Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge CCM amjibu Magufuli kwa vitendo

Aliyekuwa mbunge wa Sikonge (CCM), Said Nkumba jana aliwajibu kwa vitendo viongozi wa chama hicho, wakiongozwa na mgombea urais wake, Dk John Magufuli ambao walimtuhumu kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika hapa kwamba amekihama tena chama hicho na kujiunga na ACT – Wazalendo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DIAMOND AMJIBU KWA VITENDO EX WA ZARI

Diamond akiwa kwenye baiskeli huku Zari akiwa kwenye BMW X6. Baadhi ya post za King Lawrence Instagram akimkejeli Diamond. STAA wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’, ameamua kumjibu kwa vitendo anayedai kuwa aliwahi kuwa mpenzi wa mwandani wake wa sasa, Zarinah Hassani ‘Zari’, King Lawrence ambaye amekuwa akimtupia maneno ya kumtusi na kejeli mitandaoni.… ...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU AMBAYO TUMEPEWA WATANZANIA-MBUNGE CCM


Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Amina Mollel (CCM) amelieleza Bunge kuwa Rais Dkt.John Magufuli ni zawadi tuliyopewa na Mungu, hivyo kikubwa ni kuendelea kumuombea awe na maisha marefu zaidi.
Mollel amesema hayo wakati wa vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Mjini Dodoma ambapo wabunge walipata nafasi ya kujadili maazimio mawili, Azimio la kwanza ni kumpongeza Rais Magufuli na azimio la pili ni kumpongeza Spika wa Bunge Job Ndugai.
Akieleza zaidi mbele ya...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU AMBAYO TUMEPEWA WATANZANIA-MBUNGE CCM

Na Said Mwishehe,Michuzi TV

MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Amina Mollel (CCM) amelieleza Bunge kuwa Rais Dkt.John Magufuli ni zawadi tuliyopewa na Mungu, hivyo kikubwa ni kuendelea kumuombea awe na maisha marefu zaidi.

Mollel amesema hayo wakati wa vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Mjini Dodoma ambapo wabunge walipata nafasi ya kujadili maazimio mawili, Azimio la kwanza ni kumpongeza Rais Magufuli na azimio la pili ni kumpongeza Spika wa Bunge Job Ndugai.

Akieleza zaidi mbele ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mbunge mteule wa jimbo la Singida Magharibi aanza kutekeleza kwa vitendo ahadi zake jimboni!

DSCN5358

Mbunge mteule jimbo la Singida magharibi (CCM),Elibariki Emmanuel Kingu,akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wa vikundi nane vya wajasiriamali wanawake na vijana kata ya Puma juzi.Pomoja na kuvipa vikundi hivyo kila kimoja shilingi laki moja za kufungulia akaunti benki ya NMB,aliwaahidi mara tu watakapofungua akaunti,atawaingizia kila kikundi shilingi milioni moja ili kukuza mitaji yao.( Picha zote na Nathaniel Limu). Na Nathaniel Limu [IKUNGI] Mbunge mteule wa jimbo la Singida magharibi...

 

9 years ago

Dewji Blog

#HapaKaziTu: Mbunge mteule wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye aanza kutekeleza kwa vitendo jimboni

2

Mbunge mteule wa Jimbo la Mtama, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape akisaini mkataba wa kupata vifaa vya huduma za afya mbele ya Mwambata wa Siasa wa Ubalozi wa China nchini Tanzania Mis Song Rui katika ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Watu wa China.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Mbunge Mteule wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye ameanza kazi ya kuwatumikia wakazi wa jimbo hilo baada ya kusaini mkataba maalum na Ubalozi wa China nchini wa kusaidia vifaa vya huduma ya Afya kwa jimbo la...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa Magufuli, vita dhidi ya mafisadi iwe kwa vitendo

WAHENGA walinena; nyota njema huonekana asubuhi.

Maggid Mjengwa

 

5 years ago

Michuzi

DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'


Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Dk Shein: Nimetekeleza Ilani ya uchaguzi ya CCM kwa vitendo

Tuesday, September 15, 2015 STATE HOUSE ZANZIBAR OFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE Pemba 15.9.2015 Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema […]

The post Dk Shein: Nimetekeleza Ilani ya uchaguzi ya CCM kwa vitendo appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Dewji Blog

Bayport yamuunga mkono Dr Magufuli kwa vitendo, yapaka rangi, yafagia shule ya msingi Hekim

John Mbaga

Mkurugenzi Mkuu wa Bayport Financial Services, John Mbaga, akipaka rangi katika ukuta wa shule ya Msingi Hekima, iliyopo Tandale, wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam jana mchana. Picha zote kwa Hisani ya Bayport Financial Services.

DSC_0781

Meneja wa Oparasheni wa Bayport Financial Serviices, Charles Mgeta, akizungumza na waandishi wa habari juu ya taasisi yao kuamua kufanya usafi, kutunza mazingira na kuipaka rangi shule ya msingi Hekima, iliyopo Kata ya Tandale, Wilaya Kinondoni, jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani