JOKATE, DIAMOND WAONEANA AIBU!
![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnWED-46XY0Odv9VYah4wZROJkJAoyuBG*TQqluseP-oFPkwNXuCALzeSOld9s0Q5BQtgFcanytM*bsMGCWprTJ9/jokate.jpg)
Mayasa Mariwata Kwa mara ya kwanza tangu walipomwagana, mastaa wawili Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ wanadaiwa kuoneana aibu walipokutana laivu. Mastaa wawili Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ pichani. Akiwa na mtangazaji mwenzake, Edzen Jumanne, wikiendi iliyopita Jokate alidaiwa kushindwa kumbana Diamond kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo507 Aug
Picha: Jokate amfanyia interview ex wake Diamond, mashabiki wadai wanaoneana aibu!
10 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz
Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiL921L-DJSCjn4TPY7ek3hP6gLTqgg6zrIvUM3KAUXaqHayJKkzB2zbQFRm0bFtx*aXHo8Nv1S82MERHY7CSTzE/3.jpg?width=650)
WANAKWAYA: JOKATE ANATUTIA AIBU
10 years ago
Bongo Movies27 Mar
Wanakwaya Wamfungukia Jokate, Wadai Anatia Aibu
Mrembo , mtangazaji na muigizaji wa filamu, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amewakera wanakwaya wenzake ambao wamedai kuwa anawatia aibu.
Kwa mujibu wa gazeti la Ijumaa, ishu ya Jokate kutupia picha za nusu utupu mitandaoni si mpya, mara kadhaa amekuwa akiripotiwa kwa tabia yake hiyo kiasi cha kuwakera wanakwaya hao wa kanisa analosali la Saint Peter lililopo Oysterbay jijini Dar.
Mbali na picha hizo, safari hii anaandamwa na skendo mpya ya kudaiwa kukata mauno mbele ya midume anapokuwa kwenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXQXTiQrZWBOB1Mo*rcMSrECBgTRrg9HMbhcHXZv3yWI-7Ev92cy8chnjhvfz2Ye*eTdlP6nuLSPs2LkYI20kwT*/88.jpg?width=650)
JOKATE AMLIPUA DIAMOND!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT1XoRSLlgy5oJULAs10VQ8xAtiL-B7LY0hTllB3Vww01OtQOHFdhQHFkXwoEDgGSc2LyZH8XHa9QZDqMZLfeOqn/diamond.jpg)
DIAMOND AIBU NYINGINE DODOMA!
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Diamond aifutia aibu familia…!
Nyumba ya akina Diamond iliyopo maeneo ya Tandale-Uzuri jijini Dar.
Stori: Mayasa Mariwata na Brighton Masalu
MKALI wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameifuta aibu ya familia iliyokuwa ikiwakabili kwa kuamua kuifanyia ukarabati nyumba aliyozaliwa na kukulia, iliyopo maeneo ya Tandale-Uzuri jijini Dar Risasi linaripoti.
Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’
Novemba 2, mwaka huu, gazeti la Ijumaa Wikienda liliripoti habari ilionesha kuwa nyumba hiyo ambayo anaishi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnAxcylq3ij3VvXcGFTJ-f*t88tIFfaI5cfNgMIGP3S3Va-4CEsttE8COwvkGy-qU1AzTHSnGYN1G8C8*n1je7-awbgqRexu/hhtrwyq4u.jpg?width=650)
DIAMOND AMUITA JOKATE MAKOMBO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSWpCIjID-FyzPv2O8nLL0aIkqiycEuWqftsN1cC8r*pDilpRdr820EChPW2UbR*E7eswxDYtSwdj82Rw1ZUf0nZ9vxdZgDd/FRONT.jpg)
WEMA, JOKATE WAMZOMEA DIAMOND!