DIAMOND AMJIBU KWA VITENDO EX WA ZARI
![](http://api.ning.com:80/files/iOZRi9*a6Ikvq*W4kAtKZO44FIYdv-rDLnGpvv9PCc2LpHqqrl85EtgswyKTeBbHFkkGWWGUf0EPPAdU3WP5udAuOKYKq93U/zarinadiamond.jpg?width=650)
Diamond akiwa kwenye baiskeli huku Zari akiwa kwenye BMW X6. Baadhi ya post za King Lawrence Instagram akimkejeli Diamond. STAA wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’, ameamua kumjibu kwa vitendo anayedai kuwa aliwahi kuwa mpenzi wa mwandani wake wa sasa, Zarinah Hassani ‘Zari’, King Lawrence ambaye amekuwa akimtupia maneno ya kumtusi na kejeli mitandaoni.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Mbunge CCM amjibu Magufuli kwa vitendo
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s72-c/Africanjam2.jpg)
TANZANIA: KUELEKEA ZARI WHITE PARTY, DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s1600/Africanjam2.jpg)
Diamond Platnumz ambae ni miongoni mwa wasanii wa muziki wanaofanya vizuri sana Africa amefunguka kuhusu Ndoa yake na mwanamama Zari, Diamond amesema kwamba atakuwa ndani ya ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.Diamond alifunguka hayo asubuhi ya tar 1 May. 2015 katika kuipigia promo Event ya Zari All All White Party itakayofanyika tar 1 May. Tamasha hilo linatarajiwa kuacha historia ya kipekee kwa kua na kiingilio cha gharama kubwa zaidi kwani ticket za VIP zimeuzwa kwa Millioni tatu na mpaka...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
DIAMOND APEWA OFA YA $40,000 AMWACHE ZARI, NJEMBA LAPOST SCREENSHOT YA ZARI AKILIOMBA MKWANJA!
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/10888399_10205933029869831_1858120712732123108_n.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/1b.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/1a.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTvOpcy9nx*k53zRGxnem5qulA7P0YFfk6rLO8i7YLbrzUIrDOkhMkbyRdww6vmGC-gRbiCk5pNDtypcerruejM-/Zari.jpg)
ZARI ALALA KWA MAMA DIAMOND
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXUhO39BbttfQB8qRmMkoCcZxL6EhaM5*i58l-fHKoBn6wf6jUgxlXQOuS-ooT*u7PQdnFLzmi1Re1ET3EOPnYhF/ddfd.jpg?width=650)
MISS TZ AMCHOKONOA ZARI KWA DIAMOND!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3tIV4vY4JpfqTh2CgKFAKxnhYfMDdCdWkjNNbPD*9L5KLWcv0NkG1ObohNXgqYdtIjkTiTr4BckCSyCx3BL3KxiAYDDu1Qe/tuzo2.jpg?width=650)
MAMA DIAMOND AMFUNIKA ZARI KWA MBIZI
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Wolper akiri kujipendekeza kwa Diamond, Zari
Staa wa filamu Bongo, Jacqueline Walper ‘Wolper’.
Imelda mtema
BAADA ya kupata wakati mgumu wa kushambuliwa na maneno kila akiweka picha mtandaoni ya Diamond ama Zari, staa wa filamu Bongo, Jacqueline Walper ‘Wolper’ ameweka wazi kwa kuwajibu, haoni tatizo kujipendekeza kwa hao watu.
Akichezesha taya na Amani, Wolper alisema kuwa, ilifika kipindi katika ukurasa wake wa Instagram watu wengi walikuwa wakimshambulia kwa maneno na kufikia hadi hatua ya kumtukana.
“Kiukweli mimi ni binadamu,...
10 years ago
Bongo531 Jan
Picha: Zari ndani ya Dar, athibitisha kwa mara ya kwanza kwa kauli yake kuwa mpenzi wa Diamond
10 years ago
Bongo Movies21 Jul
Diamond Amjibu Jokate, Amshangaa Kwakutoa Pongezi
Mkali wa ngoma ya Nana,ambaye amenyakua tuzo ya MTV MAMA kama Mtumbuizaji Bora wa Afrika,Diamond Platnamz amemjibu mwanamitindo Jokate Mwegelo baada kuandika ‘status’ kwenye akaunti ya Instagram yake na kumpongeza msanii huyo kunyakua tuzo na kusema mbona hakumsapoti kwa kumpost kwenye akaunti yake kabla ya kutwaa tuzo hiyo.
Akizungumza na XXL ya Clouds Fm,Diamond alisema kuwa baada ya kuambiwa alichopost Jokate kumjibu Diamond baada ya kupost video ikimuonyesha mwanamitindo huyo akicheza...