw8ZKZI/AAAAAAALnMo/icG9AYhvtVU-8ATBPXG7-V7ryOwrIHpFQCLcBGAsYHQ/s72-c/3%2B-%2B2019-09-01T163208.843.jpg)
RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AWAOMBA WATANZANIA KUTUMIA SIKU 3 KUMUOMBA MUNGU AWAEPUSHE NA JANGA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JlpWmscoaF8/XpiBLw8ZKZI/AAAAAAALnMo/icG9AYhvtVU-8ATBPXG7-V7ryOwrIHpFQCLcBGAsYHQ/s640/3%2B-%2B2019-09-01T163208.843.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bN9aTz58Xrg/XpiBgZ26vFI/AAAAAAALnMw/E2oaq1Ydo-cYr0ZS7BM3vdOB3t1zcQEXwCLcBGAsYHQ/s1600/7d17e153-138c-43e0-8194-9b45a545532f.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kTugum0Lk4w/VjMoe6HeKGI/AAAAAAAIDdU/PVlkQr8icJs/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
PONGEZI KWA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKA KWA WANACHAMA WA CCM,TAWI LA CCM CHINA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kTugum0Lk4w/VjMoe6HeKGI/AAAAAAAIDdU/PVlkQr8icJs/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MVNrNtOXW60/XtJItbaXfbI/AAAAAAABMRU/RvAjGy9ZIAQOL0veFHGAiPfdfA003R6AwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AKABIDHI ZAWADI YA TAUSI 100 KWA MARAIS WASTAAFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-MVNrNtOXW60/XtJItbaXfbI/AAAAAAABMRU/RvAjGy9ZIAQOL0veFHGAiPfdfA003R6AwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-7phqMk6MkVw/XtJIsy-GyQI/AAAAAAABMRQ/wRt0lSW9-uMb92N8D9VM-mud48wfCB10QCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Mbunge CCM amjibu Magufuli kwa vitendo