Diamond Amjibu Jokate, Amshangaa Kwakutoa Pongezi
Mkali wa ngoma ya Nana,ambaye amenyakua tuzo ya MTV MAMA kama Mtumbuizaji Bora wa Afrika,Diamond Platnamz amemjibu mwanamitindo Jokate Mwegelo baada kuandika ‘status’ kwenye akaunti ya Instagram yake na kumpongeza msanii huyo kunyakua tuzo na kusema mbona hakumsapoti kwa kumpost kwenye akaunti yake kabla ya kutwaa tuzo hiyo.
Akizungumza na XXL ya Clouds Fm,Diamond alisema kuwa baada ya kuambiwa alichopost Jokate kumjibu Diamond baada ya kupost video ikimuonyesha mwanamitindo huyo akicheza...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz
Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...
10 years ago
GPL
DIAMOND AMJIBU KWA VITENDO EX WA ZARI
11 years ago
GPLKWA HILI DIAMOND UNASTAHILI PONGEZI!
10 years ago
GPL
JOKATE AMLIPUA DIAMOND!
10 years ago
GPL
DIAMOND AMUITA JOKATE MAKOMBO
10 years ago
GPL
WEMA, JOKATE WAMZOMEA DIAMOND!
11 years ago
GPL
JOKATE: HAKUNA KAMA DIAMOND
11 years ago
GPL
JOKATE, DIAMOND WAONEANA AIBU!
10 years ago
GPL
JOKATE: DIAMOND HANA AKILI TIMAMU