Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND AIBU NYINGINE DODOMA!

Stori: Richard Bukos, Dodoma
KWELI ni aibu nyingine! Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ Jumamosi iliyopita alikumbwa na aibu nyingine kufuatia onesho lake kufanyika ndivyo sivyo na hivyo kuzua tafrani miongoni mwa mashabiki wake mjini hapa. Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akifanya shoo ndani ya Ukumbi wa Matei Lounge mjini Dodoma. Aibu hiyo ilimkuta staa huyo ndani ya Ukumbi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Ahadi ya Matumla, aibu nyingine katika ngumi



Bondia Xin Hua kutoka China (kushoto) akitambiana na Matumla Jr wa Tanzania 

Ni michezo ambayo imekosa udhamini wa uhakika na ambayo haijaungwa mkono na serikali kwa kiasi kikubwa kama ilivyo katika mchezo wa soka.
BAADA ya soka, michezo inayoongoza kupendwa na mashabiki wengi nchini ni ngumi, riadha na kikapu.Ni michezo ambayo imekosa udhamini wa uhakika na ambayo haijaungwa mkono na serikali kwa kiasi kikubwa kama ilivyo katika mchezo wa soka.Pamoja na hali hiyo, lakini wenye mapenzi ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond aifutia aibu familia…!

DIAMOND-NYUMBA-(1)Nyumba ya akina Diamond iliyopo maeneo ya Tandale-Uzuri jijini Dar.

Stori: Mayasa Mariwata na Brighton Masalu
MKALI wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameifuta aibu ya familia iliyokuwa ikiwakabili kwa kuamua kuifanyia ukarabati nyumba aliyozaliwa na kukulia, iliyopo maeneo ya Tandale-Uzuri jijini Dar Risasi linaripoti.

DIAMOND (5)Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’

Novemba 2, mwaka huu, gazeti la Ijumaa Wikienda liliripoti habari ilionesha kuwa nyumba hiyo ambayo anaishi...

 

11 years ago

GPL

JOKATE, DIAMOND WAONEANA AIBU!

Mayasa Mariwata Kwa mara ya kwanza tangu walipomwagana, mastaa wawili Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ wanadaiwa kuoneana aibu walipokutana laivu. Mastaa wawili Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ pichani. Akiwa na mtangazaji mwenzake, Edzen Jumanne, wikiendi iliyopita Jokate alidaiwa kushindwa kumbana Diamond kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Diamond azua vurugu nyingine Uingereza

Mwanamuziki Diamond Platnumz kwa mara nyingine tena usiku wa kuamkia jana alisababisha vurugu kubwa nchini Uingereza baada ya kushindwa kutumbuiza katika ukumbi wa LaFace Club uliopo jijini London.

 

10 years ago

Vijimambo

AJALI NYINGINE YA BASI NA LORI MAPEMA LEO DODOMA

Basi la Osaka likiwa katika Mtaro baada ya kupata ajali na Roli kugongana leo asubuhi likitokea likitokea Dodoma Roli lililogongana na Basi la Osaka likiwa limefunga njia

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO NYINGINE NIGERIA

Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo nyingine za kimataifa zinazofahamika kama ‘THE HEADIES 2014’, ambazo ni tuzo kubwa nchini Nigeria. Nasib Abdul ametajwa kuwania kipengele cha Msanii Bora wa Afrika (Best African Arstist) ambacho kinawaniwa na wasanii wa nje ya Nigeria. Katika kipengele hicho anashindana na Mafikizolo, Sarkodie na R2Bees.CREDIT:THECHOICE

 

10 years ago

CloudsFM

DIAMOND ANYAKUA TUZO NYINGINE NCHINI NIGERIA

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo nyingine huko Lagos nchini Nigeria kutoka The Future Awards Africa Prize in Entertainment 2014.
Tuzo hiyo ya Diamond ilipokelewa na Meneja wake Salaam na kwenye kipengele cha tuzo hiyo kulikuwa na wakali wengine wakiwemo Panshack au Ice Prince wa Nigeria na Michael Kwesi kutoka nchini Ghana.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond aliandika ujumbe huu: "Thanks God, we have cheated another one on the...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani