Ahadi ya Matumla, aibu nyingine katika ngumi
Bondia Xin Hua kutoka China (kushoto) akitambiana na Matumla Jr wa Tanzania
Ni michezo ambayo imekosa udhamini wa uhakika na ambayo haijaungwa mkono na serikali kwa kiasi kikubwa kama ilivyo katika mchezo wa soka.
BAADA ya soka, michezo inayoongoza kupendwa na mashabiki wengi nchini ni ngumi, riadha na kikapu.Ni michezo ambayo imekosa udhamini wa uhakika na ambayo haijaungwa mkono na serikali kwa kiasi kikubwa kama ilivyo katika mchezo wa soka.Pamoja na hali hiyo, lakini wenye mapenzi ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Mpambano mkali wa ngumi: Matumla Jr vs Wang Xiu Hua leo usiku Diamond Jubilee
Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Jay Msangi ‘Jiwe Gumu’ (katikati) akiwainua mikono juu Wang Xin Hua kutoka China ‘kushoto’ na Mohamedi Matumla baada ya kupima uzito jana.
..Modewji blog itakuletea kila kinachojiri huko kwenye pambano hilo la kihistoria
Ule mpambano wa ngumi wa kukata na shoka unaosubiriwa kwa hamu kubwa na wadau wa Ngumi nchini ambao utakao wakutanisha bondia anayetoka kwenye familia ya mchezo huo wa ngumi Nchini, Bondia Mohamed Matumla Junior akitarajiwa kupanda...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-jl-_FweVJ0Y/VRaRrRgHzmI/AAAAAAAAq4w/kSMGx1c0mk4/s72-c/MMGL1834.jpg)
Bondia Mohamed Matumla Ashinda Pambano la Ngumi Dhidi ya Mchina Wang Xin Hua Jana
![](http://1.bp.blogspot.com/-jl-_FweVJ0Y/VRaRrRgHzmI/AAAAAAAAq4w/kSMGx1c0mk4/s640/MMGL1834.jpg)
Bondia Mohamed Matumla amemchapa mpinzani wake raia wa China, Wang Xin Hua kwa pointi. Matumla ameshinda pambano hilo la kuwania ubingwa wa dunia wa WBF la raundi 12 uzani wa Bantam lililopigwa katika Ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam na sasa baada ya kushinda atapata nafasi ya kupanda ulingoni Jijini Las Vegas kwenye pamambano la Mayweather na Pacquiao na bondia atakae pangiwa katika mapamabo ya utangulizi siku hiyo ya May 2.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT1XoRSLlgy5oJULAs10VQ8xAtiL-B7LY0hTllB3Vww01OtQOHFdhQHFkXwoEDgGSc2LyZH8XHa9QZDqMZLfeOqn/diamond.jpg)
DIAMOND AIBU NYINGINE DODOMA!
10 years ago
Michuzi21 Dec
NGUMI KUPIGWA JANUARY 2, 2015 IFAKARA KATIKA UKUMBI WA MAKUTANO
![](https://2.bp.blogspot.com/-y8zUpCEHeeU/VJYAttbRanI/AAAAAAAAGwY/w3sQem9boTQ/s1600/IFAKARA.jpg)
MPAMBANO wa ngumi wa kufungua mwaka unatarajiwa kupigwa Ifakara mkoa wa Morogoro kuhamasisha na kukuza mchezo wa masumbwi nchini. promota wa mpambano huo Hiari Bohari amesema kuwa kwa sasa anataka aendeleze mchezo wa masumbwi Ifakara kwa kuwa watu wapo na mchezo unapendwa.
Alisema siku hiyo ya January 2. 2015 itakuwa ni siku ya kufungua mwaka kwa mpambano wa masumbwi kati ya Abdallah Kilima na Abdul Amwenye huku Saleh Makuka akipambanma na Said Chamaki
Aliongezea pia...
10 years ago
Vijimambo03 Jan
NGUMI ZILIVYOPIGWA MANZESE KATIKA KIPINDI CHA XMASI NA MWAKA MPYA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JmZptuyJAfE/VDm1YJPvdLI/AAAAAAAGpbI/yBocRmJPYUs/s72-c/SUPER%2BD%2BTANGAZOLL.jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Ahadi hewa katika soka hazitakiwi
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Rooney katika nafasi nyingine kwenye ubora wake…
Mshambuliaji wa klabu ya Manchester united Wyne Rooney ametangazwa kuwa mchezaji bora kwa mwaka 2015 kwa mara nyingine. Hii inakuwa mara ya pili staa huyo wa England kuchaguliwa mchezaji bora na mashabiki wa ligi kuu baada ya mwaka 2014 kushinda pia mwaka 2008 na 2009. Pia kipa wa Stoke City Jack Butland amechaguliwa kuwa kipa […]
The post Rooney katika nafasi nyingine kwenye ubora wake… appeared first on TZA_MillardAyo.